Safari yangu ya South Africa

Safari yangu ya South Africa

Wakuu as salaam aleikum nimejiunga JF ili nipate wadau wazoefu na hii safari yang ya SA adventure natumia njia ya barabala nitasafiri na taqwa hapo kesho nikitokea ubungo mpaka Lusaka, sijawai kufika elimu yang darasa LA Saba kiigereza najua pia siendi Kujiunga na watanzania walioshindikana huko Nina Pesa ya kujikim wakati natafta kazi sina mwenyeji nilizaliwa kupambana kila lakheri wakuu Mwenye kuniongezea ushauli nitashukuru
Kuna mwenzako alienda mwaka jana akitokea babati to South Africa
Safari ya South Africa ndio nimeanza
Baada ya kufika akatoa feedback hapa
Mrejesho wa safari yangu ya South Africa
Baada ya muda akatupa tena updates hapa
South Africa msije Sio kuzuri
Kwahiyo unaweza kujifunza vitu viwili vitatu kwenye nyuzi zake hapo juu
Nikutakie safari njema
 
Africa hii hii sishauri ukaenda nchi yoyote. Heri ukaenda nchi za ulaya maana south kwenyewe kuna vijana kibao jobless ukienda na wewe kuongeza ushindani hawatakuacha salama
 
Bone voyage Mkuu, Lusaka kuna shida ya shiling exchange vizuri ukawa na kwacha ya kukutosha ukiwa Zambia
 
mkuu niko Durban ukiwa natatizo lolote nitafute
 
Mwenzio Shibe kijijini alifika kama leo kesho yake akatekwa!.Shauri yako
 
Kuna mmoja alikuja na hiz mbwe mbwe sijui yupo WAP yule mshikaji
 
Kiswahili chako kinaonekana kweli uliishia la saba, pole sana.
 
Back
Top Bottom