Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Jazzband bin jazba tupu! mbona hamtuambii hilo Mwanahalisi limesema nini? tu(m) najadili upupu no wonder 70% of us ni bendera fuata upepo.
By the way hivi Saeed Kubenea ameshaacha kuwa mdini? maana kuna wakati alidai mawaziri waislamu katika cabinet ya Kikwete wanaandamwa kwa sababu ya uislamu wao. Na jamaa mkaja juu sana hapa, lakini leo kishakuwa overnight hero!.
Tanbihi: Soon you will be dissapointed huyo jamaa kwa mambo ya mshiko hajambo! ipo siku mtakuja sema Kanda2 alisema!
Hiyo siku haipo