Nimeshajiridhisha sasa kuwa huyu Muhongo Uprofesa wake ni wa darasani (Nadharia) zaidi kuliko ku-deal na watu direct. Aondolewe kwenye baraza la mawaziri haraka kwa sababu huyu anaonekana kuwa ni hatari kwa usalama wa taifa na arudi darasani akafundishe
Kusoma Ohms law hakusaidii kujua masuala ya raslimali na matumizi yake kwa mstakabari na matakwa ya watu.