Safari yangu ya dhahabu Botswana

Safari yangu ya dhahabu Botswana

Heshima tena kwenu ndugu zangu. Najua tunamajukumu mengi katika kuzijenga nchi zetu na Afrika nzima.
Mungu awabariki sana.

Mnaoshangaa uandishi wangu msijali sana, hii ni tamaduni na heshima ya kujali zaidi wengine kuliko wewe mwenyewe.

Pia mnivumilie pale mnapoona habari yangu imekuwa ndefu na isiyoisha, maana lengo langu kuu la kuwepo hapa jukwaani ni kwaajiri ya habari hii tu na si jambo lingine lolote. Maana ime nichukua zaidi ya miaka tisa, na hadi sasa nimezungumzia mambo ya miezi miwili tu.

Leo hii tutaingia rasmi ndani zaidi na kuanzia hapo kidogo kutakuwa na utofauti, na naitaji kujua mtapendelea vipi zaidi. Moja- Niweke mambo yote wazi? au kwa ufupi ufupi?
Mbili- Harakati binafsi niweke hapa ili wenye kutaka kujua namna ya kuishi kule wajifunze, au niachane nazo?
Tatu na mwisho kuna umuhimu wa kuwawekea hapa kona zote muhimu zenye manufaa kwa MTU anayependa kuishi Botswana?

Nitaleta habari hapa kulingana na machaguo yenu.
Ahsanteni.


 
Heshima tena kwenu ndugu zangu. Najua tunamajukumu mengi katika kuzijenga nchi zetu na Afrika nzima.
Mungu awabariki sana.


Mnaoshangaa uandishi wangu msijali sana, hii ni tamaduni na heshima ya kujali zaidi wengine kuliko wewe mwenyewe.

Pia mnivumilie pale mnapoona habari yangu imekuwa ndefu na isiyoisha, maana lengo langu kuu la kuwepo hapa jukwaani ni kwaajiri ya habari hii tu na si jambo lingine lolote. Maana ime nichukua zaidi ya miaka tisa, na hadi sasa nimezungumzia mambo ya miezi miwili tu.

Leo hii tutaingia rasmi ndani zaidi na kuanzia hapo kidogo kutakuwa na utofauti, na naitaji kujua mtapendelea vipi zaidi. Moja- Niweke mambo yote wazi? au kwa ufupi ufupi?
Mbili- Harakati binafsi niweke hapa ili wenye kutaka kujua namna ya kuishi kule wajifunze, au niachane nazo?
Tatu na mwisho kuna umuhimu wa kuwawekea hapa kona zote muhimu zenye manufaa kwa MTU anayependa kuishi Botswana?


Nitaleta habari hapa kulingana na machaguo yenu.
Ahsanteni.

Mkuu weka kila kitu, yote kwa vyote
 
OP usiwaze, uzi wako huu...kitaalamu inaitwa CLIFFHANGER..wadau tuna maoni mengi ila moyoni tunatamani zaidi kusikia toka Kwakiutl.
taylor9119: Nimekuelewa mkuu, nitazingatia maoni yako. Ahsante sana.
 
Heshima tena kwenu ndugu zangu. Najua tunamajukumu mengi katika kuzijenga nchi zetu na Afrika nzima.
Mungu awabariki sana.

Mnaoshangaa uandishi wangu msijali sana, hii ni tamaduni na heshima ya kujali zaidi wengine kuliko wewe mwenyewe.

Pia mnivumilie pale mnapoona habari yangu imekuwa ndefu na isiyoisha, maana lengo langu kuu la kuwepo hapa jukwaani ni kwaajiri ya habari hii tu na si jambo lingine lolote. Maana ime nichukua zaidi ya miaka tisa, na hadi sasa nimezungumzia mambo ya miezi miwili tu.

Leo hii tutaingia rasmi ndani zaidi na kuanzia hapo kidogo kutakuwa na utofauti, na naitaji kujua mtapendelea vipi zaidi. Moja- Niweke mambo yote wazi? au kwa ufupi ufupi?
Mbili- Harakati binafsi niweke hapa ili wenye kutaka kujua namna ya kuishi kule wajifunze, au niachane nazo?
Tatu na mwisho kuna umuhimu wa kuwawekea hapa kona zote muhimu zenye manufaa kwa MTU anayependa kuishi Botswana?

Nitaleta habari hapa kulingana na machaguo yenu.
Ahsanteni.

Weka kila kitu mkuu..tiririka tupo tyr kuufuatilia huu uzi mpk mwisho
 
Heshima tena kwenu ndugu zangu. Najua tunamajukumu mengi katika kuzijenga nchi zetu na Afrika nzima.
Mungu awabariki sana.


Mnaoshangaa uandishi wangu msijali sana, hii ni tamaduni na heshima ya kujali zaidi wengine kuliko wewe mwenyewe.

Pia mnivumilie pale mnapoona habari yangu imekuwa ndefu na isiyoisha, maana lengo langu kuu la kuwepo hapa jukwaani ni kwaajiri ya habari hii tu na si jambo lingine lolote. Maana ime nichukua zaidi ya miaka tisa, na hadi sasa nimezungumzia mambo ya miezi miwili tu.

Leo hii tutaingia rasmi ndani zaidi na kuanzia hapo kidogo kutakuwa na utofauti, na naitaji kujua mtapendelea vipi zaidi. Moja- Niweke mambo yote wazi? au kwa ufupi ufupi?
Mbili- Harakati binafsi niweke hapa ili wenye kutaka kujua namna ya kuishi kule wajifunze, au niachane nazo?
Tatu na mwisho kuna umuhimu wa kuwawekea hapa kona zote muhimu zenye manufaa kwa MTU anayependa kuishi Botswana?


Nitaleta habari hapa kulingana na machaguo yenu.
Ahsanteni.

Kwanza nakupa hongera kwa kuamua ku share na sisi safari yako ya kusaka maisha,pili nakuomba kama ukiweza usisome comments wewe endelea na story yote kwa kua unapo ingia in details ndo unapunguza maswali na kejeli,tatu lengo hasa la story ni watu kupata exposure na kujua nini ni nini,na vijana wa leo waweze kujua kaka/baba zao tulifanya nini na maisha yalikuwaje siku za nyuma,Nne nakuelewa sana mana ndio kipindi na mimi nacheza mitaa hiyo(wizi wa mafuta kule KOJ) ila sikua naishi huko,wamkumbuka mzee Lukuba wa docs?R.I.P mzee wetu wa cota za bandari
..
 
Kwanza nakupa hongera kwa kuamua ku share na sisi safari yako ya kusaka maisha,pili nakuomba kama ukiweza usisome comments wewe endelea na story yote kwa kua unapo ingia in details ndo unapunguza maswali na kejeli,tatu lengo hasa la story ni watu kupata exposure na kujua nini ni nini,na vijana wa leo waweze kujua kaka/baba zao tulifanya nini na maisha yalikuwaje siku za nyuma,Nne nakuelewa sana mana ndio kipindi na mimi nacheza mitaa hiyo(wizi wa mafuta kule KOJ) ila sikua naishi huko,wamkumbuka mzee Lukuba wa docs?R.I.P mzee wetu wa cota za bandari
..
Jamiix umeongea vyema sana aisee. Umegusa watu maarufu na maeneo yenye historia pana wakati huo. Kuna mengi nimeyaluka hapa kutokana na maneno maneno mengi ya vijana hawa wa miaka ya kikwete kuchanganya mambo hapa. Ukweli unabaki kuwa sasa hivi watu wanaishi kwenye maeneo makapi, na kila kitu kwa sasa ni ovyo kabisa tofauti na zamani. Hakuna wahuni siku hizi, hakuna vibaka wa kufananisha na enzi hizo, hakuna wazamiaji, hakuna chochote, kila kitu ni makapi.
 
Jamiix umeongea vyema sana aisee. Umegusa watu maarufu na maeneo yenye historia pana wakati huo. Kuna mengi nimeyaluka hapa kutokana na maneno maneno mengi ya vijana hawa wa miaka ya kikwete kuchanganya mambo hapa. Ukweli unabaki kuwa sasa hivi watu wanaishi kwenye maeneo makapi, na kila kitu kwa sasa ni ovyo kabisa tofauti na zamani. Hakuna wahuni siku hizi, hakuna vibaka wa kufananisha na enzi hizo, hakuna wazamiaji, hakuna chochote, kila kitu ni makapi.
Naomba utuwekee kila kitu mkuu
 
Leta full story, watu tujifunze, maana hata mm Nina plan ya kuzamia Namibia, Windhoek...
Simamia ndoto zako Mr Political Stability Wanamibia na wabotswana ni ndugu wa karibu kama ilivyo Kenya na Tanzania. Tofauti ni mipaka tu, lakini mitindo na tabia zao wanafanania sana.
 
Heshima tena kwenu ndugu zangu. Najua tunamajukumu mengi katika kuzijenga nchi zetu na Afrika nzima.
Mungu awabariki sana.


Mnaoshangaa uandishi wangu msijali sana, hii ni tamaduni na heshima ya kujali zaidi wengine kuliko wewe mwenyewe.

Pia mnivumilie pale mnapoona habari yangu imekuwa ndefu na isiyoisha, maana lengo langu kuu la kuwepo hapa jukwaani ni kwaajiri ya habari hii tu na si jambo lingine lolote. Maana ime nichukua zaidi ya miaka tisa, na hadi sasa nimezungumzia mambo ya miezi miwili tu.

Leo hii tutaingia rasmi ndani zaidi na kuanzia hapo kidogo kutakuwa na utofauti, na naitaji kujua mtapendelea vipi zaidi. Moja- Niweke mambo yote wazi? au kwa ufupi ufupi?
Mbili- Harakati binafsi niweke hapa ili wenye kutaka kujua namna ya kuishi kule wajifunze, au niachane nazo?
Tatu na mwisho kuna umuhimu wa kuwawekea hapa kona zote muhimu zenye manufaa kwa MTU anayependa kuishi Botswana?


Nitaleta habari hapa kulingana na machaguo yenu.
Ahsanteni.

Weka kila kitu mkuu. Kama uliamua kuingia jf kwa ajili ya hii story tu mi naona huna budi kuweka kila kitu mkuu.
Mwaga mchele wote mtu asipojifunza hapa atajifunza pale na pale kwasababu historia na matarajio tumetofautiana mkuu. Weka vyote huenda ukamgusa kila mtu kwa namna yake.
 
Heshima tena kwenu ndugu zangu. Najua tunamajukumu mengi katika kuzijenga nchi zetu na Afrika nzima.
Mungu awabariki sana.

Mnaoshangaa uandishi wangu msijali sana, hii ni tamaduni na heshima ya kujali zaidi wengine kuliko wewe mwenyewe.

Pia mnivumilie pale mnapoona habari yangu imekuwa ndefu na isiyoisha, maana lengo langu kuu la kuwepo hapa jukwaani ni kwaajiri ya habari hii tu na si jambo lingine lolote. Maana ime nichukua zaidi ya miaka tisa, na hadi sasa nimezungumzia mambo ya miezi miwili tu.

Leo hii tutaingia rasmi ndani zaidi na kuanzia hapo kidogo kutakuwa na utofauti, na naitaji kujua mtapendelea vipi zaidi. Moja- Niweke mambo yote wazi? au kwa ufupi ufupi?
Mbili- Harakati binafsi niweke hapa ili wenye kutaka kujua namna ya kuishi kule wajifunze, au niachane nazo?
Tatu na mwisho kuna umuhimu wa kuwawekea hapa kona zote muhimu zenye manufaa kwa MTU anayependa kuishi Botswana?

Nitaleta habari hapa kulingana na machaguo yenu.
Ahsanteni.

Na mashaka na mleta uzi yawezekana terminal zime loose uwez kua mpuuzi kias hiki saaa umekuja kuuliza nin? Mbona ukuuliza b4 kabla ujaleta uzi?
 
Weka kila kitu mkuu. Kama uliamua kuingia jf kwa ajili ya hii story tu mi naona huna budi kuweka kila kitu mkuu.
Mwaga mchele wote mtu asipojifunza hapa atajifunza pale na pale kwasababu historia na matarajio tumetofautiana mkuu. Weka vyote huenda ukamgusa kila mtu kwa namna yake.
Ahsante Vishu Mtata kwa machanganuo yako.
 
Mkuu una maswal ya ajabu ajabu sana ndo maana Kuna wadau wanashuka na wewe jumla jumla had unataka kususa.
We Leta stori vile itavyo kupendeza huk huwez kuskiliza mawazo ya kila mtu na ukafanikisha ulicho weka nia kutufikishia
 
Kumbendio ulikofikia huku et unaomba ushari kuletaje uzii hauko seriuos kah na story yako waadhizie wanao baadae ..mnk these is too much boringly
 
Back
Top Bottom