Clemence Baraka
JF-Expert Member
- Sep 4, 2012
- 1,693
- 652
Ndugu, mie sijakuelewa vema unataka NINI hasa usemapo apitie dirishani. Lowasa HANA viwango vya kuweka, angalau kwa sasa. Amepata umaarufu kwa njia chafu. Kahonga, kaanza kampeni na kujenga mitandao ya kununua Uraisi kwa muda mrefu sasa. Hii ndo sababu hakuvuka kikwazo cha kamati ya maadili ya CCM. Kwa sababu hii, hana lolote la kuleta ukombozi! Safari ya MATUMANI imeishia shimoni. Kwa maoni yangu, GARI alilokuwa akiendesha, limedumbukia kule Manyara Cliff, ukuta wa Bonde la ufa, yaani wakati akielekea mto wa Mbu. safari ya matamanio KWISHNEI! Haipo tena 2015, labda 2020!
Kama alitumia fedha na akakubalika ndani ya ccm atashimdwa vipi kutumia fedha na akakubalika popote pengine atakapohamia. Mtandao huohuo ndio ulimuingiza kikwete madarakani na kwa staili hiyo hiyo ya kutumia pesa. Watanzania bado sana watafanya maamuzi kwa kusukumwa na pesa.