Saga la Makonda: My Take

Saga la Makonda: My Take

Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?

Kimantik ni kweli ila kuna hili la kuvamia kituo kufanya sherehe kipindi hiki kweli hawezi kumfukuza kazi kwa pressure ila Makonda asijisahau maana watu wanamuangalia kwa jicho la tatu nadhani yeye mwenyewe angejiuzuru
 
atumbue asitumbue tayari tushaijua rangi yao,time will tell kama wengi wanavyosema
Ukabila tu nepotism ya kiwango cha lami. Tundu lissu anakamatwa kila siku. Kusafirishwa usiku usiku na kulazwa rumande kwa kosa tu la kusema ukweli. Libashite limepora Mali, limevamia na silaha limefoji vyeti, Eti chapa kazi. This time mtafanya kaxi nyie wawili tu. Tuonane 2020
 
~~~>>>Makonda alipata ukuu wa Mkoa kwa lengo la kuwakomesha waliokuwa wanampinga akiwa DC.....

~~>>Hivyo mkuu anajua kuwa alichukua kinyesi Sebuleni akakihamishia chumbani...


Iwe leo, kesho ama kesho kutwa tunachotaka ni huyu Jamaa ang'oke tu.....
 
~~~>>>Makonda alipata ukuu wa Mkoa kwa lengo la kuwakomesha waliokuwa wanampinga akiwa DC.....

~~>>Hivyo mkuu anajua kuwa alichukua kinyesi Sebuleni akakihamishia chumbani...


Iwe leo, kesho ama kesho kutwa tunachotaka ni huyu Jamaa ang'oke tu.....
 
Haya endeleeni kupalilia ujinga huu, siku ukiingiliwa ndani ya nyumbayakondiyo utajua haya si mambo ya wapinzani.

Upinzani wa Tanzania hawana Akili na ni wote, kudili na Raisi Magufuli ni rahisi sana kama mtu una uwezo wa kumsoma mtu na kumuelewa, kwenye hii ishu wao wangekaa kimya tu na kuacha na nina uhakika wangefika mbali zaidi kuliko kushinda siku nzima kumtukana, kumkejeli, kumchora katuni halafu hapo mnategema afanye mnavyotaka? Hata yeye Raisi Magufuli ni Binadamu pia na anaumia kwa matusi yenu/yao!
Yaani kwa akili yao walitegemea Raisi amfukuze kazi Mkuu wa Mkoa kwa kuwa wametaka wao iwe hivyo?[/QUOTE
 
Kwa sisi wananchi naomba kila mmoja wetu popote atakapohutubia huyu bashite ni kumzomea tu ni mwendo wa kumzomea hadii aachie ngazi.
 
Hivi prince alipoenda kuvamia clouds si alienda kushinikiza clouds wasambaze udaku? Mbona anamwambia asisikilize udaku wakati mwanae anaupenda udaku tena anautengeneza? Hiviii si rais wetu majuzi alisema hadharani anapenda ubuyu Wa team shilawadu? Kauchukia lini tena? Halafu hivi uhakiki Wa vyeti nani alianzisha?
 
kiongozi mzuri ni yule anayekosoa na kukubali kukosolewa.
 
Kadi za kupigia kura zina thamani ndogo zaidi kuliko za kliniki.
Na wenye kuzimiliki ni wapuuzi tu..
 
kiongozi mzuri ni yule anayekosoa na kukubali kukosolewa.
Huyo kiongozi unataka kupiga nae picha?
Kiongozi mjuvi ni yule anaejua kuwa nafasi aliyonayo sii ya kudumu.
 
Si wapinzani wanaopiga kelele ni watanzania huyu dogo kaadhiri familia nyingi kwa kekeli na kulewa madaraka
 
Hivi prince alipoenda kuvamia clouds si alienda kushinikiza clouds wasambaze udaku? Mbona anamwambia asisikilize udaku wakati mwanae anaupenda udaku tena anautengeneza? Hiviii si rais wetu majuzi alisema hadharani anapenda ubuyu Wa team shilawadu? Kauchukia lini tena? Halafu hivi uhakiki Wa vyeti nani alianzisha?
....exactly...rais tuliyenaye ni controversial haijawahitokea TZ....sasa ngojea yatakapoanza kumrudi....maana amekua sikio la kufa....watu watamchoka soon....maana hatembelei anayosema.....na anatengeneza precedent za ajabu....
 
Kumbee ndio maana Bajeti haitekelezwi. Maskini Bunge linampangia Asiepangiwa.
 
Back
Top Bottom