zitto junior
JF-Expert Member
- Oct 7, 2013
- 22,742
- 36,253
VerifiedParody watu wanajua kucheza na AI
Source: BBC Trump says he is postponing strikes on Iran power plants after ‘productive’ talks on ending war
VerifiedParody watu wanajua kucheza na AI
Chai Mzee , kafuatilie udaku tu mambo ya geopolitics mweupe sana.Amemuogopa Kim Jong Un
Unajua Kim anataka aingilie huu ugomvi au hujui?Chai Mzee , kafuatilie udaku tu mambo ya geopolitics mweupe sana.
Amiinike au asiaminike hiyo ni juu yake. Alitoa masaa 48 ya kufungua Strait Hormuz au ashambulie miundombinu ya umeme.
Iran wakamjibu hawafungui na akithubutu kushambulia wataangamiza mifumo ya umeme na nishati ya Israel na middle east nzima.
So hilo limemtia hofu na ukizingatia anawajua vizuri jamaa sio wanasiasa, wakiahidi wanatenda tena kwa kuhakikisha maumivu zaidi.
So muda unayoyoma, yeye akidanganya anakuwa amejidanganya mwenyew na Netanyahu wake.
I AM PLEASE to report? Come onWITCH WILL CONTINUE THROUGHOUT? Come on
😀😀Labda ameandika huku akiwa analia mkuu.