Safari ya matumaini inaweza kuendelea

Safari ya matumaini inaweza kuendelea

Mangisandy

JF-Expert Member
Joined
Apr 23, 2012
Posts
2,644
Reaction score
2,273
Kama Lowasa alikua na nia ya dhati ya kuwatumikia Watanzania, basi nafasi bado ipo. Anaweza kupiga pigo moja la mwisho, pigo lenye nguvu, pigo takatifu.

Lowasa ni sehemu ya mfumo uliomnyima nafasi kwa kupitia mlangoni, atumie dirisha kuharibu kazi yake na wengine, ili kuleta ukombozi kwa vizazi vijavyo! Lowasa anaweza, akitaka, kutafuta haki nje ya mfumo, na kuweka standards ambazo zitamjengea heshima kwa kizazi kijacho.

Huu mfumo upo mikononi mwa EL kwa sasa, kama akitaka anaweza kuwa sehemu ya historia, lakini hata kama hatatumia hii fursa, kuna siku mfumo huu utavunjwa.

Ipo siku Tanzania itaondokana na huu mfumo, kuna siku ukombozi utapatikana! Ipo siku utumwa wa fikra utakoma na uhuru wa Kweli utapatikana, EL ana fursa akiitumia ataingiza jina lake kwenye vitabu!
 
Kama Lowasa alikua na nia ya dhati ya kuwatumikia Watanzania, basi nafasi bado ipo. Anaweza kupiga pigo moja la mwisho, pigo lenye nguvu....... Lowasa ni sehemu ya mfumo uliomnyima nafasi kwa kupitia mlangoni, atumie dirisha kuharibu kazi yake na wengine, ili kuleta ukombozi kwa vizazi vijavyo! Lowasa anaweza, akitaka, kutafuta haki nje ya mfumo, na kuweka standards ambazo zitamjengea heshima kwa kizazi kijacho. Huu mfumo upo mikononi mwa EL kwa sasa, kama akitaka anaweza kuwa sehemu ya historia, lakini hata kama hatatumia hii fursa, kuna siku mfumo huu utavunjwa. Ipo siku Tanzania itaondokana na huu mfumo, kuna siku ukombozi utapatikana! Ipo siku utumwa wa fikra utakoma na uhuru wa Kweli utapatikana, EL ana fursa akiitumia ataingiza jina lake kwenye vitabu!
Ndugu, mie sijakuelewa vema unataka NINI hasa usemapo apitie dirishani. Lowasa HANA viwango vya kuweka, angalau kwa sasa. Amepata umaarufu kwa njia chafu. Kahonga, kaanza kampeni na kujenga mitandao ya kununua Uraisi kwa muda mrefu sasa. Hii ndo sababu hakuvuka kikwazo cha kamati ya maadili ya CCM. Kwa sababu hii, hana lolote la kuleta ukombozi! Safari ya MATUMANI imeishia shimoni. Kwa maoni yangu, GARI alilokuwa akiendesha, limedumbukia kule Manyara Cliff, ukuta wa Bonde la ufa, yaani wakati akielekea mto wa Mbu. safari ya matamanio KWISHNEI! Haipo tena 2015, labda 2020!
 
Inabidi ajipange kweli kweli , vinginevyo atajikuta anapoteza lasilimali muda na vitu.
 
sijui umekula maharage ya wapi wewe? kwa akili yako mabilioni aliyokuwa akigawa ni kwa ajili ya kukutumikia wewe? thubutu. akina rost, karams na makengeza wakikusikia watakucheka.
Siyo mimi, sitaki anitumikie mimi, lakini anaweza kujitoa kwenye huo utumishi wa kuwatumikia kina Rostam pia! EL kama mimi na wewe, anaweza kubadilika, akashirikiana na wazalendo wengine, kujenga taifa badala ya kutumiwa na hao unaosema wanatumiwa. Usiangalie maarage niliyokula tu, tujadili hoja, hata kama nilichosema hakipo kwenye kambi yako, nisaidie kwa hoja!
 
Ndugu, mie sijakuelewa vema unataka NINI hasa usemapo apitie dirishani. Lowasa HANA viwango vya kuweka, angalau kwa sasa. Amepata umaarufu kwa njia chafu. Kahonga, kaanza kampeni na kujenga mitandao ya kununua Uraisi kwa muda mrefu sasa. Hii ndo sababu hakuvuka kikwazo cha kamati ya maadili ya CCM. Kwa sababu hii, hana lolote la kuleta ukombozi! Safari ya MATUMANI imeishia shimoni. Kwa maoni yangu, GARI alilokuwa akiendesha, limedumbukia kule Manyara Cliff, ukuta wa Bonde la ufa, yaani wakati akielekea mto wa Mbu. safari ya matamanio KWISHNEI! Haipo tena 2015, labda 2020!
Ukiangalia kwa jicho la 3, Lowasa hajafa! Ni Kweli gari limetumbukia Manyara, Lowasa amejeruiwa lakini hajafa, amezimia tu! Hebu jiulize itakuaje akiamua kujiunga na harakati za ukombozi, akitubu madhambi, akianika maovu?!! Hivi itakuaje akiamua, liwalo na liwe, kupambana na mfumo wa wachache kuamua na kutawala hatima ya wengi/wote?! Ni wazo tu, tafakari, kidogo tu. Sijasema awe raisi......
 
Lowasa anahamia chadema,,,nadhani
Lowasa akihama CCM amekwisha kuliko Zitto.Lowasa anaweza iua CCM from within.Chama kitakachomchukua kitaisaidia CCM kutangaza kwa Mbwembwe kwamba wamevua gamba,kwamba CCM sasa inawaka km malaika kwa usafi.
 
Lowasa aipige chini ccm kwa kila njia ilia pate heshima kwa watz.Anatakiwa achia huru jeshi lake ktk ccm wakaimalize ccm.Kwani tayari ari,kasi na nia wanyo..Kwamba watapigika sana ktk ccm ikifanikiwa kwenda.Watadhibitiwa sana.
 
Lowasa akihama CCM amekwisha kuliko Zitto.Lowasa anaweza iua CCM from within.Chama kitakachomchukua kitaisaidia CCM kutangaza kwa Mbwembwe kwamba wamevua gamba,kwamba CCM sasa inawaka km malaika kwa usafi.
Labda upo sahihi, na ni kweli, ni risk, lakini kila kitu maishani ni risk! Kama hutahatarisha hutafanya chochote! Tatizo kwenye 'mfumo' siyo mtu, na kule EL anatumiwa kama 'kichaka'! Wapigao dili kule ni karibu wote, kwa sababu ya mfumo ule, akitoka wao watakosa pa kujifichia, na sisi tutaona vizuri zaidi ubovu wa kule!
 
Lowasa aipige chini ccm kwa kila njia ilia pate heshima kwa watz.Anatakiwa achia huru jeshi lake ktk ccm wakaimalize ccm.Kwani tayari ari,kasi na nia wanyo..Kwamba watapigika sana ktk ccm ikifanikiwa kwenda.Watadhibitiwa sana.
Macho yako yanaona, pokea 'like'!
 
Labda upo sahihi, na ni kweli, ni risk, lakini kila kitu maishani ni risk! Kama hutahatarisha hutafanya chochote! Tatizo kwenye 'mfumo' siyo mtu, na kule EL anatumiwa kama 'kichaka'! Wapigao dili kule ni karibu wote, kwa sababu ya mfumo ule, akitoka wao watakosa pa kujifichia, na sisi tutaona vizuri zaidi ubovu wa kule!
Lowas anatakiwa kurudisha personal glory ambayo ilichukuliwa na kutupwa ardhini na wapiga dili wenzie...Mbaya alifika kushuhudia kwamba hasimu wake Membe ana kwenda hatua zaidi ya yake.Bahati membe hakufika finali.Lowasa ni masai na masai revenge ni ku disable adui yako for a revenge.Lowasa akiwa nje ya CCM atakuwa km kaenda pigana vita akiwa uchi....akiwa kafungwa mdomo huku adui yao kapewa micorphone..Lowasa akiwa ACT atakosa nguvy ya dola ya ccm ambayo pia yeye ni sehemu ya walioipanguvu sana.Atakuwa anapigana vita na misingia liyoijenga.
 
Lowas anatakiwa kurudisha personal glory ambayo ilichukuliwa na kutupwa ardhini na wapiga dili wenzie...Mbaya alifika kushuhudia kwamba hasimu wake Membe ana kwenda hatua zaidi ya yake.Bahati membe hakufika finali.Lowasa ni masai na masai revenge ni ku disable adui yako for a revenge.Lowasa akiwa nje ya CCM atakuwa km kaenda pigana vita akiwa uchi....akiwa kafungwa mdomo huku adui yao kapewa micorphone..Lowasa akiwa ACT atakosa nguvy ya dola ya ccm ambayo pia yeye ni sehemu ya walioipanguvu sana.Atakuwa anapigana vita na misingia liyoijenga.
Kwani kwa sasa unatofautishaje hali yake na kuvuliwa nguo? Kama ni kujenga personal glory, ajisitiri pale, lakini kama alikua na nia ya dhati, atie nguvu timu inayopambana na mfumo huu kandamizi. EL ameonja matokeo ya misingi aliyoshiriki kuijenga, ni mmoja kati ya watu sahihi wa kuharibu misingi hiyo!
 
Ndugu, mie sijakuelewa vema unataka NINI hasa usemapo apitie dirishani. Lowasa HANA viwango vya kuweka, angalau kwa sasa. Amepata umaarufu kwa njia chafu. Kahonga, kaanza kampeni na kujenga mitandao ya kununua Uraisi kwa muda mrefu sasa. Hii ndo sababu hakuvuka kikwazo cha kamati ya maadili ya CCM. Kwa sababu hii, hana lolote la kuleta ukombozi! Safari ya MATUMANI imeishia shimoni. Kwa maoni yangu, GARI alilokuwa akiendesha, limedumbukia kule Manyara Cliff, ukuta wa Bonde la ufa, yaani wakati akielekea mto wa Mbu. safari ya matamanio KWISHNEI! Haipo tena 2015, labda 2020!
Very soon utawasikia CCM wakisema wanarudi tena mezani kwa mazungumzo..Nani hajui CCM ya JK ilivyokuwa ikimwandama Mkapa sana...kila baya wakadai alianzisha yeye...Siku za mwisho waliishiwa mafuta wapi?Km Lowasa katafuta hela ktk siasa za CCM ,km kajenga mitandao ndani ya CCM tena mitandao mingine ina mahusiano complex kt ya wana CCM hata waliopita na walioshindwa kwa machungu.Idadi wa wana CCM waliopoteza ktk prodect deci za CCM..sidhani km umefikiri vizuri .Wanaopakia mizigo ktk ndege huwa wanajua sana mzigo uliokaa vibaya ktk cabin ni hatari km bomu.
 
Kwani kwa sasa unatofautishaje hali yake na kuvuliwa nguo? Kama ni kujenga personal glory, ajisitiri pale, lakini kama alikua na nia ya dhati, atie nguvu timu inayopambana na mfumo huu kandamizi. EL ameonja matokeo ya misingi aliyoshiriki kuijenga, ni mmoja kati ya watu sahihi wa kuharibu misingi hiyo!
Ndicho alichobaki nacho...wafuasi wake wasambae nchi kote kwenda izamisha ccm.Wengine wajiunge na ccm km wametosa vile ila wakifika huko wakipewa kamati waiuze upinzani.
 
Siyo mimi, sitaki anitumikie mimi, lakini anaweza kujitoa kwenye huo utumishi wa kuwatumikia kina Rostam pia! EL kama mimi na wewe, anaweza kubadilika, akashirikiana na wazalendo wengine, kujenga taifa badala ya kutumiwa na hao unaosema wanatumiwa. Usiangalie maarage niliyokula tu, tujadili hoja, hata kama nilichosema hakipo kwenye kambi yako, nisaidie kwa hoja!
mkuu once a gunner always a gunner. lowasa hajaanza wizi leo wala jana. ameanza akiwa mdogo. miaka 20 iliyopita mwl. nyerere alimkataa. kikwete kwa sababu ya uswahiba wake akajifanya kimbelembele kumuweke kwenye u-PM akamuingiza mkenge kwa ahadi hewa ya umeme.
ukipata nafasi soma ile ripoti ya mwakyembe uone alivyokuwa akiwaamrisha akina Dr. Ibrahim Msabaha katika dili lake. mpaka leo Kikwete anayake ya moyoni ndo maana ameamua hata kumfanyia vile. usione kimya kile. na hujiulizi kwa nini hata hajamuambia rafiki yake asigawe hela kwani sitakupitisha? amesubiri mpaka dkk ya mwisho jamaa keshapigika vya kutosha kugaramia ndo kamfanyia vile?
unategemea na uzee ule abadilike? awapi. sahau mkuu.
 
Hizi akili kazitumie kujikwamua na umaskini
Nashukuru mkuu, ninapambana sana na umasikini, hata hapa najitaidi ku pambana na umasikini wa fikra! Na napenda ujue kwamba Watanzania kwa kuchanga changa akili ndogo ndogo, hivi tu, kuna siku tutabadulisha kabisa huu mfumo wa sasa, tena kwa mambo mengi tu! Ninacho jaribu kuanglia kwa sasa ni 'shortcut' ya EL kubomoa kwa nguvu aliyo nayo sasa, alafu tujenge upya! Lakini, siku ipo......
 
mkuu once a gunner always a gunner. lowasa hajaanza wizi leo wala jana. ameanza akiwa mdogo. miaka 20 iliyopita mwl. nyerere alimkataa. kikwete kwa sababu ya uswahiba wake akajifanya kimbelembele kumuweke kwenye u-PM akamuingiza mkenge kwa ahadi hewa ya umeme.
ukipata nafasi soma ile ripoti ya mwakyembe uone alivyokuwa akiwaamrisha akina Dr. Ibrahim Msabaha katika dili lake. mpaka leo Kikwete anayake ya moyoni ndo maana ameamua hata kumfanyia vile. usione kimya kile. na hujiulizi kwa nini hata hajamuambia rafiki yake asigawe hela kwani sitakupitisha? amesubiri mpaka dkk ya mwisho jamaa keshapigika vya kutosha kugaramia ndo kamfanyia vile?
unategemea na uzee ule abadilike? awapi. sahau mkuu.
Ila JMK naye mkuu, siyo! Kufanya vile ilikua sawa EL kufanyiwa kwa sababu ulizo toa, lakini ni halali au ni sawa JMK kufanya vile? Je, alicho fanya kimemtakasa yeye au huo mfumo wao? Huwezi kutakasa dhambi kupitia dhambi kwa .."two wrongs will not and Connot make one right!"
EL can wewe na mimi is still redemptive! Why not! Na kubali ukataye anao watu, Si wachache, akiondoka asubui, 30 katika 100, ya haraka tu, ya waliovaa jezi juzi watamfuata mbio!
 
Back
Top Bottom