Mwanaume ni kulia na mwanamke ni kushoto
Kwann mkono wa kushoto?
![]()
Hapo ukiangalia kwa makini unaona JK amevaa saa mkono wa kulia na Kenyatta amevaa wa kushoto.
Yupi yupo sahihi?
Mwanaume ni kulia na mwanamke ni kushoto
saa inavaliwa mkono wowote, mi navaa mkono wa kulia.
Sawa ni matakwa yako...lakini kule 10 Downing street na Paris na Berlin wanavaa mkono wa kushoto na pia hawafungi tai siku za jumamosi asubuhi huwa pia wanavaa viatu vyeusi na suti.NEVER EVER kuvaa viatu vya brown na SuitMimi pia navaa mkono wa kulia
Mwanaume ni kulia na mwanamke ni kushoto
pozzyfaza hii avatar yako imenichezea akili kidogo....nadhani wanaotumia mobile app watakuwa wamenisoma.
Anyway nilijua ni mdudu anapita kwenye screen...kumbinya habinyiki! Kuja kugundua asee...
pole sana boc
Sawa ni matakwa yako...lakini kule 10 Downing street na Paris na Berlin wanavaa mkono wa kushoto na pia hawafungi tai siku za jumamosi asubuhi huwa pia wanavaa viatu vyeusi na suti.NEVER EVER kuvaa viatu vya brown na Suit
jaribu.....Nimezoea wa kushoto. Ntaanza kujaribu wa kulia