Sakata la Dr. Slaa: Wanasheria wamkabili Lissu

Sakata la Dr. Slaa: Wanasheria wamkabili Lissu

Sasa slaa alimtaja tu lowassa mbona mafisadi wengine 10 hamtaki kuwataja?

Fisadi no 1 ni mkuu wa nchi
 
Tusiandikie mate wakati wino upo. Tusubiri last week of October.

Hiyo kauli wanaipenda sana upande wa kijani!! nahisi maana yake ni kwamba mtu.amefikia mwisho wa kujenga hoja
 
Sema wanasheria wa ccm utaeleweka halafu waambie mwanasheria namba 1 nchini tanzania ni tundu antipas lisu sawasawaaaaa

ukimuamini sana mkeo/mmeo, siku ukiambiwa anakusaliti lazima utagombana na aliyekupa taarifa hizo badala ya kuzifanyia uchunguzi kwanza
 
Mtu muongo hakumbuki alilosema nyuma. Hicho chama ni tanuri la uzushi na uongo,umeanza kumtafuna Slaa na viongozi wa dini waliokuwa wakiwatumia na hata yeye Lissu yatamkumba tu kama ya Slaa
 
Narudia kwamwenye kutumia akili ipasavyo MBOWE Hapaswi kuwa mwenyekiti tena, huyumtu anatumia ububu wa wafuasia wake kufanya ugoro wowote ule najua hii ni rasharasha yenyewe PALE KIRUSI WAO ATAKAPO ANGUKIA PUA OCTOBER, TEAM WAZALENDO
 
Kupita ule ambao mwenyekiti wake alikuwa na majina yake kwenye mfuko wa shirt?
Wanaccm swala la Slaa ndio ilikuwa karata yao ya mwisho haikufanikiwa. Wameacha kueneza sera kwa wapiga kura wamebaki kupika majungu tu. Wamekuwa madarakani kwa miaka zaidi ya hamsini bado ahadi ni zili zile za maji bila aibu. Wapisheni wanaume wapige kazi mjifunze kutoka kwao.
 
Lissu hakuona hata haja kuumiza kichwa kumjibu mropokaji Slaa,,,akaamua kumtupia vpande vyake.
Kwa ufupi Slaa hana jipya na akiendelea kujidai kujua atazid kudharaulika,,,apumzke tu mana tym hii hana hata uwezo wa kumshawishi mtoto kutabasamu
 
Lissu hakuona hata haja kuumiza kichwa kumjibu mropokaji Slaa,,,akaamua kumtupia vpande vyake.
Kwa ufupi Slaa hana jipya na akiendelea kujidai kujua atazid kudharaulika,,,apumzke tu mana tym hii hana hata uwezo wa kumshawishi mtoto kutabasamu

porojo inajibiwa kwa porojo!
 
Back
Top Bottom