Safari yangu ya South Africa

Safari yangu ya South Africa

Najua ila safari ya kwenda kule kwangu mimi ni ya kuunga unga maana sina sifa za kusafiri majo kwa moja
Unaweza kuungaunga lkn kuwa na vielelezo sahihi ni salama zaidi pia ni vizuri document ukaziscan na kuziweka kwenye email yako. Unaweza ibiwa kila kitu lkn hizo zikasaidia hata unapotoa maelezo
 
Unaweza kuungaunga lkn kuwa na vielelezo sahihi ni salama zaidi pia ni vizuri document ukaziscan na kuziweka kwenye email yako. Unaweza ibiwa kila kitu lkn hizo zikasaidia hata unapotoa maelezo
Ndo maana kabla sijaanza safari najaribu kufutiria baadhi ya watu walisafiri kwenda huko
 
Ndo maana kabla sijaanza safari najaribu kufutiria baadhi ya watu walisafiri kwenda huko
Hata mm wakati nazamia walinibeza sana hapa Jf. Tofauti yangu na wengine mie nilikuwa na sehemu ya kufikia. Malengo ni imani cha msingi ni kumtanguliza mungu na tabia njema basi
 
Mimi nikifika joberg ni mwendo WA sellfii nimebeba cm mbili wakiiba natoa mpyaa
hili sio utani... Joberg sio kama vingunguti ama kariakoo... wakishajua wewe mgeni na unatembea na begi haunalo...

kuua kwao sio shida... kama una mkwanja kwamudaambao hujazoea mazingira jaribu kuchukua tax.
 
guys mnaokua huku,nyumba zipo mpaka Za 500 rands.cha muhimu uwe Na mtu wakukuonesha location.pia mje Na biashara ndogo ndogo Za kuwasukuma wakati mnasubiri kutoka Kuliko kubeba cash mfano vitu vya kutoka bongo kama Madera ya kina mama au kanga.ukijs huku Na kanga zako hata pea 20 una uhakika wa kuzungusha Hela miezi,3 bila stress.why mnajilipua bila kitu cha kuanzia Maisha?
 
Mimi nikifika joberg ni mwendo WA sellfii nimebeba cm mbili wakiiba natoa mpyaa
Mkuu umeenda kutafuta life au location??? Au hii siyo safari yako ya kwanza.
Mimi nafahamu safari ya kwanza lazima uwe na connection tena ni wale walioondika zamani watakupokea.
Halafu kazi nyingi in supermarket au uwe ktk vituo vya kijamii mpka uoe raia uanze michakato uwe rai. Kinyume na hapo ni uharifu. Niliikataa safari tangu na maliza LA saba.
Marafiki zangu, street mates seniors to juniors wanaenda na kurudi kila siku na shughuli ni hizo nilizotaja.
 
Mpango WA kupokeana sitaki nimetoka peke yangu nakwenda na Bahati yang, wengi walioko huko wanajihusisha na vitu haramu
Mbongo utajulikana tuu, sijawai kwenda lakini that's what they say. Epuka pombe na uhalifu.
 
Back
Top Bottom