Sababu za mke kumdharau Mume nyumbani

Sababu za mke kumdharau Mume nyumbani

Na hata tigo utajiexpress bila hata kuomba. Lol!

Wewe sasa umeanza uchokozi, hapa nasisitiza lazima mwanamke athaminiwe na kuheshimiwa katika ndoa usipo fanya hivyo lazima mwanamke akudharau kama kodi ya meza hutoi matumizi hutoi,mama anataka kwenda saloon pesa hutoi unategemea nn hapo wanaume wenzio wakusaidie si ndo mwanamke ataanza kukudharau.
 
Fidel naomba kukuuliza swali nje ya mada- Umeokoka lini? Maana vyoint unavyomwaga hapa kaka hadi nakutamani!!

Hahahahaha unajua mama siku hizi sinywi nimeacha kunywa nakunywa maji tu.
Nimebadilika nimekuwa kijana mwema na mwaminifu namshukuru Charity, F1, Lily F, bht na Preta kwa maombi yao mazito mpaka wamenibadilisha kijana.
 
Wewe sasa umeanza uchokozi, hapa nasisitiza lazima mwanamke athaminiwe na kuheshimiwa katika ndoa usipo fanya hivyo lazima mwanamke akudharau kama kodi ya meza hutoi matumizi hutoi,mama anataka kwenda saloon pesa hutoi unategemea nn hapo wanaume wenzio wakusaidie si ndo mwanamke ataanza kukudharau.

hii wapi Fide kanisa la Ubungo la kufufua misukule nini???
good point man......!!!!
 
.
Usithubutu kukosa pesa wakati mkeo anazo.
Hawa watu wakiwa na pesa na wewe umefulia ni hatari kama kumweka simba mwenye njaa kwenye boma la kondoo mgonjwa.
ha ha ha hommie...hapo kweli umefulia then unataka akupatie change ukashtue kidogo siku ipite dah mpaka akupe hayo masimngo yake mbona balaa!! acha tuu!!
 
Heshima mbele wakuu,
Kiukweli wengi mnazungumza habari ya pesa mbele, na kama hizo pesa lazima awe nazo mwanaume vile pekee, wanawake wengine mbona wanazo shekeli za kufa mtu. Mimii mtizamo wangu uko tofauti kidogo.
Ndoa ni mahusiano ya kudumu , kila ndoa imesimama kwa misingi yake, kama msingi wa kumpata mwenza ulijengwa na pesa basi lazima utasimama kwa pesa. Kama ulikuwa upendo, urafiki, uwazi na kuelewana, basi itabaki kuwa hivyo.Msingi ndo hufanya ndoa kudumu. Ukianza na matanuzi ili umkoge mke akukubali ni lazima u-maintain, ukianza simple basi mkiwa na pesa mtaishi peace mkiwa hamna basi inakuwa poa. Na mkiwa katika maelewano kwenye upungufu mtaambiana. Natambua kwamba wababa wengi kwenye ndoa wanarudi late night wakiwa chakali , wakifika wanachofanya ni kuamsha wake zao wanajisevia kisha Usingizi kama kawa , hapo unategemea nini?
Lakini pia matatizo ya ndoa yanatofautiana toka ndoa moja na yingine. Wanawake wanaochonga sana ni Tatizo kubwa, matokeo yake wanaume wanatoka kazini wanapita baa kupoteza muda ili angalau ukute kalala,unarudi kimyakimya na kujilaza pembeni baada ya dakika unakoroma.
Kama mnaelewana vizuri mtaelezana kwa kila upande na kutafuta mbinu za kuboresha ili kuridhishana zaidi.Kwa kuwa ni mkeo au mumeo mwambiane ukweli . Kila Ndoa ina namna ya kuwasiliana.Maintain,
Na kama Ndoa imejengwa na kumwamini Mungu Hapo Upendo haukauki, maana kusameheana kwa kwenda mbele.
 
ha ha ha hommie...hapo kweli umefulia then unataka akupatie change ukashtue kidogo siku ipite dah mpaka akupe hayo masimngo yake mbona balaa!! acha tuu!!
Sasa hapo ndo atakuwa anaharibu kabisa.....sisi wengine tunajulikana bar zote mtaani, washikaji kibao, nikipiga simu tu kwa mshkaji, tayari nina bia tano.

Wanawake stukeni......kama vipi akininyima naondoka, narudi nimechangamka kama mtoto wa mbuzi, kesho yake tena mpaka wiki inaisha....kama hatanunua kreti aweke hapo ndani!!
 
Wapendwa habarini za kwenu.

Kwa muda mrefu sasa tumekuwa tunashuhudia matendo ya ajabu ambayo hayakuwepo kwa kiasi hiki kwa wanandoa. Wanandoa wengi wa kike wamekuwa wakilalamikiwa kuwa na viburi, jeuri na dharau na pia kushutumiwa kwa kukosa kuzizingatia zile tamaduni za awali ambazo zinamtaka yeye amheshimu, enzi na kumnyenyekea mume ambaye ndiye kichwa cha familia.

The same applied kwa kina baba, wengi wanalaumiwa kuwa wakatili nowdays, hawasikii na wanatiwa viburi na small houses zao.

Nyingi sababu zimekwishatajwa mf.Kwa mwanamke asiye na adabu tunaambiwa ni;
- Malezi na maadili kupungua
- U-feminism/gender/ beijing effects
- Uwezo wa kipato/kazi nzuri/elimu n.k ambavyo vinasemekana kumpa mwanamke kichwa

Kwa mume mara nyingi huwa tunasema anadharau kama mke ni mama wa nyumbani hana kipato chochote; hajui kupigilia pamba za kufa mtu; hajui kujiweka soap soap; anajali watoto kuliko Mzee n.k.

Lakini pia inaaminika kuwa zipo sababu muhimu ambazo mume/mke mwenyewe huchangia katika either kumfanya mume/mke asimsikilize, awe anakuwa mbabe na kuonyesha uanaume wake/ usinibabaishe type -wanawake (Sababu ambazo hazihusiani na ubeijing kabisa) mf. kama mume mwenyewe hajiheshimu/hamheshimu mkewe
-Mume/mke hamchukulii mkewe/mewe kama mke anayestahili kuheshimiwa, kutomsikiliza au sikiliza ushauri wa mke n.k.

My take: Nadhani kuna umuhimu wa kubadilisha theory ya mahusiano haya kwa sasa. Badala ya kusingizia Beijing, elimu, kipato cha mama tuanze kuangalia ni matendo/tabia gani za kina baba/mana yanayosababisha wadharauliwe ndani ya nyumba zao; waibiwe/salitiwe n.k.

Samahani nimeedit kwa kuwa its a two-way traffic ila naona heading imegoma ......Isomeke Sababu za mke/mume kumdharau/mtenda mwenzi wake....

Aksanteni.


Sumu zilizoenea ni hizi;

1. Haki za binadamu

2. Usawa kwa watu wote

3. Haki za mwanamke .....nk.


Na suluhisho ni moja tu, Ndoa za mikataba ziruhusiwe. Nadhani mapresha yatapungua kwa kuwa kila mmoja atakuwa huru kuondoka au kuingia kwenye mkataba tena. Hii naifananisha na mfumo wa ubunge wa Tanzania kwa sasa, ambapo hakuna kikomo, provided umeweza kuwarubuni wananchi na ukatangazwa kushinda.
 
from experience, wanaume wanajua kuwa hapa sasa ligi haiishi, tuna-make decision kimya kimya on what to do,
then tunasema if you continue like this, tutaona mwisho wake
then, tuna-develop interest kwenye vitu vingine, kwa sababu mke anakuwa kero.
Then, mke anaona mume ana-muignore, then ugomvi,
kidume kinanyamaza tu!
Mama anaanza kurusha maneno ya kejeli......mwanaume gani wewe!!
Jamaa anamwangalia tu!
kesho yake jamaa, anamkumbuka ex wake, anacheki kwenye simu, anapiga,
ex anasema nipo town, wana-hook, talk, drink and f***.
and the story goes on!!!>>>>>.....
umemaliza kila kitu mpwa
 
ha ha ha hommie...hapo kweli umefulia then unataka akupatie change ukashtue kidogo siku ipite dah mpaka akupe hayo masimngo yake mbona balaa!! acha tuu!!

Kimey nakumbuka sie tulikuwa tunaambiwa tuwe na tabia ya kusoma nyakati za alama- siku ukiona mumeo hana furaha basi mdodose ujue kulikoni- kama hana pesa hatasema direct ila utagundua then kama kibaba chako kina neema basi tuliambiwa tuwe tunampatia mr kisanii yaani unatoka na burungutu flani asubuhi unajitia ' Dia naomba ukanihifadhie pesa hii maana naona nitazitumia kwa fujo wakati sina matumizi nazo sasa hivi' (mwanaume atapokea tu kwani anajua akipata atarudishia-si rahisi akatae kama hana pesa kabisa mfukoni).

And then mama unajifanya hukumbuki kabisa kuwa ulitoa na hata siku akijarudisha unajitia 'ah mie kichwa bovu, sikukumbuka kabisa kama nilikupa mume wangu - nilijua nilishazitumia saluni au mchango kitchen party ya flan'
 
Usithubutu kukosa pesa wakati mkeo anazo.
Hawa watu wakiwa na pesa na wewe umefulia ni hatari kama kumweka simba mwenye njaa kwenye boma la kondoo mgonjwa.
SHEMEJI HAPA ''umempiga ya uso''😀😀😀
 
Sumu zilizoenea ni hizi;

1. Haki za binadamu

2. Usawa kwa watu wote

3. Haki za mwanamke .....nk.


Na suluhisho ni moja tu, Ndoa za mikataba ziruhusiwe. Nadhani mapresha yatapungua kwa kuwa kila mmoja atakuwa huru kuondoka au kuingia kwenye mkataba tena. Hii naifananisha na mfumo wa ubunge wa Tanzania kwa sasa, ambapo hakuna kikomo, provided umeweza kuwarubuni wananchi na ukatangazwa kushinda.

Kona kali hili nalo neno- na inawezekana zikianzishwa adabu zitakuwepo kwani wote wawili watakuwa wanaheshimiana kwa kuogopa kupotezana (mara nyingi nimeshasikia mume/mke mkorofi wakati anaye mwenzi wake but pale mwenzi anapoamua its over basi wanaamza kubembeleza) So nahisi tukiwa na ndoa za mikataba tunawezaweka adabu kwani unajua ukimmistreat anao uhuru wa kukuacha na kwenda kwa mwingine!
 
wapwa nawatakieni diskasheni njema!narudi gesti😀
 
Hahahahaha unajua mama siku hizi sinywi nimeacha kunywa nakunywa maji tu.
Nimebadilika nimekuwa kijana mwema na mwaminifu namshukuru Charity, F1, Lily F, bht na Preta kwa maombi yao mazito mpaka wamenibadilisha kijana.
kakague kule juu@!
BUT.....kwenye red wanakesi ya kujibu! na wewe ujieleze
walimchuchumalia AK 47 mpaka akabadili tabia, wewe wameamua kukuombea,
Ina maana ulishindikana kabisa? wakaona ni kwa maombi tu ndo utaweza kurudi kundini?
 
wapwa nawatakieni diskasheni njema!narudi gesti😀

Inaelekea chumba ulichochukua jana umelipia wiki nzima mkuu....Maana kwa hali hii ya hewa ni aghalabu kupata chumba saa hizi! Mechi za mchangani zinaendelea huko!!!
icon10.gif
 
Ndoa ni mahusiano ya kudumu , kila ndoa imesimama kwa misingi yake, kama msingi wa kumpata mwenza ulijengwa na pesa basi lazima utasimama kwa pesa. Kama ulikuwa upendo, urafiki, uwazi na kuelewana, basi itabaki kuwa hivyo.Msingi ndo hufanya ndoa kudumu. Ukianza na matanuzi ili umkoge mke akukubali ni lazima u-maintain, ukianza simple basi mkiwa na pesa mtaishi peace mkiwa hamna basi inakuwa poa.

Hapa Renegade umesema kweli kabisa.
Na mkiwa katika maelewano kwenye upungufu mtaambiana. Natambua kwamba wababa wengi kwenye ndoa wanarudi late night wakiwa chakali , wakifika wanachofanya ni kuamsha wake zao wanajisevia kisha Usingizi kama kawa , hapo unategemea nini?
Tena na ile harufu ya pombe, hata kuoga haogi jasho la mchana kutwa na besides mtu ukiwa umelewa hata ufanisi unapungua matokeo yake unamaliza haraka unamwacha mwenzio na moto wake ukingali juu- piga picha kila siku iendayo juu mambo ni haya.

Lakini pia matatizo ya ndoa yanatofautiana toka ndoa moja na yingine. Wanawake wanaochonga sana ni Tatizo kubwa, matokeo yake wanaume wanatoka kazini wanapita baa kupoteza muda ili angalau ukute kalala,unarudi kimyakimya na kujilaza pembeni baada ya dakika unakoroma.
Kama mnaelewana vizuri mtaelezana kwa kila upande na kutafuta mbinu za kuboresha ili kuridhishana zaidi.Kwa kuwa ni mkeo au mumeo mwambiane ukweli . Kila Ndoa ina namna ya kuwasiliana.Maintain,
Na kama Ndoa imejengwa na kumwamini Mungu Hapo Upendo haukauki, maana kusameheana kwa kwenda mbele.
Aksante point nzuri sana.

hapo kwenye red- hivi kuna wanawake wanaochonga pasipo sababu?
 
Kimey nakumbuka sie tulikuwa tunaambiwa tuwe na tabia ya kusoma nyakati za alama- siku ukiona mumeo hana furaha basi mdodose ujue kulikoni- kama hana pesa hatasema direct ila utagundua then kama kibaba chako kina neema basi tuliambiwa tuwe tunampatia mr kisanii yaani unatoka na burungutu flani asubuhi unajitia ' Dia naomba ukanihifadhie pesa hii maana naona nitazitumia kwa fujo wakati sina matumizi nazo sasa hivi' (mwanaume atapokea tu kwani anajua akipata atarudishia-si rahisi akatae kama hana pesa kabisa mfukoni).

And then mama unajifanya hukumbuki kabisa kuwa ulitoa na hata siku akijarudisha unajitia 'ah mie kichwa bovu, sikukumbuka kabisa kama nilikupa mume wangu - nilijua nilishazitumia saluni au mchango kitchen party ya flan'
Well said MJ1 hiyo nyie wa zamani wa kizazi cha dot.Com akianani utapigwa neno hilo bila kutarajia....yani kwani usipopta hiyo kitu unakufa? hebu kaa hapo uangalie tv?
 
kakague kule juu@!
BUT.....kwenye red wanakesi ya kujibu! na wewe ujieleze
walimchuchumalia AK 47 mpaka akabadili tabia, wewe wameamua kukuombea,
Ina maana ulishindikana kabisa? wakaona ni kwa maombi tu ndo utaweza kurudi kundini?

Hahahaha dah nimeona mkuu nimepamiss sana pale mahala kwenye mbuzi wa leo leo dah.
 
Hapo kwenye red- hivi kuna wanawake wanaochonga pasipo sababu?

Wapo mamii, tena ndio wa hovyo kweli hao. Niliwahi kusoma kwenye makala moja kwenye gazeti kuhusu kuzeeka kwa akili ya mwanaume mapema kabla ya umri wake! Mojawapo ya sababu walizozitoa ni kuoa mwanamke mbishi na ambaye ni ''unresoanable''.
 
Back
Top Bottom