Safari ya kwenda Mbinguni imeahirishwa

Safari ya kwenda Mbinguni imeahirishwa

Siasa za kibongo lazima uwe mshirikina, muongo na mzandiki. Huyu jamaa rasmi ameasi. Anayataka yote ya Mungu na ya Kaizari
Comrade punguza jazba ni wivu tu unakusumbua. Kapige malimao kidogo.
20200917_162609.jpg
 
Kiama chetu ni hapahapa duniani....kwakweli huyu mtu alipewa hii nafasi ili Watanzania wamuone ni mtu wa namna gani, nawaonea huruma sana waumini wake hasa kama bado wanamwamini!
 
Back
Top Bottom