sawaaa sikilizia show kwenye hiyo njia ya kijerumani sasa....ukifika kyengege tupe report mkuu, usisahau kushuka kunywa supu kwa shangazi misigiri..Tumetoka Singida tayari tunaliacha ziwa singidani.
π€£π€£π€£π€£Kwani ushamba ni tusi..??ni kweli ushamba unakusumbua bhanaa kwani nasema uongo ndugu yangu???usipanic sana kadiri unavyosafiri safiri ushamba utapungua halafu utakuja kuwa mjanja siku moja....π€£π€£π€£π€£πKakalie kitu. Mambo ya ngoswe achana nayo. Wajanja huwa wakiona issue haiwahhsu wanalala mbele. Hawasimami...sasa wewe bwege mshaMba unasimama kushangaa.... Unashadadia maisha ya watu...nyie ndo huwa mnaolewa ukoo mzima na mwanaume mmoja...sababu ya kujipendekeza.
Magari ya mwanza pale hayasimami mkuu...wananiudhig balaa yaanKuna sehemu hapo karibu kabisa na Jimbo la sabufa, panaitwa Chalinze ndogo mita chache kabla kufika Dodoma. Pana chomwa nyama ya mbuzi. Vipi dereva alikua muungwana akasimamisha hapo ukala utumbo wa mbuzi wa kuchoma?
Otherwise lunch mlikula wapi?
Yes.. ni muda sahihi...saa2 hv tindeeeeee...Tupo IGUNGA. JE NI MUDA SAHIHI?
Hakuwa muungwana. I wish tungepewa hata nusu saΓ tule nyama choma. Kuna haja ya kuweka sheria za namna hiiKuna sehemu hapo karibu kabisa na Jimbo la sabufa, panaitwa Chalinze ndogo mita chache kabla kufika Dodoma. Pana chomwa nyama ya mbuzi. Vipi dereva alikua muungwana akasimamisha hapo ukala utumbo wa mbuzi wa kuchoma?
Otherwise lunch mlikula wapi?
Tumekutanaa washamba. Ila we mshamba zaidi kushadadia uzi au kuwa mfuasi wanguπ€£π€£π€£π€£Kwani ushamba ni tusi..??ni kweli ushamba unakusumbua bhanaa kwani nasema uongo ndugu yangu???usipanic sana kadiri unavyosafiri safiri ushamba utapungua halafu utakuja kuwa mjanja siku moja....π€£π€£π€£π€£π
Tupo IGUNGA. JE NI MUDA SAHIHI?
Ww jamaa hata ndioo unasafirisha hizo si uwapatie majirani bureSina mke wala mpenzi kwa sasa.
Ofcourse ningeweza kununua vipya kama ningekuwa na hela
Nina mtungi wa gesi (una gesi full)
Nguo
Ndoo kubwa (bado mpya mpya) ziko 10
Dumu nyeupe 4.
Vyombo vya kupikia
Pasi ya umeme (phillips)
Angepatikana mteja ningeuza
Ww jamaa hata ndioo unasafirisha hizo si uwapatie majirani bure
Kisa?Ww jamaa hata ndioo unasafirisha hizo si uwapatie majirani bure
Huenda sio mtu wa kusafiri sana mkuu...Mtoa uzi ni popoma fulani hivi
InawezekanaHuenda sio mtu wa kusafiri sana mkuu...
π€£π€£π€£ tumepita Ziba dk 10 ago.Aiseee hilo Bus linakimbia utanipa namba ya hilo Bus siku nikiwa na safari nilitafute.
Nina muda sijasafiri kwa Bus.Huenda sio mtu wa kusafiri sana mkuu...
Watanzania wengi wana stress hivyo wanatafuta chanzo au pa kutolea stress/povu. ππππHuenda sio mtu wa kusafiri sana mkuu...
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tumepita Ziba dk 10 ago.