Sababu za kupinga Bob Sambeke sio bilionea

Sababu za kupinga Bob Sambeke sio bilionea

Tatizo la Arusha hata mimi nikienda huko nikafika bar nikatoa ofa za bia na supu za ulimi kesho mji mzima watasema Spike Lee ni bilionea. Data za kuwajua mabilioni zinapatikana Forbes Magazine.
mi nipo arusha, na nina exposure sana juu ya dar na sehemu mbalimbali,,tofauti ya matajiri wa arusha na dar naweza sema ni kwenye kalamu tu..wengi arusha hawaitaji shule mzee....bob sambeke ana vindege vidogo vitatu..hiyo iliyoanguka ndo ndogo kuliko...inaitwa maule..au MT 7 235..bei yake used ni kuanzia dola laki 2..running costs, registration, etc...pasua kichwa,,hiyo ni moja tu sasa ana tatu..alafu pia anafanyaga trade ya vindege hivo..sasa we kwa iq yako ndogo tu..unadhani kwa huyo mtu bilioni ni ela kubwa? tatizo nyie wadaslam huwa mnapataga shock kugundua kumbe nyie hamna lolote ni wa kawaida saaaaanaaaa...na dar siyo kila kitu...watu wanaishi kaskazini....hakuna mtu mwenye pesa anapenda kuishi dar wewe..ni malimbukeni na washamba wasiocreative tu ndo wanapang'ang'ania...
 
Mkuu jmushi1, wachaga wengi
mna sifa ya kuweka mambo sirisiri sana hasa kama ni ya kifisadi au yale
ya utajiri wa giza kama wa akina Sambeke. Sambeke hakuwa na mke rasmi,
ambaye tunategemea wakati mwingine ndiye anakuwa mtu wako wa karibu
katika mambo yako. Sambeke pia kwa taarifa zisizo rasmi haelewani sana
na ndugu zake wengine. Sina hakika kama kila deal zake ikiwemo mikataba
ya mikopo ilikuwa wazi kwa ndugu na marafiki zake. Likewise kwa Nyaga
jua hakuwa na uhusiano mzuri na familia yake karibu wote. Na mali zake
zote hadi hela hakuna mwenye uhakika zilipo kwa 100%. Kwa mantiki hii ni
lazima mali nyingi za wawili hawa (Nyaga na Sambeke) zitapotea. Kumbuka
hata ndugu hawezi kuwa na uchungu sana na mali zako ambazo hakushiriki
kuzalisha. Sana sana watapigania zile mali wanazoziona tu na zile
wasizoziona au zenye ugumu kuzifahamu basi zitabaki sintofamu kwa
maisha yote. I tell you kuna watu wanafurahia vifo hivyo maana wanajua
kuwa deal zao na marehemu hao zipo to their advantage.

Jamani hata uwe na utajiri au mambo ya giza kiasi gani bora uoe tu.
Ukiogopa kuoa descent lady ambaye hatakubaliana na deal zako basi tafuta
hata mwanamke jambazi kama wewe!!!! Si tunasikia ujambazi mkubwa na
akina mama wamo!! Tafuta basi hata mmoja uoe japo nayo ni hatari kubwa
maana wote mnaweza kula shaba na watoto wakabaki yatima.
nakupa Like
 
kiuhalisia,,bilionea ni mpaka uwe na 1billion u$d=1trillion tshs ndio maana hata bakhressa sio bilionea according to forbes based on international standard,,na kuwa milionea uwe na 1m u$d,,,,
 
kiuhalisia,,bilionea ni mpaka uwe na 1billion u$d=1trillion tshs ndio maana hata bakhressa sio bilionea according to forbes based on international standard,,na kuwa milionea uwe na 1m u$d,,,,

Unaweza kuwa bilionea wa madafu pia kwa maana uwe na at least 1m usd kuna shida kwenye hilo? Nadhani kibongobongo hii ndio benchmark nzuri zaidi kwani currency yetu ni TZS. That said, hata Bakhresa si bilionea kwa mujibu wa forbes kwani hana assests za 1m usd,swali hao akina bob, nyagah na wengineo ambao gazeti la heshima kama Mwananchi linawaita mabilionea ni ubilionea upi huo usiojulikana kihalali ambao forbes haiutambui? Je ipo haja ya kuwa na categories za ubilionea? Uwepo ubilionea wa pesa chafu kando na ubilionea wa pesa safi? Swali jingine pia litafuata pesa ipi chafu na pesa ipi safi nani msafi wa kutoa hukumu hiyo?
 
Mimi nina Assets za 2Billion.
Funny enough Nina Liabilities pia za 2Billion.

Kwa hiyo capital wako ni zero i.e Assets = Capital +Liabilities!!! Ha ha ha mkuu!!! Wana biashara tuambieni maana ya hii equation!!! Liabilities constitute (madeni ya aina zote plusssssss...) ha ha. Ila usijali soon liabilities zitapungua na kuingina capita ili kubalance equation vizuri. Mwanzo mgumu.
 
Babu Sambeke alikuwa na mtazamo wa kipekee kuhusu ndoa! Alikuwa anasema wazi kabisa "siwezi kukaa na mwanamke mpaka anizeekee nikiwa namuona kwa macho"!

Hata hivyo ukiangalia watu wa mishemishe hawajakaa kifamilia sana kwa maana ya kuoa. Pengine wanahofia wajanja wanaweza kuchungulia kwenye mambo yao kupitia 'mama watoto'.

Aise mkuu, huo ulikuwa ni mtazamo na fikra potofu sana. Ila kwa hakika watu wa mishemishe ndoa haziendi kabisa!! Wanaogopa wanawake watachungulia mitungi yao ya siri nyekundu na kutoa nje!!! Nasikia naya jamaa wa EPA mmoja amemfukuza mke wake na ameshaweka mwingine ndani!!! Sijui wa ndoa alitaoa siri au? Maana naye ni mtu wa mishemishe mjini bilionea wa wizi wa EPA na mambo mengine. Mke mpya na gari limeandikwa jina kabisa "Koku......". Nisameheni spelling wenyewe nimeshindwa kumalizia jina hilo. Hakika wengi tukifa hatumwoni Mungu.
 
  • Thanks
Reactions: FJM
Mkuu salute kwako ,
Nadhani wengi ambao walikuwa hawajamjua vyema Babu wanachanganya sana habari zake . Babu alivuma sana kipindi cha mtandao wa uwizi wa magari kutoka Kenya na kusini mwa Africa ,walikuwa wengi kina marehemu Nyaki, Oraa na wengine wengi waliotangulia mbele ya haki . Ukweli hawa mabwana mtandao wao ulikuwa mpaka ndani ya system ndio maana walifanikiwa sana. Miaka ya mwishoni mwa miaka ya 1990 Mambo yalibadilika biashara ile ikadhibitiwa kwa kiwango stahiki, ikapungua hivyo hawa jamaa wakabadili biashara ,wengine wakafungua magereji Arusha na Moshi na wengine wakamalizwa .

Babu amekoswa koswa sana ,na umahiri wake wa kukwepa na kushinda majaribu ndio uliomfanya akubalike na makundi mengine yaliyojitokeza kuefanya biashara zisizoeleweka.

Babu hakuwa bilionea hata siku moja ,Babu alikuwa middleman mzuri kwa maana wapo watu kwenye system walikuwa wanasafisha fedha chafu kupitia watu kama kina Babu . System ya utawala wa chama chetu wasingemwacha kama hakukua na watu kwenye system waliokuwa wanamtumia. Mifano ipo ya walioadhibiwa kutokana na kujiona wao ni zaidi ya system ya chama chetu. Nadhani unakumbuka mchezo wa cheusi chekundu maeneo ya kuelekea njoro kabla ya relini pale Moshi,sasa Babu alikuwa ni sawa na wale wachezeshaji kwani wasimamizi wa ule mchezo walikuwa wapo pembeni kumlinda mchezeshaji .Huo mchezo wa kukopesha na ku-grab ulikuwa ni mtandao mkubwa kuliko Babu ,Babu alikuwa anatangulizwa front coz alikuwa middleman .That issue ilikuwa kubwa zaidi ya kujua chanzo cha kifo cha Nyaga.

Moshi ni mji uliobahatika kuwa na middleman wengi ambao walijitahidi kwa nguvu zao kufikia level fulani kisha wabadhilifu wa mali za umma kupitia mfumo mbovu wa chama chetu kuwatumia . Hawa middleman baadhi yao baada ya kuwa mawakala wa fedha chafu wakajiona wao ni matajiri kuliko wenye mpini .Hili lipo wazi matajiri wa Moshi system ya utawala inapobadilika wengi wao ulikuwa ndio mwisho wao,na wanaporomoka kwa kasi ya concord -supersonic jet.

Utakumbuka era ya Mahita na Chicco ,wale waliokuwa karibu nao unawaona leo ? Sina haja ya kuwataja .

So kusema Babu alikuwa bilionea ni upotoshaji wa hali ya juu ,hakuwahi hata kumfikia Buni wa mailisita ambaye naye ni middleman wa aina yake .
Mwakalinga Y, mkuu umenena sawa sawa kabisa. Nashangaa watu wanatafuna maneno badala ya kusema ukweli. Bob Sambeki walitisha sana, hasa akiwa na Nyaki marehemu. Yaani kundi lao lilikuwa la kama mtu 7 hivi hatari. Chicco aliwabeba sana na mahita akiwa IGP. Hawa jamaa walimtajirisha sana Chicco na ndiyo maana kama mtakumbuka bank account ya Chicco ilikutwa na hela nyingi sana na ikawa inachunguzwa hadi media ilipata ile habari ila sijui ilifia wapi? Kweli tukubali kuwa mtandao mkubwa wa wahalifu unalelewa na taasisi nyeti za serikali. Huwezi kuniambia kama kweli usalama wa taifa, jeshi la polisi, Takukuru na TRA walikuwa wanafanya kazi yao sawa kama kweli hawa watua wasingetiwa hatiani!!! Kiini macho. Bob Sambeke siwezi kumuita bilionea kwa hela ya wizi na umwagaji damu. He must be where he deserves by now!! Lucifer have him tightly!! Wale wote waliokufa kwa shaba zako moja kwa moja au kwa maagizo yako mkutane uso kwa uso!! Tena wengine might be in heaven na wewe jehanamu na waombe wachovye vidole vyao kwenye maji wapooze makali ya moto wa jehanamu! To hell.
 
nakupa Like

Mshana jr kanigongee bana. Ha ha!! Ukweli unauma aise. Hatuna haja ya kutafuna maneno, tuseme ukweli na ukweli utatuweka huru daima. Inashangaza jambazi linaitwa bilionea!! Wher is clean money in him? Dirty money!! Forbes anaangalia watu wenye legal income generating acitivities na si smuggler and arm robbers!!
 
Heshima kwenu wanajamvi,



Babu Sambeke ni mfanyabishara mkubwa ingawa biashara yake haijulikana rasmi na serekali huyu jamaa ni bilionea usiangalie kigezo cha kumiliki ndege ukadhani wanahabari wamekurupuka la hashaa jamaa alikuwa akimiliki biashara kubwa sana yenye kumuingizia fedha nyingi pasipo kulipa kodi ya serekali.Inashangaza sana jambo kama hili linatendeka wazi wazi huku serekali ikikubali kuibiwa mapato yake kupitia ukwepaji wa kodi mkubwa.Nina hakika kufuatia kifo chake fedha zake nyingi zitapotea (kufa kufaana).

Mwisho serekali ijipange vizuri ihakikishe inapanue uwogo wa walipa kodi wake.Wafanyabiashara wakubwa aina ya Babu ni wengi lakini utashangaa serekali haina taarifa zao za mapato na matumizi.
.

''bolded areas'' unataka kusema serikali yetu tukufu haina habari na hizi biashara? no no no ndugu yangu, they no each detail and everything. huoni wanahudhuria mazishi? TRA wanajua, wizara husika wanajua na kila kitengo husika wakiwemo na viongozi wanajua sana. wawajue mamantilie wa vichochoroni washindwe kuona biashara kubwa za wazi vile! hao ni waarabu wa pemba, juana kwa vilemba hao, kalaghabao
 
tujifunze kusema mbona alikuwa mwinzi wa magari hawasemi
 
Mkuu Ibambasi kiwanja kimoja maeneo ya mjini katikati sasa ni kati ya tsh 800,000,000/= mpaka 1bilioni bado sijaenda Njiro,sakina......huko ni nyumba si nyumba za kijinga la hasha.Bado kuna petrol station,mashamba yaliyo pembezoni mwa barabara kuu na Cash ya kutosha ndiyo maana wafanyabisha wakubwa badala ya kuhangaika kuandika michanganuo ya biashara inayohitajika kwenye mabanks mbali mbali wanamwona Babu wanapatiwa fedha wanaweka dhamana nyumba au viwanja au mashamba au magari ya ukweli.Kama unadaiwa na bank ukimwona ana nunua deni lote anabaki na nyumba au dhamana yoyote anayoina itampatia faida kubwa.


mKUU NGONGI KWA AARIFA ZAIDI BABU ALIANGUKA NA NDEGE AKITOKEA WEST KILIMANJARO KWENYE MASHAMBA WANAYOMILIKI.
 
Last edited by a moderator:
''bolded areas'' unataka kusema serikali yetu tukufu haina habari na hizi biashara? no no no ndugu yangu, they no each detail and everything. huoni wanahudhuria mazishi? TRA wanajua, wizara husika wanajua na kila kitengo husika wakiwemo na viongozi wanajua sana. wawajue mamantilie wa vichochoroni washindwe kuona biashara kubwa za wazi vile! hao ni waarabu wa pemba, juana kwa vilemba hao, kalaghabao


tENA KWA TAARIFA ZAIDI KUPA PESA NYINGI SANA ALIYOKUWA AKIIZUNGUSHA NI FEDHA ILIYOIBWA SEREKALI NA ALIKUWA ANAKABIDHIWA ILI AIZUNGUSHE KWAKUWA WATU WALIKUWA WANAAMINI KUFANYA KAZI NA BABU HUPOZI, HASWA PALE UTAKAPOWAKOPESHA WATU FEDHA ZAKO UNAKUWA NA HAKIKA YA KULIPW AU KUTAIFISHA DHAMAN
 
Mkuu jmushi1, wachaga wengi mna sifa ya kuweka mambo sirisiri sana hasa kama ni ya kifisadi au yale ya utajiri wa giza kama wa akina Sambeke. Sambeke hakuwa na mke rasmi, ambaye tunategemea wakati mwingine ndiye anakuwa mtu wako wa karibu katika mambo yako. Sambeke pia kwa taarifa zisizo rasmi haelewani sana na ndugu zake wengine. Sina hakika kama kila deal zake ikiwemo mikataba ya mikopo ilikuwa wazi kwa ndugu na marafiki zake. Likewise kwa Nyaga jua hakuwa na uhusiano mzuri na familia yake karibu wote. Na mali zake zote hadi hela hakuna mwenye uhakika zilipo kwa 100%. Kwa mantiki hii ni lazima mali nyingi za wawili hawa (Nyaga na Sambeke) zitapotea. Kumbuka hata ndugu hawezi kuwa na uchungu sana na mali zako ambazo hakushiriki kuzalisha. Sana sana watapigania zile mali wanazoziona tu na zile wasizoziona au zenye ugumu kuzifahamu basi zitabaki sintofamu kwa maisha yote. I tell you kuna watu wanafurahia vifo hivyo maana wanajua kuwa deal zao na marehemu hao zipo to their advantage.

Jamani hata uwe na utajiri au mambo ya giza kiasi gani bora uoe tu. Ukiogopa kuoa descent lady ambaye hatakubaliana na deal zako basi tafuta hata mwanamke jambazi kama wewe!!!! Si tunasikia ujambazi mkubwa na akina mama wamo!! Tafuta basi hata mmoja uoe japo nayo ni hatari kubwa maana wote mnaweza kula shaba na watoto wakabaki yatima.
Mkuu sababu ya Babu kutokuoa haihusiani kabisa na hayo mambo unayozungumzia ya "giza",je unamaanisha ni masharti ya mganga?Kama ni hivyo sidhani mkuu.

Ni mwenyewe tu life style yake ya uplayer.
 
Mkuu sababu ya Babu kutokuoa haihusiani kabisa na hayo mambo unayozungumzia ya "giza",je unamaanisha ni masharti ya mganga?Kama ni hivyo sidhani mkuu.

Ni mwenyewe tu life style yake ya uplayer.
Yawezekana mkuu, ila hatujui sana. Kuna memba hapa alisema kuwa likuwa anasema hawezi kuoa mwanamke anone anazeekea kwake hadi afe!! Ni bora aoe vijana kila siku!!! Matajiri bwana na falsafa zao huziwezi.
 
Yawezekana mkuu, ila hatujui sana. Kuna memba hapa alisema kuwa likuwa anasema hawezi kuoa mwanamke anone anazeekea kwake hadi afe!! Ni bora aoe vijana kila siku!!! Matajiri bwana na falsafa zao huziwezi.
Ni kweli hakutaka presha ya kuweka mwanamke ndani na yeye ni mtu wa mizunguko kila kukicha.Sometimes alikuwa anaenda hapo Nairobi anachukuwa madem kadhaa nakuja kula nao raha miezi kadhaaa.

Baadaye anarudi busy kwenye shughuli,uzuri wake hakuchanganya mapenzi na kazi.
 
Ni kweli hakutaka presha ya kuweka mwanamke ndani na yeye ni mtu wa mizunguko kila kukicha.Sometimes alikuwa anaenda hapo Nairobi anachukuwa madem kadhaa nakuja kula nao raha miezi kadhaaa.

Baadaye anarudi busy kwenye shughuli,uzuri wake hakuchanganya mapenzi na kazi.

Ila jamaa kwa wanawake alikuwa ni funga kazi!! Halafu cha kushangaza wanawake wengine walikuwa wanafahamiana lakini kila mtu anakula kwa wakati wake na hela kwa wakati wake!! Ama kweli dunia hatari. Msiba watu watakuwa wanalia kwa mengi. Ila pia tabia yake ya kuchukua wake za watu hadi za rafiki zake kisa hela haikupendeza hakika.
 
Back
Top Bottom