Sababu ya ndege ya ATCL kusukumwa hii hapa..

Bavicha kuweni wapole mtaendelea kunufaika na masomo ya kila namna, sasa mmejifunza " aviation pushback".
 
W
Nimeisoma na kuilewa hiyo thread na video iliyoambatishwa ni kweli sababu ya ndege kusukumwa imekaa kitaalaamu zaidi ili kulinda mitambo ya ndege, Ila wabongo wasioelewa wanalopoka tu
analopoka lopoka tu au wanaropoka ropoka tu. Mother tongue Mwanza.
 
Thanks, kwa maelezo ya kina na ya kitaalamu. BTW, hata kama ingesukumwa kwasababu ya ubovu kwani shida iko wapi? kuna kitu kisichopata fault?
 
Mkurugenzi wa Air Tanzania amesema kuwa ni kweli kuwa ndege yetu imesukumwa kurudi nyuma katika uwanja wa Ndege wa Zanzibar baada ya Rubani kuingia kwenye Runway iliyokuwa imefungwa.

Uwanja wa Zanzibar hauna magari maalum ya kusukuma ndege kurudi nyuma.

TUJIFUNZE.

Kitendo cha kusukuma ndege kurudi nyuma ni cha kawaida kabisa pindi inapolazimu kufanywa hivyo.

Kitendo hiki huitwa "Aviation Pushback" kitaalamu na kwa lugha ya wenzetu hutafsiriwa hivi:-

Aviation, pushback is an airport procedure during which an aircraft is pushed backwards away from an airport gate by external power.

Pushbacks are carried out by special, low-profile vehicles called pushback tractors or tugs.

Kwa nini husukumwa kwa kutumia External power?

Ndege husukumwa Kurudi nyuma kwa kutumia nguvu toka njee kuepuka kuleta madhara kwenye engine. Si kwanba ndege haiwezi kurudi nyuma yenyewe lah Hasha Ila kitaalamu ukitumia gia kuirudisha nyuma huleta madhara makubwa kwenye engine.

Kuna mlolongo wa sababu:-

√. Ndege hurudishwa nyuma kwa External power kuepuka makelele ya engine.

å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa sababu Pilot anakuwa haujui uwanja vizuri kama anavyoujua dereva wa Tugs au Tractor.

å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa Sababu dereva wa Tugs anauwezo wa kuona mazingira yanayozunguka ndege si rahisi kwa rubani kuona nyuma.

å Ni njia nzuri ya kubana matumizi ya mafuta.

å Ni njia nzuri ya kuzuia uharibifu wa engine kwa kuwa kitendo cha kurudisha nyuma kwa kutumia gia engine hufyonza mchanga.

Fuata link link hii kujifunza zaidi..

https://www.quora.com/Why-do-flight...-from-the-gate-then-goes-out-on-to-the-runway

Ndege zetu ni nzima kabisa na Mkurugenzi kathibitisha hilo.

Tuwe mabalozi wazuri wa Mali zetu wenyewe. Tusiwajengee hofu abiria wanaotumia shirika letu la ndege.

Faida inayopatikana ATCL ndio inayotulipa mishahara sisi wafanyakazi, ndio inayonunua madawa, ndiyo inayo tengeneza mabarabara na ndiyo inatumika kutoa Elimu Bure.

Tunaweza kuendelea kupingana kwa itikadi Ila si kuhujumu maendeleo yetu.

Faida gani ATCL imepata? Au ni faida ya kufikirika?
 
Nilichoelewa ni kwamba uwanja wa Kimataifa wa Ndege wa Zanzibari hauna magari maalum ya kusukuma au kuvuta ndege. Hilo ni tatizo kwani kusukuma au kuvuta ndege kwa kutumia mikono ya binadamu ni zoezi zito na wenzetu wanatushangaa katika karne hii ya 21!!
 
Mbona
Mkurugenzi wa Air Tanzania amesema kuwa ni kweli kuwa ndege yetu imesukumwa kurudi nyuma katika uwanja wa Ndege wa Zanzibar baada ya Rubani kuingia kwenye Runway iliyokuwa imefungwa.

Uwanja wa Zanzibar hauna magari maalum ya kusukuma ndege kurudi nyuma.

TUJIFUNZE.

Kitendo cha kusukuma ndege kurudi nyuma ni cha kawaida kabisa pindi inapolazimu kufanywa hivyo.

Kitendo hiki huitwa "Aviation Pushback" kitaalamu na kwa lugha ya wenzetu hutafsiriwa hivi:-

Aviation, pushback is an airport procedure during which an aircraft is pushed backwards away from an airport gate by external power.

Pushbacks are carried out by special, low-profile vehicles called pushback tractors or tugs.

Kwa nini husukumwa kwa kutumia External power?

Ndege husukumwa Kurudi nyuma kwa kutumia nguvu toka njee kuepuka kuleta madhara kwenye engine. Si kwanba ndege haiwezi kurudi nyuma yenyewe lah Hasha Ila kitaalamu ukitumia gia kuirudisha nyuma huleta madhara makubwa kwenye engine.

Kuna mlolongo wa sababu:-

√. Ndege hurudishwa nyuma kwa External power kuepuka makelele ya engine.

å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa sababu Pilot anakuwa haujui uwanja vizuri kama anavyoujua dereva wa Tugs au Tractor.

å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa Sababu dereva wa Tugs anauwezo wa kuona mazingira yanayozunguka ndege si rahisi kwa rubani kuona nyuma.

å Ni njia nzuri ya kubana matumizi ya mafuta.

å Ni njia nzuri ya kuzuia uharibifu wa engine kwa kuwa kitendo cha kurudisha nyuma kwa kutumia gia engine hufyonza mchanga.

Fuata link link hii kujifunza zaidi..

https://www.quora.com/Why-do-flight...-from-the-gate-then-goes-out-on-to-the-runway

Ndege zetu ni nzima kabisa na Mkurugenzi kathibitisha hilo.

Tuwe mabalozi wazuri wa Mali zetu wenyewe. Tusiwajengee hofu abiria wanaotumia shirika letu la ndege.

Faida inayopatikana ATCL ndio inayotulipa mishahara sisi wafanyakazi, ndio inayonunua madawa, ndiyo inayo tengeneza mabarabara na ndiyo inatumika kutoa Elimu Bure.

Tunaweza kuendelea kupingana kwa itikadi Ila si kuhujumu maendeleo yetu.
Mbona ni kawaida sana. Jee ground handling companies za zanzibar zina pushback?????
Wa TZ sasa kila kitu imekuwa ni kuponda tuu.
 
Una akili timamu kweli??!Sisi tunachopinga na kukishangaa siyo kitendo cha ndege kusukumwa kurudi nyuma bali ni kitendo cha ndege kusukumwa kwa mikono karne ya 21!!
 
Tatizo la wabongo wengi ni kuwa na uelewa mdogo wa mambo halafu wakajifanya wanajua, tena hadharani!.

Ni yale yale ya mbunge Kubenea aliyesema eti ndege zinamwagiwa maji kwa sababu ni mbovu. Hajui nini maana ya water salute.
 
Una akili timamu kweli??!Sisi tunachopinga na kukishangaa siyo kitendo cha ndege kusukumwa kurudi nyuma bali ni kitendo cha ndege kusukumwa kwa mikono karne ya 21!!
Uwanja wa ndege Zanzibar hauna vitendea kazi, pia sio jambo la ajabu hata huko zinakotengenezwa, huwa zinarudishwa nyuma kwa mikono, sio kila kitu kukandya tu, tafuteni taarifa nyingi za sahihi mpate uelewa mpana wa mambo.
 
Uwanja wa ndege Zanzibar hauna vitendea kazi, pia sio jambo la ajabu hata huko zinakotengenezwa, huwa zinarudishwa nyuma kwa mikono, sio kila kitu kukandya tu, tafuteni taarifa nyingi za sahihi mpate uelewa mpana wa mambo.

"Uwanja wa ndege wa Zanzibar hauna vitendea kazi"!.....Kadanganye watoto wadogo!!
-%20kipanya.jpeg
 
Big up Mkurugenzi. Wale walopokaji wajifunze kuwa na subra. Ni jibu very professional aibu kwa wale wanaolopokalopoka.
 
Mkurugenzi wa Air Tanzania amesema kuwa ni kweli kuwa ndege yetu imesukumwa kurudi nyuma katika uwanja wa Ndege wa Zanzibar baada ya Rubani kuingia kwenye Runway iliyokuwa imefungwa.

Uwanja wa Zanzibar hauna magari maalum ya kusukuma ndege kurudi nyuma.

TUJIFUNZE.

Kitendo cha kusukuma ndege kurudi nyuma ni cha kawaida kabisa pindi inapolazimu kufanywa hivyo.

Kitendo hiki huitwa "Aviation Pushback" kitaalamu na kwa lugha ya wenzetu hutafsiriwa hivi:-

Aviation, pushback is an airport procedure during which an aircraft is pushed backwards away from an airport gate by external power.

Pushbacks are carried out by special, low-profile vehicles called pushback tractors or tugs.

Kwa nini husukumwa kwa kutumia External power?

Ndege husukumwa Kurudi nyuma kwa kutumia nguvu toka njee kuepuka kuleta madhara kwenye engine. Si kwanba ndege haiwezi kurudi nyuma yenyewe lah Hasha Ila kitaalamu ukitumia gia kuirudisha nyuma huleta madhara makubwa kwenye engine.

Kuna mlolongo wa sababu:-

√. Ndege hurudishwa nyuma kwa External power kuepuka makelele ya engine.

å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa sababu Pilot anakuwa haujui uwanja vizuri kama anavyoujua dereva wa Tugs au Tractor.

å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa Sababu dereva wa Tugs anauwezo wa kuona mazingira yanayozunguka ndege si rahisi kwa rubani kuona nyuma.

å Ni njia nzuri ya kubana matumizi ya mafuta.

å Ni njia nzuri ya kuzuia uharibifu wa engine kwa kuwa kitendo cha kurudisha nyuma kwa kutumia gia engine hufyonza mchanga.

Fuata link link hii kujifunza zaidi..

https://www.quora.com/Why-do-flight...-from-the-gate-then-goes-out-on-to-the-runway

Ndege zetu ni nzima kabisa na Mkurugenzi kathibitisha hilo.

Tuwe mabalozi wazuri wa Mali zetu wenyewe. Tusiwajengee hofu abiria wanaotumia shirika letu la ndege.

Faida inayopatikana ATCL ndio inayotulipa mishahara sisi wafanyakazi, ndio inayonunua madawa, ndiyo inayo tengeneza mabarabara na ndiyo inatumika kutoa Elimu Bure.

Tunaweza kuendelea kupingana kwa itikadi Ila si kuhujumu maendeleo yetu.
Hata ujitetee vp ndio kishanuka tena

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Big up Mkurugenzi. Wale walopokaji wajifunze kuwa na subra. Ni jibu very professional aibu kwa wale wanaolopokalopoka.
Hebu tuweke kando kwanza makosa ya kisarufi na matumizi ya r na l.... Mkurugenzi kasema pilot aliingia kwenye runway ambayo haitoki.. Hili laweza kuwa jambo jipya na geni kabisa kwenye tasnia ya viwanja vya ndege kwakuwa rubani wa ndege huongozwa pa kwenda hajiendei tu.... Sasa ni nani alimuongoza kwenda kwenye njia isiyotoka?

Jr
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom