Al-Watan
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 11,891
- 14,601
We unanitisha,nikija kwako lazima niwe na Bi Zuhra sitaki kesi.achaana nao hao njoo tuyaongee
Jana tumekusubiri kwenye dinner hukutokea.
We unanitisha,nikija kwako lazima niwe na Bi Zuhra sitaki kesi.achaana nao hao njoo tuyaongee
Hahaha mm nataka uje pekeo,bi zuhra atatuharibia moodWe unanitisha,nikija kwako lazima niwe na Bi Zuhra sitaki kesi.
Jana tumekusubiri kwenye dinner hukutokea.
Lucifer mdg njoo basi tuyazungumze mbn unajibanabana au unaniogopa,yani nakupa chance uje hutaki,wenzako wanaipiganiaThat is neither here nor there.
What is your point?
Unakataa kwamba chumi zilizoendelea zina idadi kubwa ya wasioamini kuwepo kwa Mungu?
Nani kabisha hizo habari za industrial revolution etc? Kwa nini ni muhimu wewe kuzitaja katika mjadala huu?
Unaongelea sababu zikizofanya chumi zikizoendelea kuwa zilivyo kama mimi sizijui, kwa nini inafikiri sizijui?
Unakubali au unakataa kwamba chumi zikizoendelea zina idadi kubwa ya wasioamini Mungu? Hilo ndilo simuala la msingi, kwa nini una deviate?
Acha kumpiga mkwara mtoa mada God is very fair ndo mana kamruhusu jamaa kusema alichosemaMtoa mada ndani ya siku chache utakufa. Tafuta mtu wako karibu aje atupe TANZIA yako. Usimjaribu Bwana Mungu na Muumba wako. Naona unachokitafuta utakipata tu.
God angekuwa fair kila mtu angekuwa na uwezo kama wake.Acha kumpiga mkwara mtoa mada God is very fair ndo mana kamruhusu jamaa kusema alichosema
Hmmn jamani lucifer mbn unaanza tn sasa ubishi wakooGod angekuwa fair kila mtu angekuwa na uwezo kama wake.
Huyo Mungu hayupo.
Aya subiri nitakuja kukujibu soon...!!Hujajibu uliyoulizwa.
Uliyojibu hujaulizwa.
Bora usingecomment maana kuna malucifer pia humu[emoji23][emoji23]Mimi naogopa hata kukoment mahana naona umeandika ujinga mtupu
Usimjib bora[emoji23]haelewesheki uyoAya subiri nitakuja kukujibu soon...!!
Hata Yesu naye alisema hivyo hivyo, mpaka leo hajarudi.Aya subiri nitakuja kukujibu soon...!!
Alwatan mbn unanisalit jaman,njoo basiHata Yesu naye alisema hivyo hivyo, mpaka leo hajarudi.
We unamtaka Bi Zuhra ugomvi.Alwatan mbn unanisalit jaman,njoo basi
Kwa nini tupotezee wakati tumeletewa jambo la uongo?There are billions of people who loves God and Jesus Christ,kama vipi potezea tu