Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

So Mungu anatutegemea sisi ili yeye awepo?
Ndiyo! kama watu wakiacha kumwabudu Mungu, kizazi kitakachofuata hakitakuwa na uelewa wowote kuhusu Mungu.Uwepo wa Mungu unatokana na masimulizi ya dini ambayo hayana uthibitisho.Tofauti na dini za watu Mungu hana namna nyingine ya kujidhihirisha kwa watu wasiomjua.
 
Kiukweli hatujui tu...kama una dhambi na hujatubu..ukipata ajali kama wale watoto arusha Mungu anakuunganisha Motoni..na kiuhalisia kumtegemea Mungu inatakiwa ujitoe ufahamu...la sivyo utayumbishwa sana na kuishia pabaya tuu
 
Kuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa.

1) Kama kweli Mungu ni upendo, kwanini aumbe jehanamu ya kutuchoma milele sisi tulio waovu (lyk for billions and trillions of years). Si heri angetumaliza tu kuliko kututesa milele? Kwenye shuhuda nyingine wakristo huenda motoni kwa dhambi moja tu ambayo hawakutubu. (I know hell was originally intended for the devil and his demons & not 4 humans)

2) Kwanini alimruhusu shetani kumjaribu Adam ikiwa alijua kuwa wanadamu wengi tutateseka duniani, tutaanguka maovuni, na atatutupa Jehanamu?

3) Kama Mungu anatuambia tukitenda dhambi na tusipomtii tutachomwa motoni, Je wakristo na waislamu (baadhi yetu) tutakuwa tunamtumikia Mungu kwasababu tunampenda na tunataka kumjua zaidi? au tutakuwa tunamtumikia kwasababu tunaogopa kwenda Jehanamu?

4) Mungu husema mawazo yake si kama ya kwetu, na njia zake zipo juu zaidi, nakubaliana na hilo. Maybe kutuchoma motoni it's in his nature, that's the way He is and we have to live with it.

5)All in all Mungu ana hekima kuliko mimi, coz ni muumba wa kila kitu. Maybe katika hekima yake yote, hii ndo decision bora aliokuja nayo. Labda ana reason nzuri behind all this ambayo mm siijui. Maybe Mungu mwenyewe akinijibu face 2 face, nitabadili mtazamo wangu kuhusu yeye.

6) Kingine kinachonikasirisha pia ni yeye kuruhusu mimi kuja hapa duniani, naona ni heri nguvu aliotumia kuniumba mimi angetumia kufanya kitu kingine, nachukia + najuta kuwa hapa duniani to see all this, dunia imejaa waovu (mm nikiwa mmoja wapo) pamoja na mateso ya kila namna.

Haya ndo mawazo yangu nimeamua ku-share nanyi, najua hata povu linitoke vipi it won't change the facts. Samahani kwa ntakaekuwa nimewakwaza humu jukwaani, naamini Mungu alishayajua mawazo yangu kuhusu yeye toka kitambo. So im just keeping it real.
The Universal and Personal Aspect of God
There are two aspects of God, the universal and the personal aspect. Most people know a lot about one
aspect but little of the other.
The universal aspect of God is the Universal Power we can use at will. The personal aspect of God is the
Person of God moving as He Wills.
Universal power is mental power. It is the divine nature of our being when God created us. It is the power
within us that is a reflection of the omnipotent. As we are created in the image of God, we have the
universal aspect of God within our spirit. We are creators of our own reality, the microcosm in the same
way as God created the entire universe, the macrocosm. Man is to rule his world like God governs the
universe.
The universal aspect of God is the realm of inspiration, creativity and genius. It is the power of the
universal mind that is accessible by everyone without exception. The individual mind is connected to the
universal mind by thought. The ability to think makes us conscious creators. The better a person is able to
think, the more intelligent he is. Intelligence is what separates one level of being from another. We are all
equal aspects of God’s creation, but we all manifest his power at varying degrees.
Thought and Knowledge are One. Thought leads to knowledge and knowledge influences thought.
Choice is an illusion created by those in control for those who are not. To be in control, you must know. It
is knowing how things work and understanding what is going on that gives you awareness of the
governing dynamics of reality. It is awareness that puts you in a position of being a master player instead
of a pawn on a chessboard.
Mental power is spiritual power because Mind and Spirit are One and the Same. With the power of the
universal mind, you can accomplish all miracles and do great things. The power is a natural power
because it follows natural laws. We might think that certain things defy natural laws but that is because
we are seeing things from only one level. Natural laws exist on every plane of reality, both the physical as
well as the mental planes. Laws if the lower plane are governed by laws of the higher plane. Therefore
everything supernatural is actually natural when we have an understanding of a multidimensional
universe.
The universal laws are essentially the whole process of Divinity, Consciousness or Energy in motion (E￾motion). When we understand these laws and apply them in our life anything we want can be created.
Because the same laws that natures uses to create a forest or a galaxy or a human body can also bring
about the fulfillment of all our desires.
All things in the universe have a connection with the universal mind. Nothing can exist without that
connection. It is the universal mind by which all things consist and have their being. We are connected to
everything else through the universal mind. Separation is an illusion for we are all one.
We can use our mind at will. All power is within and is absolutely within our control. This is referring to
mental power which is the universal aspect of God. We can all train and develop our skill in using mental
power. Visualization, affirmation, reality creation, mental influence, hypnosis, subliminal messaging and
subconscious programming are all forms of using mental power.
Using mental power to make things happen is what the concept of True Magic is fundamentally about.
Magic is the control of the visible world through invisible means. Magic in its absolute form is purely
mental. Magic could be more properly referred to as Manifestation. What you create in your mind
becomes manifested in physical reality over time. The Law of Attraction is whatever you focus on most of
the time, you get. That is why we all create our individual realities by the thoughts we think.
Holistic health and alternative medicine use Magic to manifest healing. Our physical bodies are simply
channels of our energy bodies. Consciousness affects our state of being in all aspects.
It is the metaphysical understanding of bodily function in holistic health surpassing the understanding of formal
medical science that enables curing of many incurable diseases and physical conditions.
The universal power of mental Magic is neutral. It can be used for either good or evil. What differentiates
between Black Magic and White Magic is the intent of the user. Just like a person can pray another well,
a person can also pray another sick. Sending thoughts of love, joy, peace, well being and happiness to
someone will influence that person’s mind in a positive way. Sending thoughts of intimidation, discord,
doubt, weakness and discouragement will influence his mind in a negative way.
Realizing the psychic nature of our thoughts and learning how to use them consciously and effectively
enables us to be much better at creating the reality we desire in account of the greatest good of all. There
is nothing wrong with developing our psychic abilities and expressing our God given powers for the
betterment of life and the universe, but the problem comes when we are so content with the universal
aspect of God that we overlook or deny the existence of the personal aspect of God completely.
Knowledge of the universal aspect of God is enough to give us tremendous amount of power to rule the
universe and achieve our dreams, desires, destiny and almost everything we could ever want in this life
on Earth. But there is the personal aspect of God that we should come to know about. It is more than just
using our God given natural divine powers. It is about having a relationship with Him.
There is a personal God and He is the personal aspect. Theosophy, New Age, Gnosis and various other
religions and philosophies deny the existence of a personal God. They believe that there cannot be a
personal God because God is infinite and a personality is finite. They believe that the universal mind can
only manifest through the individual mind and not on its own.
The truth is that the trinity of the Godhead are three distinct individualities. The Father, Son and Holy
Spirit are three actual persons. To have a relationship with God is to relate with the personal aspect of
God. It is the universal aspect of God that is infinite but the personal aspect of God is finite. God has a
fixed personality that has boundaries without variableness nor shadow of turning. God cannot lie, God is
love, God is holy. The person of God is only perfect and complete good. In him is no evil.
For such a reason as this, God cannot coexist with sin in his presence. Anything that has sin is separated
from the personal aspect of God although it is still connected to the universal aspect. Understanding this
is what solves the paradox between Theosophy and Christianity. We are all connected to God and can
draw inspiration from the universal aspect of the divine but we cannot have true fellowship with Him
unless we are washed by the blood of Jesus Christ.
Salvation is of two aspects. Salvation from ignorance through knowledge (Gnosis - Learning) and
salvation from sins through knowledge (Oida - To Know Fully) and belief of Jesus Christ as God and
savior.
John 8:32 And ye shall know the truth, and the truth shall make you free.
Why does Theosophy, New Age and Gnosis contain so much knowledge about the nature of the
Universe and God to the extent that it makes Christianity appear as if we know so little? The reason is
because one side has been focusing mainly on the universal aspect of God while the other has been
focusing mainly on the personal aspect.
The question is who is The One at work manipulating world events and making things happen that way?
The person can be none other than the most powerful heavenly being in the universe. The one who was
full of wisdom and perfect in beauty. His name means Bringing Light. His name is Lucifer the anointed
cherub. Who else has all knowledge of the universe and the different planes of reality than him? Who else
knows more about the nature of God than him?
But being the greatest in heaven, he chose to think that he could be like the most High. He desired to
exalt his throne above the stars of God but Jesus cast him out of heaven. Lucifer fell like lightning from
 
heaven because he had sinned against God with his wrong thinking and ignorance. Though he was full of
wisdom, he still had the free will to choose his thoughts. He chose to think wrongly and hence sinned
through ignorance. Wrong thinking is ignorance and ignorance the only evil that leads to all other forms of
evil.
And now the Bringer of Light is at work making people believe that there is No God or that God exist but it
is the God of a greater scope than the God of Christianity. His intention is to make spiritual people focus
purely on the universal aspect of God and deny the personal aspect of God. By denying God as a
personality, the person of Jesus Christ as God is denied. The Angel of Light’s grand scheme is to make
people develop themselves spiritually in of the universal aspect of God and then inserting himself in one
name or another somewhere along the path as the God they should believe in.
Lucifer knows that he cannot make a direct lie be a universally accepted truth. Therefore he knows that
the best thing he can do is to promote the truth, not the whole but a portion. He knows that a lie cannot
contend with the truth, therefore the art of deception is not to enforce the lie but to conceal the truth. The
lie can be enforced when the truth is hidden. The way the conceal the truth is to control the vision that
looks upon it, by making it focus on one area and away from another. Magician’s misdirection. The
portion of the truth that is missing can be replaced with error that can be complemented with the
remaining portion of the truth creating the perfect illusion.
2Corinthians 13:8 For we can do nothing against the truth, but for the truth.
His other intention is to keep the Christians in as much ignorance as possible about the universal aspect
of God. The less knowledge they have about the universal aspect, the less power they have. Lucifer
makes Christians believe all kinds of things are satanic, evil and not of God when those things truly
belong to God and not him. He even uses scripture and the law of God to make people shun away from
knowledge considered to be doctrines of devils. The truth is, truth is mixed with error in every place. What
good is light among light? Christians are called to be a light among darkness.
Many symbols that belong to God are neither good nor evil, even though Lucifer may have made use of
them in his own works. The serpent was created by God as the most subtle creature in the garden. The
entire signs of the Zodiac from Virgo to Leo was placed by God in the heavens to tell the story of
salvation and Jesus Christ. Virgo represents the virgin Mary and Leo represents Jesus as the victorious
Lion of Judah. All angels are angels of light. Lucifer is no longer really an Angel of Light but a Prince of
Darkness.
Lucifer was God’s greatest creation which had fallen. He believed that he could be like God because he
and God were made of the same substance which is consciousness. He persuaded all of heaven’s
angels to join him in becoming like God against the permission of the Godhead by claiming that the trinity
was egoistical to disallow any other being to be their equal. He only succeeded in turning a third of the
angels to his cause and fought against God but they lost. Lucifer became Satan which means Adversary
of God. He was cast out of heaven and into the earth where God had created Man.
Revelation 12:7-9 And there was war in heaven: Michael and his angels fought against the dragon; and
the dragon fought and his angels, And prevailed not; neither was their place found any more in heaven.
And the great dragon was cast out, that old serpent, called the Devil, and Satan, which deceives the
whole world: he was cast out into the earth, and his angels were cast out with him.
Lucifer did the same thing with Man that he did with Angels. He told Adam and Eve that they could
become God if they ate the forbidden fruit so that they would know good and evil like God. God had
originally given Man dominion over the earth but when Lucifer got Man to sin against God, Man’s
dominion was shared with Satan. The fall of Man gave place of the world throne to Lucifer. That is why
Satan could tempt Jesus with the deal of sharing ownership of the material kingdom if Jesus would
worship him.
 
Satan may be the god of this world, but God is still the ultimate owner of the material world. Whatever we
as Christians touch in the material world becomes redeemed by the blood of Jesus. Jesus had come to
redeem perfect purity of Man and God’s shared dominion of the material. To us nothing is secular,
everything is sacred.
Titus 1:15 Unto the pure all things are pure: but unto them that are defiled and unbelieving is nothing
pure; but even their mind and conscience is defiled.
There are only two to think about in this world, Jesus and Lucifer. The two are not the same. When you
are not thinking of one, you are not aware of what he is doing and may attribute his work to the other.
Keep the two in mind so that you can keep them separate. For every matter there is antimatter, but Light
and Anti Light are exactly alike. True Light is pure and never changing. Anti Light shifts one degree
beyond light and changes into pure darkness which is at the other extreme end of the polarity. Nothing
can be above God. God is the highest, to go beyond the highest is to fall into the lowest.
Universal Knowledge is Universal Power. For this reason, the Children of the world are wiser than
Children of Light. It is time for the Christians to be wise as serpents and use the Angel of Light’s tactics
against himself. The tables have to be turned around against the Lucifer. We are the greater serpents,
just like the serpent of Moses rod that ate up all the serpents of Pharaoh’s magicians. The wisest Children
of Light are those that truly understand both the universal and personal aspect of God
 
soma KUTOKA 9;15-17,kwa upande wangu naona ndo jibu sahihi kwa maswali yako hayo mkuu
 
Frustration zako zipo complicated mbaya,
Kwa kuwa nyie mnaenda kwenye ibada ili mpate comfort ndio umeona tusioamini uwepo wa Mungu wala kujihangaisha naye tupo frustrated?.........Hivi kuna watu wanaishi maisha ya furaha kuliko wapagani na Atheists?
 
Hawa watu usipokuwa na imani thabiti wanaweza kukukengeusha maana wana point nikizisoma nakaribia kuasi lakini ninachokiamini ni kwamba MUNGU YUPO
 
Nikiangalia anachokisema mleta mada na response ya wachangiaji nagundua kwamba huwezi kuubadilisha ukweli watu wamekua wakiambiwa makanisani na misikitini miaka mingi wewe ukataka ubadilishe ndani ya siku moja

Hakuna anaejibu kwa hoja all naona ni vitisho

Basi tuendelee kuimba tulichorithi
 
Kuna maswali mengi kuhusu Mungu huwa najiuliza, mpaka SAA nyingine huwa namkasirikia Mungu (maybe nakufuru lakini acha iwe hivyo).Bcoz kwa ninavomuwazia Mungu ingekuwa ni heri nisingezaliwa.

1) Kama kweli Mungu ni upendo, kwanini aumbe jehanamu ya kutuchoma milele sisi tulio waovu (lyk for billions and trillions of years). Si heri angetumaliza tu kuliko kututesa milele? Kwenye shuhuda nyingine wakristo huenda motoni kwa dhambi moja tu ambayo hawakutubu. (I know hell was originally intended for the devil and his demons & not 4 humans)

2) Kwanini alimruhusu shetani kumjaribu Adam ikiwa alijua kuwa wanadamu wengi tutateseka duniani, tutaanguka maovuni, na atatutupa Jehanamu?

3) Kama Mungu anatuambia tukitenda dhambi na tusipomtii tutachomwa motoni, Je wakristo na waislamu (baadhi yetu) tutakuwa tunamtumikia Mungu kwasababu tunampenda na tunataka kumjua zaidi? au tutakuwa tunamtumikia kwasababu tunaogopa kwenda Jehanamu?

4) Mungu husema mawazo yake si kama ya kwetu, na njia zake zipo juu zaidi, nakubaliana na hilo. Maybe kutuchoma motoni it's in his nature, that's the way He is and we have to live with it.

5)All in all Mungu ana hekima kuliko mimi, coz ni muumba wa kila kitu. Maybe katika hekima yake yote, hii ndo decision bora aliokuja nayo. Labda ana reason nzuri behind all this ambayo mm siijui. Maybe Mungu mwenyewe akinijibu face 2 face, nitabadili mtazamo wangu kuhusu yeye.

6) Kingine kinachonikasirisha pia ni yeye kuruhusu mimi kuja hapa duniani, naona ni heri nguvu aliotumia kuniumba mimi angetumia kufanya kitu kingine, nachukia + najuta kuwa hapa duniani to see all this, dunia imejaa waovu (mm nikiwa mmoja wapo) pamoja na mateso ya kila namna.

Haya ndo mawazo yangu nimeamua ku-share nanyi, najua hata povu linitoke vipi it won't change the facts. Samahani kwa ntakaekuwa nimewakwaza humu jukwaani, naamini Mungu alishayajua mawazo yangu kuhusu yeye toka kitambo. So im just keeping it real.
Hallow pole na kile kinachokusibu moyoni, ila nina wasiawsi sana kama kweli unamchukia Mungu. Unaweza ukawa unampenda Mungu pasipo wewe mwenyewe kuwa unajua kuwa unampenda. Itakuwa unampenda Mungu iwapo:

1. Unawapenda wengine, ndugu zako watoto wako, majirani zako wafanyakazi wenzako, n.k.
2. Unajipenda wewe mwenyewe (kitu ambacho nadhani ni kweli kwa sababu upo, otherwise ungekuwa hata umejiua. Kwa hiyo naamini kuwa unajipenda the fact kwamba upo)
3. Unapenda wengine wafanikiwe in as much as unavyopenda ufanikiwe wewe; yaani roho yako huwa haikuumi unapoona wengine wanafanikiw, except kwamba huwa unafurahi.

Kama hivi vyote SIYO KWELI KWAKO, basi ni kweli kuwa utakuwa unamchukia Mungu. Na PRINCIPLE nzuri kbisa ya kumchukia Mungu, kama unapenda kumchukia, WAC!HUKIE WATU!

Mwisho bila kujali wewe ni muumini wa dini gani (Muislamu au Mkristo), nakushauri upate nafasi ukaonane na Mwalimu Christopher Mwakasege, au Mchungaji yeyeote unayemfahamu.
Ubarikiwe sana
 
Kama Mungu yupo katika umbile basi bila shaka atakuwa na yeye kaumbwa. Kama hayupo kwenye umbile lolote lile basi hayupo. Naomba nieleweshwe Mungu anafananaje?
 
Mkuu Loeb, ukweli ni kwamba, kulingana na Biblia, hakuna maisha baada ya kifo (ukiondoa ufufuo). Zipo sehemu kadhaa ndani ya Biblia zinaeleza hili wazi;
  • Ukianza na kitabu cha Mwanzo, Mungu alisema wazi kwa Adamu kwamba angekufa na kurudi mavumbini alikotolewa. Kabla Adam hajaumbwa hakuwapo, na baada ya kufa asingekuwapo tena, angerudi kuwa vumbi (Mwanzo 3:19)
  • Kitabu cha Muhubiri kinafafanua kwamba hakuna tofauti kati ya kifo cha mnyama kama panya, mbwa, ng'ombe, tembo, nk, na wanadamu. Kinasema wazi kwamba wote wanakufa sawa, wote wanarudi mavumbini. Na suala la kusema wanadamu wakifa roho inatoka inaenda mahali, nani amekueleza (Biblia inauliza sio mimi). Kwa hiyo inamaanisha kwamba kama utasema kuna mahali roho za watu zinaenda wanapokufa basi pia roho za paka na panya zinaenda huko - jambo ambalo halipo (Mhubiri 3:19-21)
  • Kitabu cha Muhubiri kinazidi kusisitiza kwamba mtu anapokufa hawi tena na fahamu, hisia na mawazo yake hutoweka - hivyo hawezi kuhisi furaha au chuki, raha au taabu. Kumbuka watu wa mwili wa roho wana hisia, hivyo ikimaanisha ukifa wala hupati mwili wa roho (Mhubiri 9:5-6)
  • Yesu alitamka wazi kwamba watu waliokufa wako kaburini, waliotenda wema kwa ufufuo wa uzima na waliotenda mabaya kwa ufufuo wa hukumu (kumbuka hakusema wako mahali wanaishi eidha kwa taabu au raha, alisema wako kaburini). Hivyo watu waliokufa wako kaburini - au kule walikoishia, baharini nk. (Yohana 5:28-29)
Kwa hiyo, kwa ujumla, mtu akifa anaenda kaburini, na kutegemea na uhusiano aliokuwa nao na Mungu kabla hajafa, anasubiri kufufuliwa au la. Akiwa kaburini, anakuwa hajui lolote linalooendelea, hana mawazo wala hisia, na hasikii raha wala taabu. Hivyo hata msemo watu waliozoea kusema kwamba "Mungu mweke mahali pema peponi" ni pure rubbish. Mtu akifa hahitaji kuwa pema wala pabaya kwa sababu hana hisia za kujua yuko pema au pabaya. Kumwambia Mungu mweke mahali pema peponi ni jambo lisilo na maana.

Jiulize swali - ikiwa ni kweli watu wema wakifa wanaenda sehemu fulani nzuri kama thawabu, sasa kuna haja gani ya kuwa na ufufuo? Je Mungu atafufua watu walio tayari katika sterehe ya milele kwa sababu walitenda mema? Kama watu wakifa wanapata mwili wa roho na kwenda kuteswa au kuishi milele - itamaanisha fundisho la ufufuo katika Biblia ni la uongo, kwa kuwa hakuna haja tena ya ufufuo!

Kwa hiyo Mkuu, mtu akifa hana tena hisia wala mawazo, inakuwa kama kulala usingizi fofofo bila hata kuota ndoto. Eidha subiri ufufuo, kama ulikuwa mtenda mema, au ndio hivyo, kwa heli ya mshahara wa dhambi - hutaishi tena!
Unaweza ukaongea au kuelezaje pale Musa alipomtokea YESU walipopanda mlimani na wanafunzi wake!? Musa na Elia,,muelezee zaidi Musa maana alikufa na MUNGU akamzika?Je YESU alikuwa na maana gani kumwambia yule mwizi pale msalabani kwamba leo nitakuwa na wewe mbinguni??? Je YESU atakaporudi mara ya pili na wafu kutoka makaburini na kupaa nae watakuwa ni wafu wapi hao?? Ile habari ya YESU kuelezea maskini na tajiri kufa na maskini kwenda kwa Ibrahim na tajiri kwenda penye shida unaielewaje??? Au ni fiction????
 
Back
Top Bottom