Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Sababu zinazonifanya nisimpende Mungu

Rais hawezi kuwa sawa na wananchi wake.
Rais ni Mungu?

Umemshusha sana huyo Mungu wakokumlinganisha na rais.

Hata Idi Amin alikuwa rais.

Mungu wakosawa na Idi Amin?
 
Eeh kama yanakufaa utakua sawa tu
Na kama hayakufai?

Unaweza kulamavi kwa kuona wengine wanakula mavi,kumbe wenzako wanalamba chocolate ice creamyenye rangi sawa na mavi tu.
 
Rais ni Mungu?

Umemshusha sana huyo Mungu wakokumlinganisha na rais.

Hata Idi Amin alikuwa rais.

Mungu wakosawa na Idi Amin?
Umezungumzia nguvu.je nguvu ya rais na raia ni sawa kimadaraka?
 
Umezungumzia nguvu.je nguvu ya rais na raia ni sawa kimadaraka?
Ukizungumzia nguvu, hutakiwi kumfananisha Mungu mwenye nguvu zote na rais asiye na nguvu zote.

Kanuni moja ya msingi ya kulinganisha inatutaka tulinganishe kwa uwiano vinavyofanana.

Na tusilinganishe visivyofanana.
 
Na kama hayakufai?

Unaweza kulamavi kwa kuona wengine wanakula mavi,kumbe wenzako wanalamba chocolate ice creamyenye rangi sawa na mavi tu.
Acha upumbavu wewe ,unalazimisha watu wawe na maumivu uliokua nayo?solve your problems, usituletee upuuzi wako hapa kama yanakufaa kula yasipokufaa waachie wanaokula na kuwafaa,kama Mungu hajakufaa wenzio ametufaa so pita hivi
 
Ukizungumzia nguvu, hutakiwi kumfananisha Mungu mwenye nguvu zote na rais asiye na nguvu zote.

Kanuni moja ya msingi ya kulinganisha inatutaka tulinganishe kwa uwiano vinavyofanana.

Na tusilinganishe visivyogfanana.
Kwa hyo wewe ulitaka kuwa na nguvu sawa na mungu?
 
Acha upumbavu wewe ,unalazimisha watu wawe na maumivu uliokua nayo?solve your problems, usituletee upuuzi wako hapa kama yanakufaa kula yasipokufaa waachie wanaokula na kuwafaa,kama Mungu hajakufaa wenzio ametufaa so pita hivi
Povuu
 
Kwa hyo wewe ulitaka kuwa na nguvu sawa na mungu?
Si umesema Mungu yuko fair?

Kwa nini awe mchoyo yeye awe na uwezo wote halafu aumbe viumbe awanyime uwezo wake huo?

That is not fair, not a godly levelof fairness.
Ushakubali kwamba kumfananisha Mungu na rais ni kufanya hesabu ya cross multiplication kwa kutumia namba za kawaida na infinity moja?

Ushaelewa hiyo hesabu?
 
Si umesema Mungu yuko fair?

Kwa nini awe mchoyo yeye awe na uwezo wote halafu aumbe viumbe awanyime uwezo wake huo?

That is not fair, not a godly levelof fairness.
Ushakubali kwamba kumfananisha Mungu na rais ni kufanya hesabu ya cross multiplication kwa kutumia namba za kawaida na infinity moja?

Ushaelewa hiyo hesabu?
Wewe ulitaka upewe uwezo gani alio nao mungu?
 
Usingemchukia ila maswali yako kimsingi Mungu anatakiwa akujibu kwasababu anakuonea wivu hataki upoteee. Namwomba Mungu akutane na wewe face to face mzungumze kama unavyotamani.
 
Back
Top Bottom