Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 11,269
- 23,097
- Thread starter
-
- #81
Sure wakitaka mambo serious waende kwenye siasaKuna wakati Kama ule muda wa bar lazima watu muongee Mambo Kama haya kupunguza stress.
Sio kila siku mwendazake au mjazake
Sure wakitaka mambo serious waende kwenye siasa
Hii gari huku mbele sijajua...inaelekea Bariadi.Umefika wapi muda huu?
Inaenda musoma kwani? Au bunda?Hii gari huku mbele sijajua...inaelekea Bariadi.
😂Atakuwa katika kuchimba dawa kapanda la Bariadi, ila Allys ya Bariadi, inatokea Morogoro haitokei Dar. Na ilishafika huko zamani.Inaenda musoma kwani? Au bunda?
Kwani mkuu ukitoka hapa dar saa 12asubuhi na basi lolote la Mwanza je unafika kule saa ngapi??[emoji23]Atakuwa katika kuchimba dawa kapanda la Bariadi, ila Allys ya Bariadi, inatokea Morogoro haitokei Dar. Na ilishafika huko zamani.
Everyday is Saturday................................😎
Ahsantee 😄Kaa pembeni siandiki unachotaka wewe.naandika nachotaka mimi.anzisha wako na muendelezo uutakao.
Basi kule zinaanza kuingia saa 4-5-6-7, inategemea na tochi na hali ya hewa.Kwani mkuu ukitoka hapa dar saa 12asubuhi na basi lolote la Mwanza je unafika kule saa ngapi??
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Nilipanda Kisbo ya Kahama nilifika Nzega 1847hrs achaaa....!!?Ukifika Nzega kabla ya saa nne basi hilo Bus ni balaa
Ashafika mwanza huyu mida hii!!!Yes.. ni muda sahihi...saa2 hv tindeeeeee...
"azawaizi"(In uzinzi voice!)Nmekaa na jamaa nlisahau kuweka order ya kuwekewa mrembo pembeni yangu. Hii wakati flani inabidi utoe na bakshishi ya tsh 5000 kwa mkataji ticket na umpe vigezo unavyotaka maana azawaizi unaweza kuta amekuwekea bibi mmoja anavuta ugoro mwanzo wa safari hadi mwisho na kupiga chafya
Ngumu....mayb kuanzia saa5.unusuAshafika mwanza huyu mida hii!!!
Kama Mimi aseeh!yaani wananionaga mjanjaaa kumbe nshasafiri sana huko hvyo napajua sanaaMm hiyo barabara hata nikufumba macho najua hapa wapi..ah nishaichoka
Dragon ni nyoko dingiiSafari imeanzia kwenye Office za Mabasi ya Allys Star pale Shekhe Kilango. Tumetoka saa 11:40 kuelekea Mbezi Stand tukachukua Abiria na kuanza safari.
Gari nmejaribu kuangaza angaza ndani kumependeza. Wapo warembo wa kutosha na watu wengi nawaona wana bashasha.
Tumefika sehemu Morog kufukia dawa.na stand ya Morog tumefika saa 3 kamili Asub ( je ni sawa au dereva kaendesha taratibu sana nimshtaki kwa jamaa zangu ambao ni matraffic?)
Nmekaa na jamaa nlisahau kuweka order ya kuwekewa mrembo pembeni yangu. Hii wakati flani inabidi utoe na bakshishi ya tsh 5000 kwa mkataji ticket na umpe vigezo unavyotaka maana azawaizi unaweza kuta amekuwekea bibi mmoja anavuta ugoro mwanzo wa safari hadi mwisho na kupiga chafya.
Kuna bus jingine la Allys Star linatu overtake. Hii huwa ina kera. Dereva akiendelea hivi naweza waambia traffic kuwa anaendesha mwendo wa kinyonga.
Kati ya Higer na Golden Dragon ipi inakimbia sana?