Silly
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 569
- 180
Mbona kama ni Hague ingepata wateja wengi tu hapa, basi tu Ocampo mkali alishatokaNaye the hague inamsubiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona kama ni Hague ingepata wateja wengi tu hapa, basi tu Ocampo mkali alishatokaNaye the hague inamsubiri
hapo kwenye red mara nyingi nashindwa kuelewa jinsi akili za Watanzania zilivyo!!Ndugu wana JF na Watanzania wote wapenda amani,
Naandika hii thread nikiwa na huzuni na uchungu sana moyoni kuhusiana na kile kilichotokea Mkoani Morogoro jana tarehe 27/08/2012. Kwa mara nyingine tena damu isiyo na hatia imemwagika kwasababu za kishenzi,kijinga,kizembe na chuki za kisiasa dhidi ya Upinzani!
Nasikitika kusema kuwa mauaji haya yamesababishwa na Rais Kikwete akisaidiana na Mkuu wake wa Jeshi la Polisi-IGP Mwema. Hawa jamaa 2 wako nyuma ya mipango yote hii ya kuzuia maandamano kwa kupiga watu mabomu,risasi za moto na maji ya washawasha! Kile walichofanya Polisi wa Morogoro chini ya usimamizi wa Kamanda Shilogile ni maelekezo maalumu ya Rais Kiwete na IGP Mwema. Wakubali,wasikubali huo ndiyo ukweli!
Mkuu ritz labda swali hili tukuulize wewe, maana kuna madai kwamba wewe ni mmoja wa wanafamilia wa JK. Labda kama utakanusha kwa kutaka kuficha identity yako.Nani kamuolea mwenzake?
Nasikia una usongo wa kila mwenye cheo Serikalini kwani ulikuwa na hamu ya kurithi kazi ya baba'ko na umpite kwa cheo kwani yeye aliishia u rpc tu lakini kimo ndio kikawa tatizo kwako na ukashindwa kukubalika jeshini na uraiani ukaamuwa kuzamia USA na kuishi mafichoni. Pole sana na ahsante aliyegunduwa intaneti, angalau unaweza kujificha nyuma ya pazia na ukasambaza ***** bila ya kujulikana ni nani.
Sitaki kuamini kuwa ni kile kisa cha Tanga!
ha haaaaaaaaaaaa, JF is never boring (the Boss)Nashukuru MM kwa hekima yako, maana ningekuwa mie ningekuwa nimekwisha muasi MUNGU kwa matusi.
Huna hoja ya msingi kawaambie walioanzisha maandamano ndo chanzo cha vurugu na kuwaga damu, kwa sababu bila wao kuandamano pasipo kufuata taratibu na sheria haya yote yasingetokea, na wananchi wanaakili, ondoa propaganda zako.....
Yaani we acha tu, huyo Mwema ni shemeji ya JK na huyo Hosea ni nani wake? mimi huyo Hosea ndo sielewi kabisa kwanini anakumbatiwa hivyo hali iliyomjengea kiburi cha ajabu nilitegemea toka kwenye sakata la Richmond asingepona lkn bado anadunda licha ya madhambi yake kibao. nahisi kuna siri kubwa hapo mwenye nayo atujuze.Mimi nimeshalia sana hapa kuwa IGP Mwema ni janga la taifa. Katika watu ambao sioni wanafanya nini katika uongozi wao ni IGP Mwema na Dr. Hosea
Sijui mpaka lini na kwanini...
Sijui kwanini CDM hadi leo hii hawajaanzisha maandamano ya kumshinikiza Mwema aondoke au aondolewe; hata Bungeni hakunyoshewa kidole yeye mwenyewe na kutaka aondoke.. sijui mpaka nani wa CDM auawe ndio watajua kuwa Mwema na Chagonja ni hatari kwa demokrasia!!!
Kutokana na rekodi zao wenyewe inaonekana wamejifanya kuwa ni maadui wa kudumu wa haki za kiraia na haki za binadamu. Wazo kuwa wananchi wana haki ya kuandamana kuipinga serikali yao au uongozi wa walio madarakani halijawaingia kabisa kichwani!
Wako kama maafisa wa kizungu wa wakati wa mkoloni ambao walijaribu kuzima maandamano yaliyoongozwa na Mwalimu Nyerere au wale waliowafunga kina Makange! Hawana tofauti!
Naam....unaongea na mimi???
Sijui mpaka lini na kwanini...
Sijui kwanini CDM hadi leo hii hawajaanzisha maandamano ya kumshinikiza Mwema aondoke au aondolewe; hata Bungeni hakunyoshewa kidole yeye mwenyewe na kutaka aondoke.. sijui mpaka nani wa CDM auawe ndio watajua kuwa Mwema na Chagonja ni hatari kwa demokrasia!!!
Kutokana na rekodi zao wenyewe inaonekana wamejifanya kuwa ni maadui wa kudumu wa haki za kiraia na haki za binadamu. Wazo kuwa wananchi wana haki ya kuandamana kuipinga serikali yao au uongozi wa walio madarakani halijawaingia kabisa kichwani!
Wako kama maafisa wa kizungu wa wakati wa mkoloni ambao walijaribu kuzima maandamano yaliyoongozwa na Mwalimu Nyerere au wale waliowafunga kina Makange! Hawana tofauti!
Kumbe wewe ndio unaejiita Mzee Mwanakijiji?
Nasikia una usongo wa kila mwenye cheo Serikalini kwani ulikuwa na hamu ya kurithi kazi ya baba'ko na umpite kwa cheo kwani yeye aliishia u rpc tu lakini kimo ndio kikawa tatizo kwako na ukashindwa kukubalika jeshini na uraiani ukaamuwa kuzamia USA na kuishi mafichoni. Pole sana na ahsante aliyegunduwa intaneti, angalau unaweza kujificha nyuma ya pazia na ukasambaza ***** bila ya kujulikana ni nani.
Sitaki kuamini kuwa ni kile kisa cha Tanga!
Mwema aliingia na focus kubwa kwelikweli ya kufanya/tenda kazi kwa haki sambamba na kuboresha jeshi lenyewe lkn madudu ya wanasiasa waliomteua yamembadili kabisa
Hapo hujamuweka Paul Chagonja, hakyanani huyu mjinga ndo balaa kuliko wote. i have never seen this ZUZU speaking friendly even a single day. this ZUZU is very harsh, he thinks everything need to be obeyed, no negotiation, infact he is a full dictator, i real hate him.
Tuendeleeni kuwaelimisha watanzania, waelimike waachane na hili li-serikali la ccm MAJAMBAZI/MAFISADI/MANYANG'ANYI.