Safari yangu ya dhahabu Botswana

Safari yangu ya dhahabu Botswana

Habari ya mchana ndugu zangu. Kwanza kabisa nawaomba radhi kwa kuchelewa kwangu kuandika chochote hapa jukwaani.

pia nipende kuwahakikishia nitatoa ushirikiano mzuri zaidi Wakuu.
kidogo kutokana na tegemeo lile la utabiri wa hali ya hewa, ulifanya office yetu ichukue taadhari kubwa, hivyo hii leo imenipasa kutopata muda wa kushiriki hapa kwa sababu mbali mbali za kiofisi, ikiwa ni pamoja na kurejeshea Mali mbali mbali tulizokuwa tumeziifadhi kuepuka dhoruba na hasara za kimbunga JOBU.

Hivyo basi leo jioni nitawasilisha hapa sehemu nyingine ya muendelezo na nitarudi nyuma kidogo kufidia yale niliyoyaacha kutokana na maneno ya wakosoaji wetu.

Tupo pamoja ndugu. Ahsanteni.
 
Habari ya mchana ndugu zangu. Kwanza kabisa nawaomba radhi kwa kuchelewa kwangu kuandika chochote hapa jukwaani.

pia nipende kuwahakikishia nitatoa ushirikiano mzuri zaidi Wakuu.
kidogo kutokana na tegemeo lile la utabiri wa hali ya hewa, ulifanya office yetu ichukue taadhari kubwa, hivyo hii leo imenipasa kutopata muda wa kushiriki hapa kwa sababu mbali mbali za kiofisi, ikiwa ni pamoja na kurejeshea Mali mbali mbali tulizokuwa tumeziifadhi kuepuka dhoruba na hasara za kimbunga JOBU.

Hivyo basi leo jioni nitawasilisha hapa sehemu nyingine ya muendelezo na nitarudi nyuma kidogo kufidia yale niliyoyaacha kutokana na maneno ya wakosoaji wetu.

Tupo pamoja ndugu. Ahsanteni.
Mkuu JF ina mpaka matahila ya milembe humu, ni kuwazoea tu
 
Kamanda itapendeza zaidi japo si lazima ukishusha episode Kama mbili hivi
 
Habari ya mchana ndugu zangu. Kwanza kabisa nawaomba radhi kwa kuchelewa kwangu kuandika chochote hapa jukwaani.

pia nipende kuwahakikishia nitatoa ushirikiano mzuri zaidi Wakuu.
kidogo kutokana na tegemeo lile la utabiri wa hali ya hewa, ulifanya office yetu ichukue taadhari kubwa, hivyo hii leo imenipasa kutopata muda wa kushiriki hapa kwa sababu mbali mbali za kiofisi, ikiwa ni pamoja na kurejeshea Mali mbali mbali tulizokuwa tumeziifadhi kuepuka dhoruba na hasara za kimbunga JOBU.

Hivyo basi leo jioni nitawasilisha hapa sehemu nyingine ya muendelezo na nitarudi nyuma kidogo kufidia yale niliyoyaacha kutokana na maneno ya wakosoaji wetu.

Tupo pamoja ndugu. Ahsanteni.

Safi kabisa mkuu,tunasubiri mu~episode huo
 
Asa hicho ndo kistory gani
Kama huwez kumulia acha tu,,

Yaani maoni ya mtu mmoja ndo uharibi Uzi huu utani sasa
Jamaa kaamua kuheshimu maoni ya mtu mmoja katosa wengine wote walimsisitiza kuandika kila kitu. Maajabu haya......
 
Jongo alichomwa moto jamaa alikuwa mafia kwelikweli aliwahi kuruka na dumu za mafuta kule daraja la kurasini kuelekea beach sava....... Kurasini kota bandari, railway, polisi is my hood.... KR for Life
Ni huyu jamaa au ni ndugu yake alikua na uwezo wa kukuuzia viatu vya wizi na akaja kukuibia (kukupora) tena?
 
Lino Lensi kama ilivyotajwa na mtoa uzi ni Lorenzo Lamas.
Character mle kwenye Renegade alikua anaitwa Reino Raines ambaye iliigizwa na Lorenzo Lamas. Ila kibongo unajua tukaiunga Lino Lensi
Screenshot_20210426-172433.png
 
Siku hizi Jf imekuwa kijiwe cha watu wasiostaarabika kabisa. Ukishaona watu wanashindwa kuvumiliana,ustaarabu nao haupo. Mtu analeta stori yake lakini watu wanampangia hadi muda wa kuileta pasipo kujua yupo katika mazingira gani. Wewe kama bado kula kulala siyo kila mtu yupo hivyo,wengine ni wahemeaji. Nina uhakika kuna wengi walitaka kuleta stori humu lakini hadhira imekaa kihunihuni sana.
Acha kutetea ubabaishaji Aliileta ya nini kama hana mda wa muendelezo..
 
Habari ya mchana ndugu zangu. Kwanza kabisa nawaomba radhi kwa kuchelewa kwangu kuandika chochote hapa jukwaani.

pia nipende kuwahakikishia nitatoa ushirikiano mzuri zaidi Wakuu.
kidogo kutokana na tegemeo lile la utabiri wa hali ya hewa, ulifanya office yetu ichukue taadhari kubwa, hivyo hii leo imenipasa kutopata muda wa kushiriki hapa kwa sababu mbali mbali za kiofisi, ikiwa ni pamoja na kurejeshea Mali mbali mbali tulizokuwa tumeziifadhi kuepuka dhoruba na hasara za kimbunga JOBU.

Hivyo basi leo jioni nitawasilisha hapa sehemu nyingine ya muendelezo na nitarudi nyuma kidogo kufidia yale niliyoyaacha kutokana na maneno ya wakosoaji wetu.

Tupo pamoja ndugu. Ahsanteni.
Hata usipoleta fresh tu, Mwanaume gani unasusa mpaka ubembelezwe
 
Mkuu mambo kama haya unayoandika yametuvurugia sana story nyingi zenye mafundisho mazuri kwa kukatishwa juu kwa juu.

Mimi nashauri tuwe wavumilivu tumwache mleta mada aandike story yake kwa style yake anayoweza yeye. Styles za uandishi haziwezi kuwa sawa na pia mimi ni msomaji wa novels na nakuambia kuwa waandishi wengi ni wazuri sana katika ku describe minor details wanapozungumzia mandhari fulani au eneo fulani au kitu fulani. Na humfanya msomaji kuburudika kwa kujenga picha kama anaona kinachoelezewa.

Sisi tusome tu na kama kuna hoja au swali la msingi ndio tuulize.
Hii mijitu hata mimi inaniboa kweli
 
Back
Top Bottom