Sababu za vegetarians kutokula nyama

Sababu za vegetarians kutokula nyama

Habari mkuu Mshana Jr naomba nisaidie tena hapa. (Samahani nimetoka nje ya mada)
Kuna website nimesoma inasema kwamba kukaa kwenye chumba cha giza bila kufumba macho (usiku) kila siku kunaamsha hali ya kiroho ya mtu. Wanadai ubongo utazowea na utaanza kubadilisha utoaji wa melatonin na serotonin ambayo huwa inatolewa wakati mtu amelala usingizi na kumfanya mtu huyo aote, ndio inaleta maono na hali ya ufahamu kwa mtu.
Je, Kuna Ukweli wowote kwenye hili hususani kwenye mambo ya spiritual awakening?
 
Habari mkuu Mshana Jr naomba nisaidie tena hapa. (Samahani nimetoka nje ya mada)
Kuna website nimesoma inasema kwamba kukaa kwenye chumba cha giza bila kufumba macho (usiku) kila siku kunaamsha hali ya kiroho ya mtu. Wanadai ubongo utazowea na utaanza kubadilisha utoaji wa melatonin na serotonin ambayo huwa inatolewa wakati mtu amelala usingizi na kumfanya mtu huyo aote, ndio inaleta maono na hali ya ufahamu kwa mtu.
Je, Kuna Ukweli wowote kwenye hili hususani kwenye mambo ya spiritual awakening?
Naomba nipe muda nitakurudia tafadhali
 
Habari mkuu Mshana Jr naomba nisaidie tena hapa. (Samahani nimetoka nje ya mada)
Kuna website nimesoma inasema kwamba kukaa kwenye chumba cha giza bila kufumba macho (usiku) kila siku kunaamsha hali ya kiroho ya mtu. Wanadai ubongo utazowea na utaanza kubadilisha utoaji wa melatonin na serotonin ambayo huwa inatolewa wakati mtu amelala usingizi na kumfanya mtu huyo aote, ndio inaleta maono na hali ya ufahamu kwa mtu.
Je, Kuna Ukweli wowote kwenye hili hususani kwenye mambo ya spiritual awakening?
Mungu wangu nilikusahau ujue
Ni kweli kabisa na kadiri unavyozidi kukaa macho kizani kuna maumbo mengi hutokea kwenye ulimwengu wa kushangaza kabisa

 
Mungu wangu nilikusahau ujue
Ni kweli kabisa na kadiri unavyozidi kukaa macho kizani kuna maumbo mengi hutokea kwenye ulimwengu wa kushangaza kabisa

Samahani tena mkuu Mshana Jr hii inamaana hata kwa walokole inawasaidia kufungua macho yao ya kiroho? Maana niliwahi kusikia muhubiri mmoja akisema kuwa mkristo hawezi kuwa na macho ya kiroho kama hajajiwekea utaratibu wamaombi ya mikesha. Mtu anapokesha anaweka uhusiano na Mungu na macho yake ya rohoni hufunguka itafika kipindi ataanza kuona maono.
Je, Kuna Ukweli wowote kuwa wakristo mikesha yao inawasaidia kufungua macho ya rohoni bila hata ya kufanya meditation? (kwa sababu wao huwa wanaimba kwa makelele hakuna utulivu).
Na je huwa wanakesha kwenye Giza au huku taa zinawaka?
 
Samahani tena mkuu Mshana Jr hii inamaana hata kwa walokole inawasaidia kufungua macho yao ya kiroho? Maana niliwahi kusikia muhubiri mmoja akisema kuwa mkristo hawezi kuwa na macho ya kiroho kama hajajiwekea utaratibu wamaombi ya mikesha. Mtu anapokesha anaweka uhusiano na Mungu na macho yake ya rohoni hufunguka itafika kipindi ataanza kuona maono.
Je, Kuna Ukweli wowote kuwa wakristo mikesha yao inawasaidia kufungua macho ya rohoni bila hata ya kufanya meditation? (kwa sababu wao huwa wanaimba kwa makelele hakuna utulivu).
Na je huwa wanakesha kwenye Giza au huku taa zinawaka?
Mikesha inayofungua ufahamu wa ndani ni ile ya kukesha ukiomba na kuabudu kwa utulivu mkubwa
 
Inategemea na nguvu ya uchaji uliyonayo lakini ukiwa serious humalizi hata wiki..lakini ni lazima uwe na background ya imani
Je, kahawa inaweza kunisaidia akili yangu isitange tange (Yaani utulivu wa akili) wakati najaribu hili zoezi au haitakiwi itaenda kuniletea illusion nikaharibu?
 
Je, kahawa inaweza kunisaidia akili yangu isitange tange (Yaani utulivu wa akili) wakati najaribu hili zoezi au haitakiwi itaenda kuniletea illusion nikaharibu?
Hapana kahawa ni catalyst! Ni kilevi kwenye haya mambo ni maji tuu.. Na akili ikitangatanga usiizuie utachoka sanaa.. Unajua akili yetu ukitulia mahali ni kama kima au mtoto wa mbuzi haitulii sehemu moja..
 
Hapana kahawa ni catalyst! Ni kilevi kwenye haya mambo ni maji tuu.. Na akili ikitangatanga usiizuie utachoka sanaa.. Unajua akili yetu ukitulia mahali ni kama kima au mtoto wa mbuzi haitulii sehemu moja..
Mkuu Kuna application nimeziona zina sauti za maporomoko ya maji, sauti za mawimbi ya bahari, sauti za asili kama upepo, mvua, misitu n.k
Je, na hizo zinaweza zikasaidia kuamsha/ kuleta calm mind? au zinaleta illusion kwa meditator?
 
Mkuu Kuna application nimeziona zina sauti za maporomoko ya maji, sauti za mawimbi ya bahari, sauti za asili kama upepo, mvua, misitu n.k
Je, na hizo zinaweza zikasaidia kuamsha/ kuleta calm mind? au zinaleta illusion kwa meditator?
Yes ni nzuri sana zile..zinaamsha hisia za ndani na kuleta hali tofauti kabisa...ni kama unakutana na asili
 
Yes ni nzuri sana zile..zinaamsha hisia za ndani na kuleta hali tofauti kabisa...ni kama unakutana na asili
Mkuu Mshana Jr Kuna uhusiano gani kati ya kufunga (kushinda njaa na kukesha njaa) na meditation?
Iwe kiimani au ki biolojia (hasa kwenye ubongo)
Nimesikia anaefunga anaweza akapaform vizuri meditation kuliko asiefunga
 
Back
Top Bottom