Kapyepye Mfyambuzi
JF-Expert Member
- Jun 18, 2020
- 542
- 924
Sawa. ShukraniNi vitu viwili tofauti kiimani.. Lakini pia chakula ni tiba ya mwili na ni ibada...! Meditation inakufundisha nidhamu mpaka kwenye kula....!

Sawa. ShukraniNi vitu viwili tofauti kiimani.. Lakini pia chakula ni tiba ya mwili na ni ibada...! Meditation inakufundisha nidhamu mpaka kwenye kula....!

Habari mkuu Mshana Jr Nauliza, Eti, mtu ambae ameonewa na walimwengu (kurogwa), amepigwa kipande vichomi haviishi mwilini, anaweza kufungua Jicho la tatu (ili limsaidie kutatua changamoto zake?) kwa njia ya meditation ya pumzi? Au hadi akatibiwe kwanza akifanya hivyo bila kutibiwa ataongeza tatizo?
Every Need Got An Ego To Feed.......bob MarleyApollo nimeukubali mno uchambuzi wako umegusa maeneo mengi ambayo sikuyagusia suala na ENLIGHTMENT na EGOISM, ni mambo muhimu mno ambayo wengi hatuyajui lakini vile vile kuna CRAVING ambayo haiachani sana na EGOISM, vyote vinahusika na tamaa na uchoyo uliopitiliza
NitakurejeaHabari mkuu Mshana Jr Nauliza, Eti, mtu ambae ameonewa na walimwengu (kurogwa), amepigwa kipande vichomi haviishi mwilini, anaweza kufungua Jicho la tatu (ili limsaidie kutatua changamoto zake?) kwa njia ya meditation ya pumzi? Au hadi akatibiwe kwanza akifanya hivyo bila kutibiwa ataongeza tatizo?
Au afanye tu hakuna madhara?
Ushauri mkuu.
Mwili ukiwa na wavamizi ni kheri kumaliza hilo tatizo kwanza kwakuwa litakunyima utulivuHabari mkuu Mshana Jr Nauliza, Eti, mtu ambae ameonewa na walimwengu (kurogwa), amepigwa kipande vichomi haviishi mwilini, anaweza kufungua Jicho la tatu (ili limsaidie kutatua changamoto zake?) kwa njia ya meditation ya pumzi? Au hadi akatibiwe kwanza akifanya hivyo bila kutibiwa ataongeza tatizo?
Au afanye tu hakuna madhara?
Ushauri mkuu.
Hata mimea ni kiumbe Hai pia, mbona wanakulaHapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.
Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuu mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni.
1.Hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa
2. Hakuchinjwa kwa ajili yao.
3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe.
Ndio kwa kuwa inakula, pumua, kukua kiumbo na inakufa.Mimea ni viumbe?![]()
Nimeipenda hii, kila kiumbe ana haki ya kuishi.3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe.
Habari mkuu. Kuna mtu nilimsikia alisema kufanya meditation usiku ni hatari kwakuwa Kuna negative energies au roho chafu nyingi zikitangatanga. Ni sahihi kufanya usiku? Au hata usiku ni salama pia japokua usiku ndio kuna utulivu zaidi?Mines sio viumbe unless hatujui nini maana ya kiumbe
Muda wowote ni sahihi kikubwa upate penye utulivu, isiku mwingi haufai kwakuwa Naturally mwili unahitaji kupumzikaHabari mkuu. Kuna mtu nilimsikia alisema kufanya meditation usiku ni hatari kwakuwa Kuna negative energies au roho chafu nyingi zikitangatanga. Ni sahihi kufanya usiku? Au hata usiku ni salama pia japokua usiku ndio kuna utulivu zaidi?
Tayari tangu kuzaliwa unakula nyama, kuacha inahitaji mchakato uliojaa maumivuMm nisipo kula nyama sijisiki vzr kbsa naona kbsa cjashiba je hili Ni tatizo mm Ni mmasai
Hata nikipata pande mbili tu inanitosha je yaweza kuwa tatizo
Ninaweza kushindwa kuelezea kitaalamu sana lakini kiufupi, nyama ina vichocheo vinavyo tengeneza hasira Kwa mwanadamu au kiumbe chochote kinachokula nyama, Kuna kitu kama nyingi au sijui nini ambacho wanaweza kukielezea wataalamu, ukila nyama pamoja na kuipika vitu hivyo mwilini mwako huamka pole pole, na kutengeneza uhalisia mwilini kama mabadiliko ya mwili na akilini, hayo mabadiliko ndiyo au ule mtetemo wake ndiyo husababisha hata kuamsha hasira ya mwanadamu, akatukana... Akapigana au kufanya vitendo visivyo na uzuri Kwa wengine na kumkosea mwanadamu na MUNGU, hivyo basi kama mtu anajijua alizaliwa hata na chembe za mihemko mibaya basi anashauriwa asiongeze kabisa pia kula nyama maana itasababisha hivyo vichocheo kuongezeka na kutenda dhambi..Hapa nazungumzia wale ambao hawali nyama kiimani na si wale ambao hawali kwasababu za kiafya tofauti na ukristo na uislam, dini kama buddhism, krishna nk wanaamini sana katika karma ya kila kiumbe na uwepo wake katika uso wa dunia, kwamba bata, mbuzi, samaki, punda na chochote chenye uhai kuna sababu maalum ya kuwa hivyo kilivyo.
Kwahiyo huwezi kutoa uhai wake kwa ajili ya shibe yako, utakuwa unajitengenezea karma mbaya, yani leo ukimuua mnyama ukala nyama yake next reincarnation yeye atazaliwa binadamu na wewe mnyama halafu atatenda kama wewe ulivyotenda imani hii imezama mno mioyoni mwao kiasi kwamba ni ngumu mno kuwakuta wanakula nyama. Kuna mazingira ambayo yanaweza kuwafanya wale nyama nayo ni.
1.Hawakushuhudia mnyama akichinjwa/akiuliwa
2. Hakuchinjwa kwa ajili yao.
3. Isiwe ni nyama kwa ajili ya biashara, hapo anaweza kula na karma isimdhuru kila imani ina uchizi wake, kuna mavegetarian ambao kwa compassion kwa viumbe hufagia kabla ya kukanyaga ili wasiwadhuru viumbe.

Lakini pia naamini kula nyama kunasababisha na kuchangia Kwa %100 mateso ya kiumbe kingine haiNinaweza kushindwa kuelezea kitaalamu sana lakini kiufupi, nyama ina vichocheo vinavyo tengeneza hasira Kwa mwanadamu au kiumbe chochote kinachokula nyama, Kuna kitu kama nyingi au sijui nini ambacho wanaweza kukielezea wataalamu, ukila nyama pamoja na kuipika vitu hivyo mwilini mwako huamka pole pole, na kutengeneza uhalisia mwilini kama mabadiliko ya mwili na akilini, hayo mabadiliko ndiyo au ule mtetemo wake ndiyo husababisha hata kuamsha hasira ya mwanadamu, akatukana... Akapigana au kufanya vitendo visivyo na uzuri Kwa wengine na kumkosea mwanadamu na MUNGU, hivyo basi kama mtu anajijua alizaliwa hata na chembe za mihemko mibaya basi anashauriwa asiongeze kabisa pia kula nyama maana itasababisha hivyo vichocheo kuongezeka na kutenda dhambi..
Tazama baadhi ya makabila ambayo yanakula nyama muda wote walivyo wagomvi au wanavyo weza kulipuka na ugomvi wakati wowote
Lakini pia naamini kula nyama kunasababisha na kuchangia Kwa %100 mateso ya kiumbe kingine hai. Lakini maelezo mengine ya wataalamu
Because when an animal is sacrificed it gets nervous, irritated, scared.
Because his body produces now substances.
Now the meat has adrenalnie and noradrenaline in it.
Now the meat has all the rage and all the animal’s feelings.
Yes you get angry because you have this in you now.
You also might be sensitive now to lower energetic vibrations from the meat which is something… dead… it has stagnant energy.
Your body now looks to ingest food products that have a bit of energy, such as freshly picked fruits and veggies.

Dah bro NONDO zako lazima niwe na dictionary karibu Vinginevyo naambulia patupuApollo nimeukubali mno uchambuzi wako umegusa maeneo mengi ambayo sikuyagusia suala na ENLIGHTMENT na EGOISM, ni mambo muhimu mno ambayo wengi hatuyajui lakini vile vile kuna CRAVING ambayo haiachani sana na EGOISM, vyote vinahusika na tamaa na uchoyo uliopitiliza