Nguruvi3
Platinum Member
- Jun 21, 2010
- 16,312
- 33,803
NN
Mh Rais asingeliongelea leo ingesaidia zaidi, kwasasa limepapalia curiosity
1. Kitwanga alitmbuliwa hadharani
2. Wilson Kabwe (RIP) hadharani hadi mauti
3. Wakurugenzi kama akina Rashed Badi Hadharani
4. Anne Kilango , hadharani
5. Kila siku Gery analeta barua za waliotumbuliwa
Orodha ni ndefu sana. Watu wanajiuliza hata kama si kutumbuliwa ni upi ukweli kuhusu Makonda? Kwanini anakingiwa kifua tofauti na wengine?
Sula litapoa, lakini makovu yake yatabaki yakivuja damu kila siku
Leo nani mwenye uthubutu wa kuongelea uhakiki wa vyeti?
Credibility ya Rais kuinyosha nchi ipo wapi?
Kwanini cheti cha Luhende kilikuwa hadharani, vya Makonda iwe siri?
Waliotumbuliwa kwa vyeti feki wanalitazamaje hili jambo? fair au kuna double std
Hili si la Makonda tena, linaigusa serikali na credibility yake. Mbaya sana
Leo zigo la Makonda anabebeshwa Rais!
Kuna tatizo gani wakitoka na kueleza wanachojua?
Mh Rais asingeliongelea leo ingesaidia zaidi, kwasasa limepapalia curiosity
1. Kitwanga alitmbuliwa hadharani
2. Wilson Kabwe (RIP) hadharani hadi mauti
3. Wakurugenzi kama akina Rashed Badi Hadharani
4. Anne Kilango , hadharani
5. Kila siku Gery analeta barua za waliotumbuliwa
Orodha ni ndefu sana. Watu wanajiuliza hata kama si kutumbuliwa ni upi ukweli kuhusu Makonda? Kwanini anakingiwa kifua tofauti na wengine?
Sula litapoa, lakini makovu yake yatabaki yakivuja damu kila siku
Leo nani mwenye uthubutu wa kuongelea uhakiki wa vyeti?
Credibility ya Rais kuinyosha nchi ipo wapi?
Kwanini cheti cha Luhende kilikuwa hadharani, vya Makonda iwe siri?
Waliotumbuliwa kwa vyeti feki wanalitazamaje hili jambo? fair au kuna double std
Hili si la Makonda tena, linaigusa serikali na credibility yake. Mbaya sana
Leo zigo la Makonda anabebeshwa Rais!
Kuna tatizo gani wakitoka na kueleza wanachojua?