Sakata la Bashite: TLS nendeni Mahakamani mapema

Sakata la Bashite: TLS nendeni Mahakamani mapema

22.05.2017 mahajiano ya makonda yanaendelea.........ila hajajibu swali tangu aanze kuulizwa, anaelezea maendeleo mazuri ya DSM
 
Jamaa nilijua atatumia Fursa ya leo vizuri ila wapi!
Ukiwaangalia vizuri hata wale waandishi walk disappointed sana!
Walichotegemea Na reaction wanayoiona tofauti
Bashite kasema hataki maswali ya kipuuzi.
 
Baadhi ya Maneno Aliyokaririwa akisema Paul Makonda katika mahojiano yake na Star TV Leo...

'Ruge Anapaswa awaombe msamaha Watanzania kwa kuwatapeli kuwa Nilivamia Kituo chake'

'Tukio linaloitwa uvamizi kwangu ni igizo la Uvamizi'

'Clouds nilikuwaga naeda kula ugali na Maharage'

'Gwajima anajiita Askofu lakini sio Askofu kamili'

'Nimeuona uongo wa Ruge hadharani, Nimeouna utapeli wa Ruge Hadharani'

'Ruge ana akili ya kutunga nyimbo za mapenzi na Ng'onjera sio maendeleo ya Dar as salaam'
 
Mh.Lissu na TLS mahala pekee panapoweza kumfanya Bashite aseme ukweli kuhusu vyeti vyake na majina yake halisi ni mahakamani tu kwasababu huko akikwepa kujibu maswali ndio atakuwa amejimaliza /amejihukumu.

Kwahiyo nawashauri mfungue ile kesi mlioahidi kuifungua mapema maana ni wazi mtashinda hii kesi na huko mahakamani sioni kama atajibu maswali zaidi ya kuumbuka.
Usimfuatishe sana Lissu,mara nyingine ni promo tu
Lissu aliahidi kwenda mahakamani kupinga uchaguzi wa EALA hakwenda
Lissu aliahidi kwenda mahakamani kupinga uchaguzi wa meya kinondoni hakwenda
Lissu ni mtu anaeongozwa na mihemko,akitulia anajikuta alilosema haliwezekani.
Mnazunguka mbuyu na kujipa stress,mwenye matokeo na vyeti ni NECTA,Hao ndio wa kupelekwa mahakamani kama kweli mnataka kujua uhalisia wa vyeti
 
Ata mimi nikiwa kama mwanachama wa chadema nataka kufahamu elimu ya mwenyekiti wangu Aikaeli. Kama ana elimu ya Sekondari au Elimu ya hapanapale.

Na kwakua ameshindwa kuweka elimuyake hadharani nataka niende mahakamani.
 
Yaani yote aliyoyasema Bashite Star TV ndio tuyajuayo. Mimi nilifikiri anakuja na jambo jipya. Nothing different we have gained from his public address. Aibu kwa Sahara Media. Ni kutupotezea muda tu. Nilifikiri sasa analeta utetezi au vielelezo vya kwamba ana vyeti. Nilitegemea vyeti viwekwe mezani ila bado analalamika tu na kisingizio kimekuwa ni vita ya madawa ya kulevya na kusifia eti Star TV ina waandishi wenye weledi na siyo vituo vingine vyenye makanjanja.
 
atlas copco: Kwa nini tusianze na vyeti vya Bashite kwanza? Mbona hata Mzee ameanza na vyeti vya watumishi wa umma kwanza na kuwaacha mawaziri, wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya na madiwani?
 
Mh.Lissu na TLS mahala pekee panapoweza kumfanya Bashite aseme ukweli kuhusu vyeti vyake na majina yake halisi ni mahakamani tu kwasababu huko akikwepa kujibu maswali ndio atakuwa amejimaliza /amejihukumu.

Kwahiyo nawashauri mfungue ile kesi mlioahidi kuifungua mapema maana ni wazi mtashinda hii kesi na huko mahakamani sioni kama atajibu maswali zaidi ya kuumbuka.

TLS wana "locus standi" ya kupeleka kesi hiyo mahakamani? (kama unajua maana ya "locus standi")
 
Mh.Lissu na TLS mahala pekee panapoweza kumfanya Bashite aseme ukweli kuhusu vyeti vyake na majina yake halisi ni mahakamani tu kwasababu huko akikwepa kujibu maswali ndio atakuwa amejimaliza /amejihukumu.

Kwahiyo nawashauri mfungue ile kesi mlioahidi kuifungua mapema maana ni wazi mtashinda hii kesi na huko mahakamani sioni kama atajibu maswali zaidi ya kuumbuka.

Kuna huyu mwenzenu alishafanya hayo maigizo, tumuulize alikwmaia wapi:
ttps://www.youtube.com/watch?v=opH8hBcYrms
 
Nchi nyingine wakiafuatilia mijadala yetu wanaishia kutusikitikia tu. Tunatia huruma kwa kweli.
 
Duh! Angejua bora angekaa kimya tu; jamaa katia aibu. Waliomshauri kwa hakika wamemmaliza.

Eti alipitia dirishani kuwakwepa tume NI KUTUMIA HEKIAMA (HEKIMA YA KIBASHITE) kwa sababu tume ile haikuwa halali kuchunguza suala la uvamizi

Na kwamba angewaona pale angewatia ndani tu kama wazururaji na hivyo alivyoruka ukuta ilimsaidia asiwaoneone.

Huyu jamaa, bila shaka kuna nati kadhaa hazijakaa sawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom