My Son drink water
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 4,930
- 13,335
Kauliza swali jibu,wewe ndo hujielewiUjielewi fanya tafiti ndege za mashirika makubwa ujue kwny kargo wanapakia nn
Sent using Jamii Forums mobile app
Kauliza swali jibu,wewe ndo hujielewiUjielewi fanya tafiti ndege za mashirika makubwa ujue kwny kargo wanapakia nn
Duh... Tehehehehehe..Hiyo katika maswala ya Anga Kitaalamu inaitwa "Aviation Goat lifting
Sent using Jamii Forums mobile app
Tatizo unatuonyesha kabisa ni kwa jinsi una experience ya matrecta mabovu. Ndege haziko hivyo best.Ndege ya ATCL ni manual, iligoma kuwakaa, wakajaribu kuishtua kwa mbele kwa giaa namba mbili, ikagoma kabisaaaaaaaaaa.
Ndipo wakairudisha nyuma ili iwashwe kwa rivasi
Kunya anye kuku, akinya bata kaharisha na watu atajaziwa.Na vipi kuhusu kupakiza mbuzi Mkurugezi kasemaje?
yale si ni matrekta mabovu ya angani ndio maana mud mwingi yako ground kuliko anganiTatizo unatuonyesha kabisa ni kwa jinsi una experience ya matrecta mabovu. Ndege haziko hivyo best.
Hiyo katika maswala ya Anga Kitaalamu inaitwa "Aviation Goat lifting
😳😎😀😀😛😛
Na vipi kuhusu kupakiza mbuzi Mkurugezi kasemaje?
Ww nawe ujielewi!! Baada ya kumjibu yy unanijibu mm
Na vipi kuhusu kupakiza mbuzi Mkurugezi kasemaje?
Mambo mengine sio kadi. Ni akili yako tuUna kadi ya kijani namba ngapi
Hakika mitandao ina nguvu sana !Mkurugenzi wa Air Tanzania amesema kuwa ni kweli kuwa ndege yetu imesukumwa kurudi nyuma katika uwanja wa Ndege wa Zanzibar baada ya Rubani kuingia kwenye Runway iliyokuwa imefungwa.
Uwanja wa Zanzibar hauna magari maalum ya kusukuma ndege kurudi nyuma.
TUJIFUNZE.
Kitendo cha kusukuma ndege kurudi nyuma ni cha kawaida kabisa pindi inapolazimu kufanywa hivyo.
Kitendo hiki huitwa "Aviation Pushback" kitaalamu na kwa lugha ya wenzetu hutafsiriwa hivi:-
Aviation, pushback is an airport procedure during which an aircraft is pushed backwards away from an airport gate by external power.
Pushbacks are carried out by special, low-profile vehicles called pushback tractors or tugs.
Kwa nini husukumwa kwa kutumia External power?
Ndege husukumwa Kurudi nyuma kwa kutumia nguvu toka njee kuepuka kuleta madhara kwenye engine. Si kwanba ndege haiwezi kurudi nyuma yenyewe lah Hasha Ila kitaalamu ukitumia gia kuirudisha nyuma huleta madhara makubwa kwenye engine.
Kuna mlolongo wa sababu:-
√. Ndege hurudishwa nyuma kwa External power kuepuka makelele ya engine.
å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa sababu Pilot anakuwa haujui uwanja vizuri kama anavyoujua dereva wa Tugs au Tractor.
å Hurudishwa nyuma kwa kutumia External power kwa Sababu dereva wa Tugs anauwezo wa kuona mazingira yanayozunguka ndege si rahisi kwa rubani kuona nyuma.
å Ni njia nzuri ya kubana matumizi ya mafuta.
å Ni njia nzuri ya kuzuia uharibifu wa engine kwa kuwa kitendo cha kurudisha nyuma kwa kutumia gia engine hufyonza mchanga.
Fuata link link hii kujifunza zaidi..
https://www.quora.com/Why-do-flight...-from-the-gate-then-goes-out-on-to-the-runway
Ndege zetu ni nzima kabisa na Mkurugenzi kathibitisha hilo.
Tuwe mabalozi wazuri wa Mali zetu wenyewe. Tusiwajengee hofu abiria wanaotumia shirika letu la ndege.
Faida inayopatikana ATCL ndio inayotulipa mishahara sisi wafanyakazi, ndio inayonunua madawa, ndiyo inayo tengeneza mabarabara na ndiyo inatumika kutoa Elimu Bure.
Tunaweza kuendelea kupingana kwa itikadi Ila si kuhujumu maendeleo yetu.
hivi kutoa taarifa za kweli ni kuhujumu ?Tuwe mabalozi wazuri wa Mali zetu wenyewe. Tusiwajengee hofu abiria wanaotumia shirika letu la ndege.
Tunaweza kuendelea kupingana kwa itikadi Ila si kuhujumu maendeleo yetu.