Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,299
- 4,700
Mmekuwa wapole eh? Mwambieni Rais Lissu achukue hatua maana Mange na Gwajima wamekwama!Kachemka tu huyo ha!
Mmekuwa wapole eh? Mwambieni Rais Lissu achukue hatua maana Mange na Gwajima wamekwama!Kachemka tu huyo ha!
Akikujibu niambie nije nicheke vizuri.yani wewe kama wewe hii hoja inakupotezeaje muda?inasababisha vipi wewe ushindwe kufocus kwenye maendeleo?
Mmekuwa wapole eh? Mwambieni Rais Lissu achukue hatua maana Mange na Gwajima wamekwama!
Sidhani kama kuna kukwama, bali kuna mtu anajikwamisha!
Tutaenda n ajenda hii hii had I 2020Kachemka tu huyo ha!
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?
Ukabila tu nepotism ya kiwango cha lami. Tundu lissu anakamatwa kila siku. Kusafirishwa usiku usiku na kulazwa rumande kwa kosa tu la kusema ukweli. Libashite limepora Mali, limevamia na silaha limefoji vyeti, Eti chapa kazi. This time mtafanya kaxi nyie wawili tu. Tuonane 2020atumbue asitumbue tayari tushaijua rangi yao,time will tell kama wengi wanavyosema
Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?[/QUOTE
Huyo kiongozi unataka kupiga nae picha?kiongozi mzuri ni yule anayekosoa na kukubali kukosolewa.
....exactly...rais tuliyenaye ni controversial haijawahitokea TZ....sasa ngojea yatakapoanza kumrudi....maana amekua sikio la kufa....watu watamchoka soon....maana hatembelei anayosema.....na anatengeneza precedent za ajabu....Hivi prince alipoenda kuvamia clouds si alienda kushinikiza clouds wasambaze udaku? Mbona anamwambia asisikilize udaku wakati mwanae anaupenda udaku tena anautengeneza? Hiviii si rais wetu majuzi alisema hadharani anapenda ubuyu Wa team shilawadu? Kauchukia lini tena? Halafu hivi uhakiki Wa vyeti nani alianzisha?
Kama ndivyo ulivyoelewa basi sawaHuyo kiongozi unataka kupiga nae picha?
Kiongozi mjuvi ni yule anaejua kuwa nafasi aliyonayo sii ya kudumu.