maramojatu
JF-Expert Member
- Mar 16, 2012
- 1,170
- 1,535
Za weekend wanaJF,
Nimekuwa nikifikiria sababu inayotumiwa na nchi za Afrika kusafirisha mafuta kupeleka nchi za mbali bila kupata majibu.
Nilitegemea mafuta ya Uganda na Tanzania tungeya-,process hapa kwetu Africa sababu sisi ni watumiaji wa bidhaa hii muhimu halafu ndio tuuze nje. Lakini kinyume chake tunawauzia wenzetu mafuta ghafi halafu baadae watuuzie petrol na dizeli etc.
Hebu wanauchumi mtuelezee kwa lugha rahisi sababu ya kupeleka mafuta nje wakati mahitaji yetu ni makubwa.
Asanteni
Nimekuwa nikifikiria sababu inayotumiwa na nchi za Afrika kusafirisha mafuta kupeleka nchi za mbali bila kupata majibu.
Nilitegemea mafuta ya Uganda na Tanzania tungeya-,process hapa kwetu Africa sababu sisi ni watumiaji wa bidhaa hii muhimu halafu ndio tuuze nje. Lakini kinyume chake tunawauzia wenzetu mafuta ghafi halafu baadae watuuzie petrol na dizeli etc.
Hebu wanauchumi mtuelezee kwa lugha rahisi sababu ya kupeleka mafuta nje wakati mahitaji yetu ni makubwa.
Asanteni