Safari yangu ya South Africa

Safari yangu ya South Africa

Ukifika boda nipigie namba yang ni ile ile cjabadilisha kiongoz
 
Uwe makin na Wasomali huko. Wasije kukuvalisha dera baada ya kula vyao
 
Wakuu as salaam aleikum,

Nimejiunga JF ili nipate wadau wazoefu na hii safari yangu ya SA adventure natumia njia ya barabara nitasafiri na taqwa hapo kesho nikitokea Ubungo mpaka Lusaka.

Sijawai kufika, elimu yangu darasa la saba kingereza najua pia siendi kujiunga na Watanzania walioshindikana huko.

Nina pesa ya kujikimu wakati natafuta kazi sina mwenyeji nilizaliwa kupambana, kila la kheri wakuu mwenye kuniongezea ushauri nitashukuru
Kama tz imekushinda south unaenda kufanya nini? Baki hapa tupambane na hali yetu.
 
Ndugu ukifika huko jitahidi sana kuwa makini na WASWAHILI pamoja na WASOMALIA.

Mbongo hata ukiwa unamfahamu kabisa mkimaliza story endelea na mambo yako. Jitahidi asijue hata unapoishi.

Ukicheka nao UTAVUNA MABUA MATUPU.

Hapo Pretoria wamejaa hata mtaani wanaongea kiswahili. Joberg ndo usiseme
 
Ndugu ukifika huko jitahidi sana kuwa makini na WASWAHILI pamoja na WASOMALIA.

Mbongo hata ukiwa unamfahamu kabisa mkimaliza story endelea na mambo yako. Jitahidi asijue hata unapoishi.

Ukicheka nao UTAVUNA MABUA MATUPU.

Hapo Pretoria wamejaa hata mtaani wanaongea kiswahili. Joberg ndo usiseme
Kati ya mambo ambayo niliyazigatia ni hili la kutokujuana. Wengi wao watakuharibia tu CV kwa mwenyeji wako.
 
Mkuu vip huko umekutana na Obama ? Mbona kimya au wazulu wamekwiba simu zote 2? Tupe feedback jombaa
 
hakuna vitisho mzee baba... umeamua kwenda mwenyewe kama mwanaume utakalo likuta uendako likabili kiume.

usisahau kadi ya njano... hapo Nakonde wazambia wasumbufu saana.

lingine, hapo hapo Nakonde unaweza kupigwa pesa kwenye kubadilisha pesa kuwa makini usimwamini mtu.
Hapo nakonde utaratibu unakuaje mkuu?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom