Safari yangu ya dhahabu Botswana

Safari yangu ya dhahabu Botswana

Huu uzi ulipaswa kuisha kwa episode 2 au 3.
Isipokuwa anachofanya mwandishi ni kuingiza maelezo mengi ambayo siyo ya lazima sana.

Mfano angalia episode ya 1 na 2, akitaja eneo la hapa Bongo mfano mwenge mataa anataka elezee hapo mwenge mataa kuna nini, aelezee mpaka wauza magazeti hapo,,aelezee mama lishe, aelezee vibaka, haya yote ni kurefusha stori.


Issue ni safr anapaswa kunyoosha safr ilivyokuwa basi, lakini asilimia 95% ya maelezo yanazunguka hapa hapa bongo tu.

Endeleeni tu hizi tabia za kuanzisha uzi kupima upepo Mungu asaidie huu uishe salama.
Mkuu mambo kama haya unayoandika yametuvurugia sana story nyingi zenye mafundisho mazuri kwa kukatishwa juu kwa juu.

Mimi nashauri tuwe wavumilivu tumwache mleta mada aandike story yake kwa style yake anayoweza yeye. Styles za uandishi haziwezi kuwa sawa na pia mimi ni msomaji wa novels na nakuambia kuwa waandishi wengi ni wazuri sana katika ku describe minor details wanapozungumzia mandhari fulani au eneo fulani au kitu fulani. Na humfanya msomaji kuburudika kwa kujenga picha kama anaona kinachoelezewa.

Sisi tusome tu na kama kuna hoja au swali la msingi ndio tuulize.
 
Keko machungwa miaka ya 90 kulikuwa na kijiwe kimoja kinaitwa "Saa ya kula" yaani watu walikuwa wanazamia sana, wengine wanarudi na magari yao yale Peugeot 504 na 404. Watoto wa kota za polisi na huku uraiani enzi hizo waliiuwepo akina marehemu Bosco a.k.a Cool Jay
Daah Bosco R.I.P mjomba wangu mzee wa dancing
 
Mkuu mambo kama haya unayoandika yametuvurugia sana story nyingi zenye mafundisho mazuri kwa kukatishwa juu kwa juu.

Mimi nashauri tuwe wavumilivu tumwache mleta mada aandike story yake kwa style yake anayoweza yeye. Styles za uandishi haziwezi kuwa sawa na pia mimi ni msomaji wa novels na nakuambia kuwa waandishi wengi ni wazuri sana katika ku describe minor details wanapozungumzia madhari fulani au eneo fulani au kitu fulani. Na humfanya msomaji kuburudika kwa kujenga picha kama anaona kinachoelezewa.

Sisi tusome tu na kama kuna hoja au swali la msingi ndio tuulize.
Nimekupata mkuu, ngoja nitulie kwa password
 
Back
Top Bottom