VAN HEIST
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 1,434
- 617
hiyo ya shingoni itakuwa inavaliwa na kamba
.... na sio refa anaeivaa
hiyo ya shingoni itakuwa inavaliwa na kamba
Tunavalia saa mkono wa kushoto (logic) kwa sababu kwanza iwe rahisi kuona mda wakati unaandika na pia mkono wa kushoto hauna movements nyingi kama mkono wa kulia. Hivyo kuifanya saa idumu miaka mingi and that's the fact
Mi nna niece wangu anavaa mikono yote miwili kwa mpigo
pozzyfaza hii avatar yako imenichezea akili kidogo....nadhani wanaotumia mobile app watakuwa wamenisoma.Saa unavaa mkono wowote unaojisikia ata ukivaa mguuni ni sawa wengi huvaa saa kama pambo
Peleleza na ufanye utafiti....Seriously?
mkuu wee chambua wale wababaishaji na domo zege, halafu chambuwa upande wa pili!Hii ni kweli?