Sakata la Dr. Slaa: Wanasheria wamkabili Lissu

Sakata la Dr. Slaa: Wanasheria wamkabili Lissu

Wanasheria wa uchochoroni?...acha mabadiliko yatuonyeshe km nchi tulitakiwa kuwa wapi,tulipo,na wapi twapaswa kuwa.Hao wpinzani ni watz pia, kwa nn tunang'ang'ania chama hcho hcho tuuuu.Tubadilike,tuchukue hatua.
 
Sisi wengine hatujui sheria, na pia hatujui katiba ya CHADEMA inasemaje kuhusu kupitishwa kwa mgombea urais.


Isipokuwa tunachojua sisi nikwamba CHADEMA wamempitisha Mh. LOWASA kugombea urais kwa kivuli cha UKAWA.

Ni hivyo tu, mengine yote tutayajadili baada ya tarehe 25/10/2015.

Hivyo kwa sasa tunaomba msitutoe katika MODE ya kumchagua LOWASA katika urais.

Fanyeni kazi zenu wanasheria tuachie suala la kumchagua. hapa hatupo mahakamani hivyo msituchanganye na usomi wenu.

Hatujui kama SLAA kasema ukweli au kasema uongo. Tunachojua sisi mgombe wa CHADEMA kwa kivuli cha UKAWA ni mh. LOWASA. Mengine yenu ni ngonjera zisizo na msikilizaji.


MABADILIKO NI LAZIMA MWAKA HUU.



MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
 
11781615_674549862679778_8841780274812129290_n.jpg
 
Lowassa hawezi kuwa rais wa nchi hii. Hajaridhisha wananchi kuhusu tuhuma za ufisadi bado.

Ufisadi wa Lowasa unaweza usiwe tatizo ila nchı haiwezi kukabidhiwa kwa kundi la watu wasioaminika.Hamuwezi kabidhı nchı mtu ambaye hayumo ndani ya chama chenye umbo na muundo.Watu wajikusanye mara tu wapewe nchı,kah!UKAWA ni genge tu, hakuna wa kusimamia Rais na taasıs ya Ikulu.
 
watu wanaongozwa na emotion siamini kama wanaupa ubongo nafasi ya kutafakari
 
Siwezi kupigia ccm kura yangu, na sisubutu kumchagua ufisadi popote alipo.
 
hili ndio tatizo kubwa la chadema kuanzia viongozi wake hadi wafuasi wake wanashindwa kujibu hoja sisi tunataka watujibu kile alichosema Slaa naona wamepanic sana kwanza hao wakina lisu ndio walikuwa wanazunguka kutuambia lowasa fisadi leo wanasema ni mfumo wapi na wapi
 
Mwanasheria nani mbona hukumtaja jina
 
Mtu anatoa povu tuu hana hata fact moja anaiaibisha taaluma ya sheria. Hata basi kutaja hiyo tarehe ya Dr kufukuzwa na mkewe, amebaki kuimba tuuu. Akili ndogo haiwezi kutambua alichosema Dr.
 
suala sio richmond,epa,iptl,escrow,meremeta,kagoda n.k hakuna mgombea mwingne wa uraisi mwenye tuhuma hizo nzito tofauti na lowasa, kwa hy lowasa lazima watu wahoji sababu anagombea uraisi wa nchi

kwa hiyo viongozi wanaruhusiwa kuiba ila wasigombee urais?
 
lengo lako sio lisu bali Lowasa, umeula wa chuya, I will vote for Lowasa

Nakubali kuwa Lowassa ndilo jina maarufu zaidi kwa sasa. Anajadiliwa kwa mema na mabaya, huyu ndiye watu wanamfahamu zaidi. Halafu mzee wa watu hajibu kitu. Amekuwa mpole kama kondoo apelekwaye machinjoni. Naanza kumwonea huruma huyu mzee. Kura yangu ya huruma atapata sasa.
 
Habari za akina kibajaji hizi za kujipikia. Taja wanasheria gani ili nasi tuwatwange maswali ! Hivi nyie mnafikiri kila mtu ni zuzu ?
 
Back
Top Bottom