Sababu za mke kumdharau Mume nyumbani

Sababu za mke kumdharau Mume nyumbani

Ili mwanaume aheshimike ndani ya ndoa:Timiza majukumu yako. Majukumu nayagawanya katika sehemu mbili (a) Jukumu la msingi ;hapa namaanisha tendo la ndoa.Hapa pakilega lega uwezekano wa kushuka kwa heshima ya baba ni mkubwa. (b)majukumu ya muhimu-hapa namaanisha mambo kama chakula,mavazi na malazi( vyenye ubora) kwa familia,bila kusahau elimu kwa watoto. kipengele hiki nacho kikilega lega pia heshima ya baba itaporomoka tu.
Vipengele vyote "a" na "b" vina thamani kubwa ukikidharau kimoja na kuweka kipaumbele kwenye kingine hicho unachokidharau "utasaidiwa" na ndiyo mwanzo wa dharau.Ukitimiza vyote kwa utimilifu mama anaweza kuteleza kibinadamu tu kwa kuwa binadamu sio mtimilifu lakini akarudi kwenye mstari kwa wakati.Ingawa pia wapo kina mama ambao wanaonesha "uzalendo" hata kama vipengele hivyo vinalega lega lakini ni wachache na hii inategemea pia na malezi na hulka ya mtu.
Ili mwanamke apendwe ndani ya ndoa:Mwanaume hana mambo mengi sana ili kumpenda mke wake, mambo makubwa ni mawili tu, (a) Mwanamke asimbanie mume "ile kitu" (b) Heshima-kwenye heshima kuna vitu kama uaminifu wa ndoa na kuchunga ulimi katika mawasiliano nk. Mwanamke hata awe mzuri kuliko malaika akichemsha haya ndoa yake lazima itayumba.
 
Ili mwanaume aheshimike ndani ya ndoa:Timiza majukumu yako. Majukumu nayagawanya katika sehemu mbili (a) Jukumu la msingi ;hapa namaanisha tendo la ndoa.Hapa pakilega lega uwezekano wa kushuka kwa heshima ya baba ni mkubwa. (b)majukumu ya muhimu-hapa namaanisha mambo kama chakula,mavazi na malazi( vyenye ubora) kwa familia,bila kusahau elimu kwa watoto. kipengele hiki nacho kikilega lega pia heshima ya baba itaporomoka tu.
Vipengele vyote "a" na "b" vina thamani kubwa ukikidharau kimoja na kuweka kipaumbele kwenye kingine hicho unachokidharau "utasaidiwa" na ndiyo mwanzo wa dharau.Ukitimiza vyote kwa utimilifu mama anaweza kuteleza kibinadamu tu kwa kuwa binadamu sio mtimilifu lakini akarudi kwenye mstari kwa wakati.Ingawa pia wapo kina mama ambao wanaonesha "uzalendo" hata kama vipengele hivyo vinalega lega lakini ni wachache na hii inategemea pia na malezi na hulka ya mtu.
Ili mwanamke apendwe ndani ya ndoa:Mwanaume hana mambo mengi sana ili kumpenda mke wake, mambo makubwa ni mawili tu, (a) Mwanamke asimbanie mume "ile kitu" (b) Heshima-kwenye heshima kuna vitu kama uaminifu wa ndoa na kuchunga ulimi katika mawasiliano nk. Mwanamke hata awe mzuri kuliko malaika akichemsha haya ndoa yake lazima itayumba.
Kula tano mkuu
Umemaliza kila kitu
 
...KUNA Mh. Husema....Ya kheri Land Rover mbovu,kuliko mwanamke msumbufu........
 
Wanawake ni kama mtoto,anahitaji mapenzi ya hali ya juu sana! unakuta wanaume wengine hawajui hata kuonyesha upendo kwa wake zao, hata kunako sita kwa sita ukamuwekea tu mguu anusukumiza huko,mara ooh nomechoka mwezi unakatika hujawahi hata kukumbatiwa. Kwakweli wanaume jirekebisheni la sivyo utazaraulika tu hakuna jinsi, na ukikutana na mwanamke ambaye hajiheshimu lazima achepuke tu.
 
hapa chanzo kikuuu bila kupepesa macho TUNAOOA WANAWAKE WASIO WETU mwanamke kabikiriwa keshatembea na wanaume lundo lazima akudharau tu MPATE BIKRA NA AKUPENDE sio zile za kulazimisha kama kuku ingawa nazo pia zina maksi kuliko kuoa mwanamke asiye bikra

kwanini bikra NENO LA MUNGU LILIKATAZA KABISA HABARI ZA KUVUNJA AMRI YA SITA KABLA YA NDOA
Sexual always brings together ko hiyo first inambeba katika maisha yake
ukimpata huyu husumbuki na akiokoka ndo zaidi utamuongoza no kiburi
 
Jukumu la msingi ;hapa namaanisha tendo la ndoa.Hapa pakilega lega uwezekano wa kushuka kwa heshima ya baba ni mkubwa.

...and that's the way it is,the same applied to mke,asipomtosheleza mwenzake ktk mahitaji ya kinyumba mume pia hatomuheshimu,atatafuta pengine pa kujazia palipopelea.
 
Back
Top Bottom