Kimey
JF-Expert Member
- Mar 25, 2009
- 4,117
- 831
Dah nimeipenda hii Komrade dah maisha gani ya kuzeeshana mapema wakati maisha yenyewe mafupi??Wapo mamii, tena ndio wa hovyo kweli hao. Niliwahi kusoma kwenye makala moja kwenye gazeti kuhusu kuzeeka kwa akili ya mwanaume mapema kabla ya umri wake! Mojawapo ya sababu walizozitoa ni kuoa mwanamke mbishi na ambaye ni ''unresonable''.