mkuu lowasa aondoke tu. wala haina shida. kwa bahati nzuri mimi huwa nina msimamo wangu. siwezi kuwazuia watu kuchagua fisadi ila mimi sitompa kura yangu. hata hapo baadaye watakapokuwa wanalalamika kuwa anawaibia mimi sitoilaumu nafsi yangu kwa sababu najua fika sikushiriki kumweka pale alipo.
Lowasa angekuwa wakuelewa angeelewa mapema Jk alichukuwa anamaanisha. rejea hutuba ya JK ya mbeya alichosema kipindi lowasa akigawa pesa makanisani.
lakini kama vile haitoshi hivi hujiulizi akina nape, makonda na wanaofanania walikuwa wanapata wapi ule ujasiri? ukiona mtoto mdogo anakudhihaki na mzazi wake anasikia halafu kanyamaza ni vizuri ukajiuliza kitu.
kauli kama za akina kinana kuwa hatutakubali chama kiende kwa mafisadi- lowasa hakujifunza kitu hapo? maana wakitajwa mafisadi kwa harakaharaka huwezi kosa jina la lowasa.
lakini lingine la kujiuliza; kwa vyovyote vile isingewezakana lowasa kuwa flag bearer wa ccm kwa sababu alikuwa na mikwaruzano na watu wengi kama akina sita, mwakyembe, membe kwa mbali na timu zao. kupewa jukuma la kuwa rais kazi ya kwanza ambayo angeanza nayo ni kuwashughulikia mahasimu wake kwanza kabla ya wananchi.
binafsi siku tayari kuajiri mtu kwa ajili ya kwenda kulipiza visasi badala ya kututumikia. yapo mengi tatizo muda. ningetiriririririka mpaka hata kesho. kwaheri.
Lowasa angekuwa wakuelewa angeelewa mapema Jk alichukuwa anamaanisha. rejea hutuba ya JK ya mbeya alichosema kipindi lowasa akigawa pesa makanisani.
lakini kama vile haitoshi hivi hujiulizi akina nape, makonda na wanaofanania walikuwa wanapata wapi ule ujasiri? ukiona mtoto mdogo anakudhihaki na mzazi wake anasikia halafu kanyamaza ni vizuri ukajiuliza kitu.
kauli kama za akina kinana kuwa hatutakubali chama kiende kwa mafisadi- lowasa hakujifunza kitu hapo? maana wakitajwa mafisadi kwa harakaharaka huwezi kosa jina la lowasa.
lakini lingine la kujiuliza; kwa vyovyote vile isingewezakana lowasa kuwa flag bearer wa ccm kwa sababu alikuwa na mikwaruzano na watu wengi kama akina sita, mwakyembe, membe kwa mbali na timu zao. kupewa jukuma la kuwa rais kazi ya kwanza ambayo angeanza nayo ni kuwashughulikia mahasimu wake kwanza kabla ya wananchi.
binafsi siku tayari kuajiri mtu kwa ajili ya kwenda kulipiza visasi badala ya kututumikia. yapo mengi tatizo muda. ningetiriririririka mpaka hata kesho. kwaheri.
Ila JMK naye mkuu, siyo! Kufanya vile ilikua sawa EL kufanyiwa kwa sababu ulizo toa, lakini ni halali au ni sawa JMK kufanya vile? Je, alicho fanya kimemtakasa yeye au huo mfumo wao? Huwezi kutakasa dhambi kupitia dhambi kwa .."two wrongs will not and Connot make one right!"
EL can wewe na mimi is still redemptive! Why not! Na kubali ukataye anao watu, Si wachache, akiondoka asubui, 30 katika 100, ya haraka tu, ya waliovaa jezi juzi watamfuata mbio!