KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
Nasikia ni hobby yake ya kukusanya saa expensive.
Hiyo saa imekaaje, mbona kama inataka kumkata mkono!Nasikia ni hobby yake ya kukusanya saa expensive.
__Ukishangaa ya ABDUL kumiliki Rolls Roys CULLINAN SERIES II na akiwa hana KAZI ya UJIRA utastaajabu ya KIKWETE Mstaafu na boss wa SAMIA anaemiliki Saa aina ya Patek Philippe Nautilus yenye THAMANI ya BILLION MOJA ( 1,000,000,000_/= ).Nasikia ni hobby yake ya kukusanya saa expensive.
Nchi hii "inabanangwa" sana.__Ukishangaa ya ABDUL kumiliki Rolls Roys CULLINAN SERIES II na akiwa hana KAZI ya UJIRA utastaajabu ya KIKWETE Mstaafu na boss wa SAMIA anaemiliki Saa aina ya Patek Philippe Nautilus yenye THAMANI ya BILLION MOJA ( 1,000,000,000_/= ).
Balozi Humphrey Polepole ana hoja nchi INAUMIZWA hii.
#NO REFORMS NO ELECTIONS.
Watakuwa wanamtandao wanataka kumgeuka wamtie ulemavu kumpunguza speedHiyo saa imekaaje, mbona kama inataka kumkata mkono!
Unaijua bei yake?Anastahili Kwa wadhifa wake
Nchi inapigwa sana hiiUnaijua bei yake?
Saa inaitwa NICE FAKE
Hela ya mboga hiyo.![]()
![]()
Philip Stein.. zipo tofauti lakini bei zake zina range kuanzia 1 million Tshs hadi 9 million Tshs, kwa sababu picha ina blur ya kutosha inashindikana kujua exactly model...
Sahihi, huyo mzee yupo makini...Hela ya mboga hiyo.
By Prof Tibaijuka.
__Ukishangaa ya ABDUL kumiliki Rolls Roys CULLINAN SERIES II na akiwa hana KAZI ya UJIRA utastaajabu ya KIKWETE Mstaafu na boss wa SAMIA anaemiliki Saa aina ya Patek Philippe Nautilus yenye THAMANI ya BILLION MOJA ( 1,000,000,000_/= ).
Balozi Humphrey Polepole ana hoja nchi INAUMIZWA hii.
#NO REFORMS NO ELECTIONS.