Safari yangu ya South Africa

Safari yangu ya South Africa

Wakuu bado hatujavuka mpaka
 

Attachments

  • IMG_20180601_143622.jpg
    IMG_20180601_143622.jpg
    124.4 KB · Views: 53
Kama umetokea magomeni huwezi kukosa wa kukupokea SA mkuu labda uwe umeondoka kimya kimya
Mpango WA kupokeana sitaki nimetoka peke yangu nakwenda na Bahati yang, wengi walioko huko wanajihusisha na vitu haramu
 
Wakuu as salaam aleikum,

Nimejiunga JF ili nipate wadau wazoefu na hii safari yangu ya SA adventure natumia njia ya barabara nitasafiri na taqwa hapo kesho nikitokea Ubungo mpaka Lusaka.

Sijawai kufika, elimu yangu darasa la saba kingereza najua pia siendi kujiunga na Watanzania walioshindikana huko.

Nina pesa ya kujikimu wakati natafuta kazi sina mwenyeji nilizaliwa kupambana, kila la kheri wakuu mwenye kuniongezea ushauri nitashukuru
Karibu mkuu, uko sawa usipende kapani za Wabongo watakusababishia matatizo. Siku ukitaka kuvuka Botswana pitia North West Province (Mafikeng)
 
Back
Top Bottom