BelindaJacob
Platinum Member
- Nov 24, 2008
- 6,474
- 4,022
Beling hiyo avata yako inaniletea shida kila ninapoiona,
anyway, lets get back to topic, jamaa mara ya mwisho nilisikia yupo DRC kaenda kutembelea mwana, nadhani akitoka atapitia kwa swaiba wake Mugabe baada ya hapo sijui,tena nasema sijui na sitaki kupigwa picha... lol Tz
Pole D5 itabidi nitafute nyingine kamanda...usipate shida tena)
Back to topic,DRC ameshatoka utamuweza na naona nilimuandalia ratiba Jeykey kabla hajatua France,ha ha..Eniwei, Welcome to Paris Mr.President!..