bachelor sugu
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,689
- 3,642
Demiss napenda unavyoitika yaani I wish km ndo ungekuwa ndani kwangu km mke nikikuita unaitika hivyo.Abeeeeeh
Last edited:
Demiss napenda unavyoitika yaani I wish km ndo ungekuwa ndani kwangu km mke nikikuita unaitika hivyo.Abeeeeeh
Hahahahhaha kuna kaka mmoja tumesoma wote alivyofanya mtihani wa form six amekuwa kichaaa mpaka leo na matokeo yalitoka safiii PCMNakumbuka wakati tukisoma sekondari kuna jamaa zangu walikuwa hawajiwezi kabisa lakini sasa wao ndio wanamiliki maghorofa mjini huku sisi tukiendelea kusaga lami. Ama kweli kufaulu shule sio kufaulu maisha.
Ukitaka kuamini hili tazama maisha wanayoishi maprofesa ukilinganisha na wanafunzi wao, tena waliodisco. Ndipo utagundua ni bora kuwa kilaza kuliko kuwa genius.
Ah mambo ya kutoana mishipa nani unataka,Muache tu mganga ajilie vyake.Hahahah sasa ni kazi yako kunitoa kwa mchawi
Utarogwa weweDemiss napenda unavyoitika yaani I wish km ndo ungekuwa ndani kwangu km mke nikikuita unaitika hivyo.
Hahahaha mkuu kweli aisee,unashangaa asubuhi kukikucha dushe hamna dadeki unaweza kujikimbia mwenyeweUtarogwa wewe
nilisema Mimi hawa huwa ni psycho.Tutaonana wabaya Rafiki.
Kwetu hiyo theory imegoma ndomana nasema hivyo, na wote niliosoma nao wale tuliokuwa tunapiga doji class wapo mtaani hawana hili wala lile, ndo hali halisi ya upande wetu kwenu iko tofauti ila kwetu ndo iko hivyoMkuu sio mtaani kwetu tu. Huu ukweli una-apply mahali popote pale.