Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

mi nimesoma kidogo imani za kibuda na hata zile five prisets(sheria)/misingi yao,nilichokiamini na kikuibwa mno ni kwamba mtu asiekula kitu chenye roho mara nyingi huwa na huruma sana, na hata hawa jamaa wana msingi mzuri sana ktk dini yao, huu uislam na ukristu mbwembwe nyingi mno
Na ndiyo maana hawajilipui mabomu mwilini au kutengeneza majini toka kwenye vitabu ili kutesa wenzao.
 
Jamani kila kitu kiwe tu kwa kiasi. Tule nyama kwa kiasi kuepuka madhara yake. Hivi naachaje kula nyama. Mboga za majani zenyewe tule kwa kiasi manake ukila sana damu ikizidi sio shida kweli.
 
Huku ni kuharibu medula kabisa sasa
Mkuu Mshana Jr Kuna mahali nimetazama documentary wanasema kuwa watafutaji wa Kuamka kiroho zamani walikuwa wanakaa kwenye mapango yenye giza, Yaani wanameditate kimya bila kufumba macho ili mradi tu pawe na utulivu wa hali ya Juu Sana na giza kubwa.
Je, Taamuli hiyo inautofauti na hiyo mnayofundisha humu Jf ambayo mnasema ni muda wowote hata iwe mchana kwenye mwanga ambayo mtu anafumba macho na kuzingatia pumzi?
 
Mkuu Mshana Jr Kuna mahali nimetazama documentary wanasema kuwa watafutaji wa Kuamka kiroho zamani walikuwa wanakaa kwenye mapango yenye giza, Yaani wanameditate kimya bila kufumba macho ili mradi tu pawe na utulivu wa hali ya Juu Sana na giza kubwa.
Je, Taamuli hiyo inautofauti na hiyo mnayofundisha humu Jf ambayo mnasema ni muda wowote hata iwe mchana kwenye mwanga ambayo mtu anafumba macho na kuzingatia pumzi?
Zipo tahajudi za aina mbalimbali na ya kukaa mapangoni ni mojawapo na nimewahi kufanya.. Nina picha yake ngoja nikiipata takuonesha hapa
 
Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.

Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni

1.Hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa

2. Hakuchinjwa kwa ajili yao

3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe.

Maajabu haya. Sasa wao wanakula vitu gani ambavyo havina uhai?

Maana kama ni mimea nayo ina uhai..


Wanasema imani yao inasema wale wanyama tunao wala watazaliwa wanadamu nao watatukula. Sasa mimi nitaliwa na wanadamu wangapi ambao leo hii ni wanyama nilio wala na ninazidi kuwala????

Poor reasoning kwakweli.......wangejua kuwa sisi viumbe tunategemeana ili tuishi, basi wasingekubali kukosa hizi protein muhimu sana
 
Apollo nimeukubali mno uchambuzi wako umegusa maeneo mengi ambayo sikuyagusia suala na ENLIGHTMENT na EGOISM, ni mambo muhimu mno ambayo wengi hatuyajui lakini vile vile kuna CRAVING ambayo haiachani sana na EGOISM, vyote vinahusika na tamaa na uchoyo uliopitiliza
Na wale kware walioteremshwa toka mbinguni wakati Wana Israel wakitoka misri? Please tell something, viumbee hai ni pamoja vegetables so tafadhali naomba unielezee kiunabaga baga
 
Ni mimea sio viumbe uhai wao na wetu una tofauti kubwa sana..!
tumesoma shule na kujua ni viumbe hai.
Inazaliwa.
Mimeainakua.
vinapumua.
Vinahisia.
Kunavimimea ukivigusa vinajikunja.
vinakufa.
vinatoa excretions km wanyama wote.
Vinatumia jua by means of photosynthesisi.
Mwanadamu vit D
Napinga kwa sababu mimea ni viumbe hai pia.labda ule hewa au maji tu.sababu miili yetu asilimia 90 ni maji.utaishi pia
Huruma zipo tu siyo mpaka ule majani.
 
tumesoma shule na kujua ni viumbe hai.
Inazaliwa.
Mimeainakua.
vinapumua.
Vinahisia.
Kunavimimea ukivigusa vinajikunja.
vinakufa.
vinatoa excretions km wanyama wote.
Vinatumia jua by means of photosynthesisi.
Mwanadamu vit D
Napinga kwa sababu mimea ni viumbe hai pia.labda ule hewa au maji tu.sababu miili yetu asilimia 90 ni maji.utaishi pia
Huruma zipo tu siyo mpaka ule majani.
 
Maajabu haya. Sasa wao wanakula vitu gani ambavyo havina uhai?

Maana kama ni mimea nayo ina uhai..


Wanasema imani yao inasema wale wanyama tunao wala watazaliwa wanadamu nao watatukula. Sasa mimi nitaliwa na wanadamu wangapi ambao leo hii ni wanyama nilio wala na ninazidi kuwala????

Poor reasoning kwakweli.......wangejua kuwa sisi viumbe tunategemeana ili tuishi, basi wasingekubali kukosa hizi protein muhimu sana
 
Back
Top Bottom