Sababu 6 kwanini makamu wa Rais awe Mwanamke

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,585
15,366
Sababu...

1: Kuhofu uwezo wa mwanamke ni kuvunja katiba. Maana katiba inamtambua na nchi haingozwi kwa tahadhari za kitamaduni bali kikatiba.

2: Tunaowanawake waliowahi kushika vyeo zaidi ya rais. Getruda Mongera spika wa afrika, Mh Migiro katibu UN, lkn waliofanya vzri katika nafasi kubwa kitaifa. Mh Makinda etc.

3: Wanawake wengi sio weziwezi sana. Ukiangalia list ya wanaotuhumiwa kwa ufisadi asilimia kama 90 au pengine 100 ni wanaume.

4: Wanawake wengi wanahuruma. Sio makatili. Licha ya wao kuwa ndio wengi nchini lkn magerezani ni wachache sana. Hii ni fursa ya kuwajaribu.

5: Uongozi wa nchi sio uongozi wa nyumba. Nyumbani ndio kuna huyu mwanamke yule mwanaume. Nyumbani ndio mwanaume kichwa na mwanamke msaidizi mwenza ila ktk nchi wanasimama kama wananchi. Na tunaushahidi kuwa hata mama Yetu Mh Rais anapokuwa nyumbani anaheshima zote za mama wa nyumbani na bado majukumu yake anatekeleza.

6: Wanawake ni wasikivu na wepesi kutekeleza na kuelekezeka. Pia nchi yetu wanawake wengi ambao wameshika nafasi za juu huwa ni wanyenyekevu, hawana madoido, wanavaa kwa nidhamu zaidi hawana sera za kibeberu za usawa katika familia. Hawa ni fursa makini tuliojiandalia.

Hivyo napendekeza tuache kuishi kimazoea,kitamaduni au kijima tuishi kikatiba. Napendekeza mdada au mmama mwenye utashi mkubwa awe makamu wa rais miaka hii 4.

Pamoja na sifa hizo njema kikatiba sisikii mwnamke akiwekwa kwenye fununu kumsaidia Mh Rais Samia.

Tunao wengi sana:
  • Ummy
  • Mghwila
  • Tulia
  • Joketi (Binti)
  • Migiro
Etc etc etc
 
Wanawake mna Nini lakini, mbona mnatusumbua Sana siku hizi.😀😀 Feminists bana.
Sijaona kiongizi wa kike feminist hadi sasa. Wangekuwa kama Dr flani hivi pale udsm ambaye ni feminist hadi damu ningefuta uzi.
 
Sababu...

1: Kuhofu uwezo wa mwanamke ni kuvunja katiba. Maana katiba inamtambua na nchi haingozwi kwa tahadhari za kitamaduni bali kikatiba.

2: Tunaowanawake waliowahi kushika vyeo zaidi ya rais. Getruda Mongera spika wa afrika, Mh Migiro katibu UN, lkn waliofanya vzri katika nafasi kubwa kitaifa. Mh Makinda etc.

3: Wanawake wengi sio weziwezi sana. Ukiangalia list ya wanaotuhumiwa kwa ufisadi asilimia kama 90 au pengine 100 ni wanaume.

4: Wanawake wengi wanahuruma. Sio makatili. Licha ya wao kuwa ndio wengi nchini lkn magerezani ni wachache sana. Hii ni fursa ya kuwajaribu.

5: Uongozi wa nchi sio uongozi wa nyumba. Nyumbani ndio kuna huyu mwanamke yule mwanaume. Nyumbani ndio mwanaume kichwa na mwanamke msaidizi mwenza ila ktk nchi wanasimama kama wananchi. Na tunaushahidi kuwa hata mama Yetu Mh Rais anapokuwa nyumbani anaheshima zote za mama wa nyumbani na bado majukumu yake anatekeleza.

6: Wanawake ni wasikivu na wepesi kutekeleza na kuelekezeka. Pia nchi yetu wanawake wengi ambao wameshika nafasi za juu huwa ni wanyenyekevu, hawana madoido, wanavaa kwa nidhamu zaidi hawana sera za kibeberu za usawa katika familia. Hawa ni fursa makini tuliojiandalia.

Hivyo napendekeza tuache kuishi kimazoea,kitamaduni au kijima tuishi kikatiba. Napendekeza mdada au mmama mwenye utashi mkubwa awe makamu wa rais miaka hii 4.

Pamoja na sifa hizo njema kikatiba sisikii mwnamke akiwekwa kwenye fununu kumsaidia Mh Rais Samia.

Tunao wengi sana:
  • Ummy
  • Mghwila
  • Tulia
  • Joketi (Binti)
  • Migiro
Etc etc etc
Tulia na Joketi ndio wamekutuma uandike huu uzi

Hizo chapa tupa kulee
 
Umesomeka mkuu. Hongera kwa kuwapambania wanawake. Ila mtazamo wangu apatikane mwanaume mmoja makini kwa nafasi hiyo. Bila mwanaume mambo hayakai sawa. Mwanamke anahitaji ushauri wa mwanaume
 
Robbishhhh..
Sababu...

1: Kuhofu uwezo wa mwanamke ni kuvunja katiba. Maana katiba inamtambua na nchi haingozwi kwa tahadhari za kitamaduni bali kikatiba.

2: Tunaowanawake waliowahi kushika vyeo zaidi ya rais. Getruda Mongera spika wa afrika, Mh Migiro katibu UN, lkn waliofanya vzri katika nafasi kubwa kitaifa. Mh Makinda etc.

3: Wanawake wengi sio weziwezi sana. Ukiangalia list ya wanaotuhumiwa kwa ufisadi asilimia kama 90 au pengine 100 ni wanaume.

4: Wanawake wengi wanahuruma. Sio makatili. Licha ya wao kuwa ndio wengi nchini lkn magerezani ni wachache sana. Hii ni fursa ya kuwajaribu.

5: Uongozi wa nchi sio uongozi wa nyumba. Nyumbani ndio kuna huyu mwanamke yule mwanaume. Nyumbani ndio mwanaume kichwa na mwanamke msaidizi mwenza ila ktk nchi wanasimama kama wananchi. Na tunaushahidi kuwa hata mama Yetu Mh Rais anapokuwa nyumbani anaheshima zote za mama wa nyumbani na bado majukumu yake anatekeleza.

6: Wanawake ni wasikivu na wepesi kutekeleza na kuelekezeka. Pia nchi yetu wanawake wengi ambao wameshika nafasi za juu huwa ni wanyenyekevu, hawana madoido, wanavaa kwa nidhamu zaidi hawana sera za kibeberu za usawa katika familia. Hawa ni fursa makini tuliojiandalia.

Hivyo napendekeza tuache kuishi kimazoea,kitamaduni au kijima tuishi kikatiba. Napendekeza mdada au mmama mwenye utashi mkubwa awe makamu wa rais miaka hii 4.

Pamoja na sifa hizo njema kikatiba sisikii mwnamke akiwekwa kwenye fununu kumsaidia Mh Rais Samia.

Tunao wengi sana:
  • Ummy
  • Mghwila
  • Tulia
  • Joketi (Binti)
  • Migiro
Etc etc etc
 
Dr Migiro anatosha, amefuzu kuliko watu wote wanaotajwa na wasio tajwa, wanawake na wanaume.
 
Back
Top Bottom