Sababu za kwanini MaT.O (Tanzania one) hawafanikiwi kimaisha!?

hii ndio akili inayotaka kunipotezea muda! Kweli jamani!?

Coward bettor mkubwa!
Screenshot_2018-07-31-03-30-36.jpg
 
Nakumbuka wakati tukisoma sekondari kuna jamaa zangu walikuwa hawajiwezi kabisa lakini sasa wao ndio wanamiliki maghorofa mjini huku sisi tukiendelea kusaga lami. Ama kweli kufaulu shule sio kufaulu maisha.

Ukitaka kuamini hili tazama maisha wanayoishi maprofesa ukilinganisha na wanafunzi wao, tena waliodisco. Ndipo utagundua ni bora kuwa kilaza kuliko kuwa genius.
Hahahahhaha kuna kaka mmoja tumesoma wote alivyofanya mtihani wa form six amekuwa kichaaa mpaka leo na matokeo yalitoka safiii PCM
 
Nelson Mwombeki upo sahihi binafsi wote waliokuwa vipanga ninaowafahamu wapo vizuri tu na tunajuana huyu yuko wapi huyu yuko wapi ,kama mtu hajawa sawa jua kuna mtihani umemkumba karudi nyuma ila nae anajipanga akinyanyuka hapo atakuwa sawa tu,mwenye akili ana akili tu.Naamini kabisa injinia yuko safi humu anatuchora tu.
 
Mbassa jr hapa utacheka simu ikilia naikimbilia labda muamala umethibitishwa,halafu wakala wa mtaa anawahi kufunga,ngoja niendelee kusubiri nitaleta update tu najua injinia hawezi kutuangusha vipanga wenzake
 
Back
Top Bottom