Safari ya treni ya mwendokasi Dar mpaka Morogoro itaanza lini?

koryo1952

JF-Expert Member
Mar 7, 2023
380
763
Tuliaminishwa kuwa treni ya mwendo kasi toka Dar mpaka Morogoro ingeanza safari zake tangu 2021 na leo hii ni mwaka 2023 miaka miwili tayari imepita.

Kila siku kuna msemo "Mama anupiga mwingi". Kulikoni?.
 
Tuliaminishwa kuwa treni ya mwendo kasi toka Dar mpaka Morogoro ingeanza safari zake tangu 2021 na leo hii ni mwaka 2023 miaka miwili tayari imepita. Kila siku kuna msemo "Mama anupiga mwingi". Kulikoni?.

Kuna msemo wa wanasheria unasema hivi “justice delayed is a justice denied” wahuni wa kijani hawana mpango na SGR, ikikamilika dili zao za mafuta na usafirishaji kupitia malori zitakufa.

Kinachoendelea ni kupigwa propaganda 2025 wautumie kuombea kura kwamba mkiwachagua tena wataenda kuumalizia

Jpm alitujuza mapema.
 
Tatizo timeframe ya miradi wanatoa wanasiasa na si wataalam.

Kuna huu mradi wa daraja la Kigongo - Busisi wanasiasa wanasema unakamilika February 2024 lakin ukifika pale huon dalili za kukamilika hata Dec 2024
 
Tuliaminishwa kuwa treni ya mwendo kasi toka Dar mpaka Morogoro ingeanza safari zake tangu 2021 na leo hii ni mwaka 2023 miaka miwili tayari imepita. Kila siku kuna msemo "Mama anupiga mwingi". Kulikoni?.
Nakusahihisha. Kwenye plan za awali Treni ya SGR ya Dar -Moro ilikuwa ianze Novemba 2019 wakati wa Dhalimu akiwa hai.
 
Alikuwepo na aliahidi kuwa 2019 dar to Moro itakuwa hewani lkn mpaka anafariki 2021 ilikuwa bado, so kaeni mkielewa ni Jambo la kawaida kuchelewa kukamilika miradi kama ilivyopangwa.
Asante kwa sahihisho hilo. Hawa wahafidhina wa Samia wanataka kuhusisha ucheleweshaji wa miradi kuwa ni kwa sababu "shujaa" wao au DIKTETA Magufuli hayupo. Kumbe huyo huyo Magufuli ndiyo chanzo cha ucheleweshaji kwa sababu alikurupuka kuanzisha miradi MIKUBWA mingi kwa wakati mmoja bila kujuwa fedha za kulipa gharama za ujenzi atatoa wapi
 
Tuliaminishwa kuwa treni ya mwendo kasi toka Dar mpaka Morogoro ingeanza safari zake tangu 2021 na leo hii ni mwaka 2023 miaka miwili tayari imepita. Kila siku kuna msemo "Mama anupiga mwingi". Kulikoni?.

We hujasikia kuna watu wamefilisika huko...
 
Tuliaminishwa kuwa treni ya mwendo kasi toka Dar mpaka Morogoro ingeanza safari zake tangu 2021 na leo hii ni mwaka 2023 miaka miwili tayari imepita. Kila siku kuna msemo "Mama anupiga mwingi". Kulikoni?.
Mbona ilishaanza kitambi, mimi uwa ndio usafiri wangu!

Dakika 50 tu nimeshafika Dodoma kutoka Dar.
 
Kuna msemo wa wanasheria unasema hivi “justice delayed is a justice denied” wahuni wa kijani hawana mpango na SGR, ikikamilika dili zao za mafuta na usafirishaji kupitia malori zitakufa.

Kinachoendelea ni kupigwa propaganda 2025 wautumie kuombea kura kwamba mkiwachagua tena wataenda kuumalizia

Jpm alitujuza mapema.
Unaishi Kwa hisia sana
 
Tuliaminishwa kuwa treni ya mwendo kasi toka Dar mpaka Morogoro ingeanza safari zake tangu 2021 na leo hii ni mwaka 2023 miaka miwili tayari imepita. Kila siku kuna msemo "Mama anupiga mwingi". Kulikoni?.
 

Attachments

  • AB15E3A8-F6E9-4734-8CCA-442C1B611172.jpeg
    AB15E3A8-F6E9-4734-8CCA-442C1B611172.jpeg
    146.1 KB · Views: 1
  • D3A2EC50-A17D-4B27-A438-CE50496178C4.jpeg
    D3A2EC50-A17D-4B27-A438-CE50496178C4.jpeg
    35.5 KB · Views: 1
  • C4B9D217-4144-4C09-B8A7-10ABD2B8FF0D.jpeg
    C4B9D217-4144-4C09-B8A7-10ABD2B8FF0D.jpeg
    46.6 KB · Views: 1
Tuliaminishwa kuwa treni ya mwendo kasi toka Dar mpaka Morogoro ingeanza safari zake tangu 2021 na leo hii ni mwaka 2023 miaka miwili tayari imepita. Kila siku kuna msemo "Mama anupiga mwingi". Kulikoni?.
Kuna watu wasiofanana na wewe kwa rangi wamemuweka msimamizi kiganjani wameagiza mabasi 12+ je unategemea nini
 
Back
Top Bottom