Sakata la Dr. Slaa: Wanasheria wamkabili Lissu

Sakata la Dr. Slaa: Wanasheria wamkabili Lissu

matusi sio mahali pake,au ni kundi la manyumbu nini ,

kweli mbowe na lisuu ni vigeugeu na wanafiki,kama kuna mtu wa arumeruasema kama wizi huu wa lowasa slaa hakuutaja kwenye uchanguzi wa nasari arumeru na ukampa ushindi,ttzo hawana cha kujibu ,na hawawezi kujibu wataishia kulalamikia uvunguni na bado makongoro sijui jizi lenu litapita wapi ,
Politic is dynamic game na sio holybook that does not change.Ndo mana nawaita wajinga koz mnajua bt mnafanya propaganda nyepes na za kitoto ndo mana zinafeli kabla hazijaanza kutekelezwa.
 
Katuangusa sana ; lissu

ata mimi sijafurahishwa ; tumeshalijadili na wenzangu . Kweli kachemsha;

ni matumaini yeye ni yeye sio wasomi wengine tuwekwe
 
rashidforeseerer
KA5.jpg
 
Last edited by a moderator:
acha uongo slaa mwenyewe alisema hakutaka urais mawaka huku, na wala hakuombwa kugombea na tabia yake hua hagombei mpaka aombwe na wananchi.
 
We Richmond umeiskia leo....Ajibiwe nin Dr.Slaa sasa...we need changes na siyo malumbano yasoyo na tija umoja ni nguvu...UKAWA OYEE
 
Makitoro acha uongo mi nilifikiria ungewaona wanasheria hawa wawili kua ndiyo wanasheria wa aina mpya ya Tanzania . (MZEE 6 na mwaki maembe ) ushahidi wote wa lowasa wanao chakushangaza wamebaki kupiga porojo mitaani kwani wameshindwa kujitambua kua kesi inatakiwa ianzie wapi ?. Au hawazijui sheria au wanajaribu kutuadaa watanzania ?. Na uzuri Dr slaa nae kaja upande wao kuongeza nguvu na amekuja na ushahidi wa kila kitu. Wasituone wajinga inatakiwa waende kwenye sheria siyo kuweka uongo kua wanataka mdahalo . Mwogopeni mungu kuweni na hofu ya mungu
 
inawezeka umenunua magazeti ya udaku tu,lakini hata mbowe basi ajitokeze tumkumbushe ya jimbo la arumeru,

unajua unachojibu ama unakurupuka tu kutoka usingizini ? mtoa mada ameelezea story yake hapo juu bila kumtaja wakili hata moja hayo magazeti ya udaku yanatoka wapi?
 
ndiyo mumjue vyema Dk Slaa ni mroho wa madaraka aliitisha kamati kuu impitishe kinyemela, haya yalifanyika akiwa Katibu mkuu na yeye ndiye aliyeratibu wa kumshangaa ni Dk Slaa siyo lissu, kama aliweza kuanza mazungumzo na Lowasa bila kumshirikisha Mwanasheria wa chama atashindwa kujipitisha kugombea urais?
 
Richmond mwaka wa 8 leo jaman angalieni habari nyigine mbona si IPTL ???
 
Nenda kayaseme haya kwa vibaraka wasiopenda mabadiliko.akili zetu zimezama kwenye kampeni sio taarifa za kutunga kama hizi.alichosema lisu ni sawa.kumpata mgombea uraisi ni process na chadema ina utaratibu wake.
 
Jampo mimi ni mwananchi asiye na mlengo wa chama chochote ila ustaarabu na ukomavu wa lowasa kwenye kampeni umeniridhisha zaidi sera ya elimu bure hadi chuo kikuu. Mpaka sasa nina kura yake.
 
Tanzania hatuna wanasheria bali tunao watu waliosoma somo la sheria, tukianza na Mwalimu wao mkuu Dr Mwakyembe! Wanasheria wako Kenya hata jaji Werema alikiri hilo.
 
Lisu alisema kuwa slaa alipitishwa mwezi January Na kisha kuidhinishwa mwezi April..... kuwa mwelewa wewe na hao wanasheria uwasemao..
Unaweza kupitishwa usikubalike na unaweza kupitishwa na ukachujwa kutokana na ubora wako!
Mwaka huu alikuwa anaitajika Rais wa malofa anaekula miogo ya mitaaani na siyo Rais anaye kula miogo ya serena hotel na chai ya ccm!!?
 
Lissu ni mchumia tumbo ukweli ameshindwa kabisaa kujibu hoja za Dr.Slaa anapiga porojo tu
 
Back
Top Bottom