Kizzy Wizzy
JF-Expert Member
- Aug 2, 2013
- 3,280
- 3,776
Shetani akiwa anazungumza utamjua tu, wala hupati shida.
Mleta uzi unaonekana wewe ni mkatoliki na mafundisho ya dini uliyapata vyema sema umeamua kumwacha Mwenyezi Mungu na kumfata shetani akutumie na atakutumia vizuri tu, ila kumbuka shetani ana mtindo mmoja anakutumia weee then at last anakuacha kwenye ditch.
Ukisoma sentesi yako ya nne, nanukuu
"Dear god,ni kweli siku ya mwisho umepanga kuchoma watu moto
.?Et kwa sababu hawakutenda mema?Kwani baba mungu hukujua kwamba hawatatenda mema?We si naskia unatujua hata kabla hujatuumba?."
Hapo nilipopaBold panafanana kama na yule nyoka kule bustanini Eden alipokuwa akimdanganya Eva.
Trust me or not a DEVIL is talking inside you. tafuta mtumishi wa Mungu popote alipo akuombee ikibidi akumwagie na maji ya baraka utakuwa sawa kwa imani.
Mwenyezi Mungu akurehemu
Mleta uzi unaonekana wewe ni mkatoliki na mafundisho ya dini uliyapata vyema sema umeamua kumwacha Mwenyezi Mungu na kumfata shetani akutumie na atakutumia vizuri tu, ila kumbuka shetani ana mtindo mmoja anakutumia weee then at last anakuacha kwenye ditch.
Ukisoma sentesi yako ya nne, nanukuu
"Dear god,ni kweli siku ya mwisho umepanga kuchoma watu moto
Hapo nilipopaBold panafanana kama na yule nyoka kule bustanini Eden alipokuwa akimdanganya Eva.
Trust me or not a DEVIL is talking inside you. tafuta mtumishi wa Mungu popote alipo akuombee ikibidi akumwagie na maji ya baraka utakuwa sawa kwa imani.
Mwenyezi Mungu akurehemu