Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
Pengo ni mzoefu wa taratibu za undeshaji Serikali, na pia nadhani ana saikolojia. Hata mimi siamini kama tukio la ARusha ni kidini, na kama litakuwa la kidini litakuwa kosa kubwa sana kuwahi kutokea Tanzania kwa vile ni wazi kwamba "mbaya" wa waislam si wakristo, ni serikali yenyewe kupitia Bakwata, so hawawezi kushambulia watu walio kwenye ibada ilihali humo ndani yake kuna watoto, wanwake ambao uwezo wao wa kukimbia hatari ni mdogo. Siamni kama kuna muislam atakayekuwa na imani hiyo iwapo ni timilifu wa akili. Pengo yuko sahihi, lets wait!