6 Pack
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 3,653
- 8,000
Niaje waungwana
Kwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe, Iran ndio nchi ya kwanza imeifanya Marekani na Trump watubu na kujutia walichokifanya.
Kwanza Iran ndio nchi ya kwanza kuingia vitani na Marekani huku ikiwa imeungana na Israel
Pili Iran ndio nchi ya kwanza kushambulia nchi 10 kwa wakati mmoja na kwa muda wa week 3 bila kupumzika. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Qatar, Kuwait, Jordan, Dubai, Israel na kambi zote za Marekani zilizopo katika eneo la mashariki ya kati, na bila kusahau UK iliyotikishwa juzi kupitia kisiwa chake cha jeshi.
Tatu ndio nchi ya kwanza kushambulia Israel huku kukiwa ni maelfu ya mifumo ya anga na ardhini hadi kupelekea baraza zima la Netanyahu kulia mbele ya camera ili kuomba msaada wa kijeshi kutoka nchi zingine.
Nne nchi ya kwanza kuangusha ndege ambayo ilikuwa haionekani kwenye rada, bila kusahau kuigeuza meli kubwa ya kijeshi ya Marekani banda la kufugia njiwa now.
Hii vita ya week 3 Iran imefanya mengi ambayo hayakutarajiwa, hadi waliokuwa wanaisharau kuanza kuihofia hasa baada ya kugundua wana makombora ya kupiga popote Ulaya 🤣🤣🤣
Kwa mara ya kwanza tangu dunia iumbwe, Iran ndio nchi ya kwanza imeifanya Marekani na Trump watubu na kujutia walichokifanya.
Kwanza Iran ndio nchi ya kwanza kuingia vitani na Marekani huku ikiwa imeungana na Israel
Pili Iran ndio nchi ya kwanza kushambulia nchi 10 kwa wakati mmoja na kwa muda wa week 3 bila kupumzika. Nchi hizo ni Saudi Arabia, Qatar, Kuwait, Jordan, Dubai, Israel na kambi zote za Marekani zilizopo katika eneo la mashariki ya kati, na bila kusahau UK iliyotikishwa juzi kupitia kisiwa chake cha jeshi.
Tatu ndio nchi ya kwanza kushambulia Israel huku kukiwa ni maelfu ya mifumo ya anga na ardhini hadi kupelekea baraza zima la Netanyahu kulia mbele ya camera ili kuomba msaada wa kijeshi kutoka nchi zingine.
Nne nchi ya kwanza kuangusha ndege ambayo ilikuwa haionekani kwenye rada, bila kusahau kuigeuza meli kubwa ya kijeshi ya Marekani banda la kufugia njiwa now.
Hii vita ya week 3 Iran imefanya mengi ambayo hayakutarajiwa, hadi waliokuwa wanaisharau kuanza kuihofia hasa baada ya kugundua wana makombora ya kupiga popote Ulaya 🤣🤣🤣