FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 92,823
- 109,109
hayo kwa kinyaturu tunayaita ng'ongo, singida mjini karibu na uwanja wa mpira wa namfua, kuna haya mang'ongo kibao basi kama kuna mechi na iinahitaji viingilio basi juu ya mawe haya watazamaji ni wengi kuliko ndani ya uwanja, teh teh, wakisubiria fungulia mbwa, singida nimepamiss sana wakuu,
Hilo kwenye picha linaonesha ndio baba la ma ng'ongo yote.