MWANASHERIA
Member
- Aug 20, 2010
- 84
- 11
Baada ya kukaa muda mrefu sana bila safari za nje, bila shaka alikua na kiu sana ya kusafiri. Jana JK ameanza kusafiri Rasmi, amekwea Pipa, ha ha ha ha ha. Sijua kaenda wapi na kufanya nini?Je, safari hizi zina manufaa kwa taifa?