Tized
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 4,025
- 5,980
Hahaaaa, Mkuu BAK sijagonjweka bado, kama ni hospitali niko reception nafanya general check up wagundue tatizo.
Nimetokea kutopenda kunenepa, bila kujijua imeniathiri hata preference zangu pia. Baadhi ya wadada pamoja na makalio yao wamejisahau wakanenepa sana (over weight), Kumbuka unene sana huaribu mvuto wa ngozi (sio?) unene nao unahitaji usafi wa hali ya juu.
Asante kwa songi, nalikubali mbaya.
Nimetokea kutopenda kunenepa, bila kujijua imeniathiri hata preference zangu pia. Baadhi ya wadada pamoja na makalio yao wamejisahau wakanenepa sana (over weight), Kumbuka unene sana huaribu mvuto wa ngozi (sio?) unene nao unahitaji usafi wa hali ya juu.
Asante kwa songi, nalikubali mbaya.
Mhhhh! Kumbe eeh! Ndio ugonjwa wako huo!!!! 🙂🙂...Haya Mkuu Tized
Last edited by a moderator: