Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

Sakata la Bomu: Pengo afichua siri

Mimi nafikiri wa Tanzania mlitakiwa muende mbaali zaidi ya kile mnachifikiri. Mlitakiwa mangalie kwa kina Ni makanisa gani yanayoshambuliwa. Mtagundua yote ni ya katoliki(znz na Arusha).

baada ya hapo mlitakiwa mchunguze kwanini Katoliki? Je katoliki wana chuki na waislam au hata madhehebu mengine ya kikristo?

baada ya hapo kanisa hilo lilitakiwa lijitafakari n a kujitathmini
.
 
Sijui kwanini wakiristo hawa wa chini wasifate mawazo pengo kiukweli anaona mbali baadhi ya wakati

Hatupendi kuchukia waislam lakini ki ukweli ni kwamba waislam wana bifu na kanisa katoliki ndiyo maana ukiangalia wanao lengwa ni wakatolic, kuanzia zanzibar hadi Arusha. waislam wanasema kanisa linaongoza serikali
 
Aliyerusha BOMU kanisani alikuwa amevaa kofia ya Dura(barakashia),kazu nyeupe,koti la mvua na suruali fupi,pia alikuwa na Ndevu nyingi,biala ya shaka watakuwa ni wafuasi wa Uamsho na Ponda wanashinikiza viongozi wao waachiwe.

Chezea Uamsho na Ponda wewe,tutaona mengi huko tunakoelekea japo Serikali na Pengo wanapindisha ukweli.
 
Hii serikali inafikili kwa kufunika mambo ndio inawasaidia kumbe ndio wanachoma.
 
Hatupendi kuchukia waislam lakini ki ukweli ni kwamba waislam wana bifu na kanisa katoliki ndiyo maana ukiangalia wanao lengwa ni wakatolic, kuanzia zanzibar hadi Arusha. waislam wanasema kanisa linaongoza serikali

Wachukieni waislamu,yaani wanawalipulia makanisa yenu alafu nynyi munawakea.

Iamrisheni serikali yenu iwakamate mashekhe wote wa uamsho na wafuasi wa ponda wafungwe vifungo vya maisha na wengine wanyongwe.
 
Kama ni tukio la kigaidi mrusha bomu angekwenda kulirusha pale kilombero sokoni au soko kuu ambako kuna mkusanyiko mkubwa zaidi wa watu.Funika kombe mwanaharamu apite.
Taratiiibu hoja hii inaniingia
 
Jana katika kujadiri azimio la bunge katika kulaani na kupinga kitendo cha kigaidi kilichofanywa na watu wasio julikana katika kanisa katoliki huko Arusha, wabunge wote bila kujari itikadi za vyama vyao wala imani zao za kidini walionyesha kuamini kuwa tukio hilo linatokana na imani za kidini kulaani na kuonya juu ya mtafaruku unaoendelea kujitokeza kati ya wakristu na waislam.

Hii ni tofauti kabisa na tamko la kardinali Pengo ambaye kwa intelijensia yake ametamka kuwa shambulizi hilo alihusiani na na maswala ya kiimani.

Lakini mimi naomba kujua, hivi msimamo wa bunge na tamko la Pengo haviingilii uchunguzi wa polisi?

Hii ni kutokana na kwamba bunge lishajiaminisha na kuamisha watanzania walio wengi kwamba shamulizi hilo linatokana na mpasuko wa kidini unaolikumba taifa letu na huku Pengo kajenga imani na kuaminisha wengine kwamba shambulizi hilo halina mahusiano yoyote na maswala ya kiimani.

Wakuu mie naona pande zote mbili yaani Pengo na bunge wamewahi mno kutoa kauli zao kwani polisi inaweza kuja na matokeo ya uchunguzi yakiwa kinyume kabisa na imani ya matamko yao, je watakubali?
chezea serikaki wewe? Pengo kashapewa ahadi ya kubebwa na serikali katika mfumo kristo, haiwezekani tukio kama hilo litokee kanisani, halafu mtu anakanusha hili halihusiani na masuala ya kiimani! Wakristo hata viongozi wa dini wanaongwa!
 
Sijui kwanini wakiristo hawa wa chini wasifate mawazo ya pengo kiukweli anaona mbali baadhi ya wakati

Pengo amekurupuka, kama anajua sio mambo ya kidini angetueleza mashambulizi yana malengo gani kwann yamefanyika kanisani?
Kama ni ugaidi wa kawaida kama wanavyotaka tuamini kwann yasilenge taasisi zingine kama za serikali na binafsi?
Na tunapohisi kuwa ni mashambulizi ya kidini watu wanaangalia mtiririko wa matukio halafu wanaunganisha kupata hitimisho, na pia kuwa ya kidini sio lazima yawe yamefanywa na waislamu hata mkristo aweza kufanya ili ionekane ni waisilamu. Kwa muktadha huo liwe limefanywa na mkristo au muislamu bado ni shambulizi la kidini.
 
Mi naona Pengo alifanya hivyo kupunguza hasira wakristu dhidi ya waislamu. Ikumbukwe baada ya lile tukio humu jamvini na mitaani, watu washajenga chuki na waislamu kitendo ambacho kingehatarisha amani. Mi binafsi na'pongeza kwa kuona mbali.

Ilo uliloongea ni kweli kabisa coz Pengo akiongea wakristo wengi tunamsikiliza mi mwenyewe nilikuwa nasubiri ye atasema nini? maana tulishajua ni wenzetu bt kwa kauli yake kaepusha mengi sana maana wengi wa wakristo walishajenga chuki na upande wa pili unafikiria ingekuwaje kama na yeye angegongelea msumari kuwa ni kweli najua kabla hajaongea alitafakari hata kama anajua asingeweza kuongea kama wafanyavyo wengine kiraisi bila kujua madhara yatakayotokea. ndio maana akawa ni kiongozi wala msimbeze kwa aliyotamka.
 
Jana katika kujadiri
azimio la bunge katika kulaani na kupinga kitendo cha kigaidi
kilichofanywa na watu wasio julikana katika kanisa katoliki huko Arusha,
wabunge wote bila kujari itikadi za vyama vyao wala imani zao za kidini
walionyesha kuamini kuwa tukio hilo linatokana na imani za kidini
kulaani na kuonya juu ya mtafaruku unaoendelea kujitokeza kati ya
wakristu na waislam.

Hii ni tofauti kabisa na tamko la kardinali Pengo ambaye kwa
intelijensia yake ametamka kuwa shambulizi hilo alihusiani na na maswala
ya kiimani.

Lakini mimi naomba kujua, hivi msimamo wa bunge na tamko la Pengo
haviingilii uchunguzi wa polisi?

Hii ni kutokana na kwamba bunge lishajiaminisha na kuamisha watanzania
walio wengi kwamba shamulizi hilo linatokana na mpasuko wa kidini
unaolikumba taifa letu na huku Pengo kajenga imani na kuaminisha wengine
kwamba shambulizi hilo halina mahusiano yoyote na maswala ya kiimani.

Wakuu mie naona pande zote mbili yaani Pengo na bunge wamewahi mno kutoa
kauli zao kwani polisi inaweza kuja na matokeo ya uchunguzi yakiwa
kinyume kabisa na imani ya matamko yao, je watakubali?

Nchi hii kuna kikundi cha watu kinafanya kila hila wakristo na waislam
wagombane, hiki kikundi kinafanya kila linalowezekana ili kushika
madaraka ya nchi na kuwafanya watz hasa wakristo wamchukie Kikwete. Hii ndio sababu wanalenga zaidi makanisa.Suala hili halina uhusiano na udini bali ni struggle of power among the rich and the powerfull
 
chezea serikaki wewe? Pengo kashapewa ahadi ya kubebwa na serikali katika mfumo kristo, haiwezekani tukio kama hilo litokee kanisani, halafu mtu anakanusha hili halihusiani na masuala ya kiimani! Wakristo hata viongozi wa dini wanaongwa!
sio kuongwa we unafikiri kama angesema la kidini angepanda mbegu gani kwa wakristo coz hakuna ambaye angeamini kuwa aliyerusha bomu ni mkristo mwenzake sote tungeamini ni waislamu coz ata mi nilishaanza kuchukia.
pia kumbuka kuna wazazi waliopoteza maisha na watoto wao wanacheza na watoto wa kiislamu we unafikiri kingetokea nini kama si kuchukiana basi ni visasi ambavyo lazima zingeleta hathari kubwa zaidi ya ilo bomu lililorushwa.
binafsi mi ni mkristo tena roman siku niliyosikia nilikuwa saluni na tulikuwa wengi bahati nzuri wote tulikuwa wakristo wa madhehebu mbalimbali tulisikitika kwa kweli lakini mmoja wetu alidiriki kusema kama kungetokea na tamko lolote ye angekuwa wa kwanza kujitoa muhanga kupambana na waislamu hilhali hakuwa roman embu fikiria uyo ni mmoja na alikuwa Iringa sembuse hao walioko Arusha na walipata madhara ya bomu mi ningeomba ata kama ikija kugundulika ni udini lifichwe tu ili tuendelee kuwa na Amani kati yetu. MUNGU ATUBARIKI NA HATUEPUSHIE ROHO ZA VISASI
 
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN
 
Kwa taarifa yako Polycard Cardinal Pengo bado hajatoa tamko lolote kuhusiana na ugaidi wa Arusha. Ulichokiona humu ni tamko la wahuni wa CCM.
 
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN

nimeshindwa kuielewa hii post, au mjomba unatumia keyboard ya kichina?
 
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN

Nina mashaka sana na taarifa yako maana naona haijakamilika na wala haijitoshelezi.
 
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN
Kadinali Pengo na serikali wange kurupuka na kusema ni udini na wamepata habari kutoka kwa watu wanao aminika ungetia shaka yoyote? Jibu ni hapana, why now? Wote tu laani vitendo vya ugaidi haina tija ktk maendeleo ya nchi yetu.
 
pengo na huyo mtu aliyemhakikishia kuwa shambulio hilo sio la kidini wanapaswa kukamatwa ili kusaidia polisi maana watakua wanaujua ukweli wote. Huwezi ku-conclude kitu wakati uchunguzi haujakamilika. itakuwaje kama uchunguzi utaonesha tukio hilo lina connection na masuala ya kidini. Pengo atawambia nini waumini wake? Inawezekana kabisa serikali imem-approach na kumuangukia miguuni kumuomba atoe hiyo kauli ili kupoza joto. Isitoshe kauli aliyoitoa pengo ni ya kwake binafsi na sio kauli ya kanisa katoliki nchini.
 
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN

we ni mtanzania?

 
Ukweli Askofu pengo alipo pata taarifa ya bomu la Arusha,kama kawaida yake alitoa tamko safari hii kwa haraka kwa kukosea ,alisema mtu kamupa taarifa na anamwamini sana huyo mtu na kwamba kupitia kwa huyo mtu hilo tukio hali husu, dini eti ni la Kigaidi ukweli kauli ya pengo imekatisha tamaa watu hasa intelectuals viona mbali kuwa hawa kwel i viongozi wamejua kwa kuambiwa yaani hata uongo yeye basi alikuwa amwamini mtu huyo kanakwamba huyo mtu ndiye alitengeneza bomu hilo na amemupa ukweli pengo, au huenda wengi walijiuliza kuwa sio udini ni ugaidi kwani aliye umizw a ni mwananchi wa kawaida na siyo mwakilishi wa papa hapo ndipo matamuko ya kuwa ni udini yange semwa,binafsi watu pamoja na pengo wame conclude mapema mno na kuwa i natia shaka haija washitua kabisa,viongozi hawa mi nafikiri bado viongozi wadini na serikali waache matamko ya haraka haraka na yasiyo na tafakuri kwani wabaya watatumaliza wakiona wamefanya na watu wanawasemea ,AMEN

kweli kuna watu wanamiliki viwanda vya UONGO tena superbrand no.1 tz.
 
Back
Top Bottom